Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Mwanza mmeanza ujinga wa ARUSHA. ARUSHA NAO WANA UJINGA FLANI KILA MTU BILIONEA. KUWA NA BODA BODA 1500 SIYO UBILIONEA ACHENI UJINGA NYIE WATU.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bilionea kaajili vijana bodaboda 150+!!Hatimaye bilionea Thobias Bulugu aliyeuwawa kikatili trh 30.12.2022 maeneo ya Nyakato Sokoni alipokuwa akirudi kutoka mizunguko yake ya kila siku amepumzishwa kwenye makazi yake ya milele leo trh 3 katika makaburi ya Mahina.
Pamoja na kuwa na umri mdogo kabisa wa miaka 31 Thobias alikuwa amefanikiwa kutoa ajira kwa vijana zaidi ya 150 waendesha bodaboda, huku pia akiwa bado na shughulika na masuala ya uwakala wa fedha za mitandao ya simu.
Mwanza imepoteza kijana mchapakazi na mwajiri mkubwa nchini. Mitaa daima itakukumbuka Bulugu.
Mhhh em nione picha ake.Hatimaye bilionea Thobias Bulugu aliyeuwawa kikatili trh 30.12.2022 maeneo ya Nyakato Sokoni alipokuwa akirudi kutoka mizunguko yake ya kila siku amepumzishwa kwenye makazi yake ya milele leo trh 3 katika makaburi ya Mahina.
Pamoja na kuwa na umri mdogo kabisa wa miaka 31 Thobias alikuwa amefanikiwa kutoa ajira kwa vijana zaidi ya 150 waendesha bodaboda, huku pia akiwa bado na shughulika na masuala ya uwakala wa fedha za mitandao ya simu.
Mwanza imepoteza kijana mchapakazi na mwajiri mkubwa nchini. Mitaa daima itakukumbuka Bulugu.
Hukuwahi kumjua kaa kimyaBilionea[emoji848][emoji848][emoji848],anamiliki bodaboda na mpesa?? Kiweni serious na matumizi ya neno bilionea wasukuma,
50k per day???????,chai ya moto hiyoKwa hesabu zangu uchwara za ki-motivesheno spika,jamaa huenda alikuwa bilionea[emoji23]
Piki piki moja ilete 50,000/= kwa siku,minimum amesema zipo 150,hivo jamaa.alikuwa anapata zaidi ya 7,500,000 kwa siku na kwa mwezi zaidi ya 225,000,000
[emoji23]Nitakuja baadae na hesabu za kuuza maindi mabichi
Chai ndio Mkuu50k per day???????,chai ya moto hiyo
Unaposema nchini,hilo jambo lina upana wake, tajiri mkubwa Nyakato haina maana ni tajiri mkubwa nchini,tofautisha conceptAcha roho mbaya.. Kuajiri watu 150 sio poa
Wewe unaweza kuta hata beki Tatu kumlipa huwezi laleq[emoji23][emoji23]
Nn tafsir ya bilionea kwa ufahamu wako!?Mzee bakhresa licha ya mali zote alizonazo ila bado hajafanikiwa kuwa declared kama bilionea,ila mwanza kuna mwana ana bodaboda na Mpesa tayari mshampa ubilionea,apumziks kwa amani marehemu bilionea
Azam hauzi maandazHahaha umenikumbusha mbali sana ,mara ya mwisho kununua zile chapati za Azam ilikuwa kama 2009 ,wife zilimsumbua sana kuzichoma ndiyo ikawa mwisho kununua ,ila maandazi yapo nayaona kwenye maduka ya kawaida ,chapati mpaka supermarket na sijaenda kitambo kwassababu muda mwingi nipo porini nachoma mkaa so sijui kama bado zipo au lah.
Weweee... Bilionea wa Arusha ni Bilionea kweli kweli.Mwanza mmeanza ujinga wa ARUSHA. ARUSHA NAO WANA UJINGA FLANI KILA MTU BILIONEA. KUWA NA BODA BODA 1500 SIYO UBILIONEA ACHENI UJINGA NYIE WATU.
Hamna kitu.... Watu ni Lakhionea mnakuja wa taja kama ma bilionea.Weweee... Bilionea wa Arusha ni Bilionea kweli kweli.