Hatimaye bilionea kijana Thobias Bulugu azikwa makaburi ya Mahina

Hatimaye bilionea kijana Thobias Bulugu azikwa makaburi ya Mahina

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
Hatimaye bilionea Thobias Bulugu aliyeuawa kikatili trh 30.12.2022 maeneo ya Nyakato Sokoni alipokuwa akirudi kutoka mizunguko yake ya kila siku amepumzishwa kwenye makazi yake ya milele leo trh 3 katika makaburi ya Mahina.

Pamoja na kuwa na umri mdogo kabisa wa miaka 31 Thobias alikuwa amefanikiwa kutoa ajira kwa vijana zaidi ya 150 waendesha bodaboda, huku pia akiwa bado na shughulika na masuala ya uwakala wa fedha za mitandao ya simu.

Mwanza imepoteza kijana mchapakazi na mwajiri mkubwa nchini. Mitaa daima itakukumbuka Bulugu.
 
Hatimaye bilionea Thobias Bulugu aliyeuwawa kikatili trh 30.12.2022 maeneo ya Nyakato Sokoni alipokuwa akirudi kutoka mizunguko yake ya kila siku amepumzishwa kwenye makazi yake ya milele leo trh 3 katika makaburi ya Mahina.
Pamoja na kuwa na umri mdogo kabisa wa miaka 31 Thobias alikuwa amefanikiwa kutoa ajira kwa vijana zaidi ya 150 waendesha bodaboda, huku pia akiwa bado na shughulika na masuala ya uwakala wa fedha za mitandao ya simu.
Mwanza imepoteza kijana mchapakazi na mwajiri mkubwa nchini.
Mitaa daima itakukumbuka Bulugu.
Ni majambazi au!?
 
Eti mwajiri mkubwa nchini🤔
Sawa kwasababu ni taarifa ya mazishi bhasi apumzike mahali pema peponi
 
Hatimaye bilionea Thobias Bulugu aliyeuwawa kikatili trh 30.12.2022 maeneo ya Nyakato Sokoni alipokuwa akirudi kutoka mizunguko yake ya kila siku amepumzishwa kwenye makazi yake ya milele leo trh 3 katika makaburi ya Mahina.
Pamoja na kuwa na umri mdogo kabisa wa miaka 31 Thobias alikuwa amefanikiwa kutoa ajira kwa vijana zaidi ya 150 waendesha bodaboda, huku pia akiwa bado na shughulika na masuala ya uwakala wa fedha za mitandao ya simu.
Mwanza imepoteza kijana mchapakazi na mwajiri mkubwa nchini.
Mitaa daima itakukumbuka Bulugu.
Unaeza tupa historia yake kidogo mkuu.
 
Hatimaye bilionea Thobias Bulugu aliyeuwawa kikatili trh 30.12.2022 maeneo ya Nyakato Sokoni alipokuwa akirudi kutoka mizunguko yake ya kila siku amepumzishwa kwenye makazi yake ya milele leo trh 3 katika makaburi ya Mahina.
Pamoja na kuwa na umri mdogo kabisa wa miaka 31 Thobias alikuwa amefanikiwa kutoa ajira kwa vijana zaidi ya 150 waendesha bodaboda, huku pia akiwa bado na shughulika na masuala ya uwakala wa fedha za mitandao ya simu.
Mwanza imepoteza kijana mchapakazi na mwajiri mkubwa nchini.
Mitaa daima itakukumbuka Bulugu.
Bilionea[emoji848][emoji848][emoji848],anamiliki bodaboda na mpesa?? Kiweni serious na matumizi ya neno bilionea wasukuma,
 
Ndo Nani au kila Mtu mnampost tu hapa JF what ur target

Rip
Sasa mkuu, umechangia tu bila kusoma uzi, au ndo unaleta tu ujuaji usio na tija.

Jamaa kaandika wasifu wa muhisika kwa majina yake yote mawili, ukazi wa muhanga na shughuli za kiuchumi anazofanya
 
Sasa mkuu, umechangia tu bila kusoma uzi, au ndo unaleta tu ujuaji usio na tija.

Jamaa kaandika wasifu wa muhisika kwa majina yake yote mawili, ukazi wa muhanga na shughuli za kiuchumi anazofanya
Hatuwezi kumjua kwa majina tu labda Kama ameacha Legacy
 
Sasa mkuu, umechangia tu bila kusoma uzi, au ndo unaleta tu ujuaji usio na tija.

Jamaa kaandika wasifu wa muhisika kwa majina yake yote mawili, ukazi wa muhanga na shughuli za kiuchumi anazofanya
Bro usilaum bure Tu.

Huyo marehem alikuwa public figure Kias cha kufahamika nchi nzima?
 
Bro usilaum bure Tu.

Huyo marehem alikuwa public figure Kias cha kufahamika nchi nzima?
Huyo jamaa ameandika tanzia akisikitika kumpoteza mwana-nyakato, na pengine kuweza kufahamisha wana Nyakato-Sokoni waliomo katika platform hii, na ndo maana kaweka kila taarifa muhim kiutambulisho. Hajaonesha kuwa jamaa ni "public figure" kitaifa.
 
Sasa mkuu, umechangia tu bila kusoma uzi, au ndo unaleta tu ujuaji usio na tija.

Jamaa kaandika wasifu wa muhisika kwa majina yake yote mawili, ukazi wa muhanga na shughuli za kiuchumi anazofanya
Ndiyo anakuwa bilionea?
 
Back
Top Bottom