Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Typing error.....Kwa nia njema tu. Bidaboda ndo kitu mkuu?
Safi sana watu wajinga wamejaa wivu hawajui thamani ya pikipiki 150 ni Milioni300+, je kipato Cha kila boda na muda wa umiliki, Bado Mpesa tigo, wakala wa mabenki, huyo hakukosa 3-5+ bilions nchii Ina maskini wa akili na kipato, wengi wanaotoka familia mbovu mbovu.Kwa hesabu zangu uchwara za ki-motivesheno spika,jamaa huenda alikuwa bilionea😂
Piki piki moja ilete 50,000/= kwa siku,minimum amesema zipo 150,hivo jamaa.alikuwa anapata zaidi ya 7,500,000 kwa siku na kwa mwezi zaidi ya 225,000,000
😂Nitakuja baadae na hesabu za kuuza maindi mabichi
Ni washamba tu ndio hawataamini kuwa huyo Hayati alikuwa ni BillionaireHatimaye bilionea Thobias Bulugu aliyeuwawa kikatili trh 30.12.2022 maeneo ya Nyakato Sokoni alipokuwa akirudi kutoka mizunguko yake ya kila siku amepumzishwa kwenye makazi yake ya milele leo trh 3 katika makaburi ya Mahina.
Pamoja na kuwa na umri mdogo kabisa wa miaka 31 Thobias alikuwa amefanikiwa kutoa ajira kwa vijana zaidi ya 150 waendesha bodaboda, huku pia akiwa bado na shughulika na masuala ya uwakala wa fedha za mitandao ya simu.
Mwanza imepoteza kijana mchapakazi na mwajiri mkubwa nchini. Mitaa daima itakukumbuka Bulugu.
Dar mna enjoy sana ,mpaka maandazi ya Azam!!!, huku mikoani tunakula vitu hovyo maandazi ya dukani hayana mafuta na magumuu hata kama ni ya siku hiyo hiyo yameletwaKama Bakhresa anauza maandazi na ni bilionea ,why tubeze bilionea wa bodaboda?
M.A.P Bilionea TB
Atakuwa alikuwa public figure kwenye vitongoji vya mwanza.Huyo jamaa ameandika tanzia akisikitika kumpoteza mwana-nyakato, na pengine kuweza kufahamisha wana Nyakato-Sokoni waliomo katika platform hii, na ndo maana kaweka kila taarifa muhim kiutambulisho. Hajaonesha kuwa jamaa ni "public figure" kitaifa.
Word on the street walikuwa wezi wamekuja kumpora mkuu sio kisasiMMkuu elezea KWA urefu nasi watu wanaweza kujifunza kitu mkuu. Mfano vipi kuhusu motive ya wauaji? Walitumwa kulipa kisasi au ilikuwa ni vibaka tu wanataka hela? ( Watu wanasemaje? )
Dar mna enjoy sana ,mpaka maandazi ya Azam!!!, huku mikoani tunakula vitu hovyo maandazi ya dukani hayana mafuta na magumuu hata kama ni ya siku hiyo hiyo yameletwa
Vipi zile chapati za Azam bado zipo huko darisalama ?
Dah inasikitisha sana so walifanikiwa kumpora? Alikufa on the spot au hospitali?.walikuwa na bunduki au mapanga?Word on the street walikuwa wezi wamekuja kumpora mkuu sio kisasi
Zile siku nikiishi dalisalama nita deal nazo naona kuna mashine siku hizi ya umeme inakaanga, mikoani tabu tupu ,kuna jamaa naona kajiongeza mtaani kwangu amefungua kiwanda cha mikate ile ya maziwaHahaha umenikumbusha mbali sana ,mara ya mwisho kununua zile chapati za Azam ilikuwa kama 2009 ,wife zilimsumbua sana kuzichoma ndiyo ikawa mwisho kununua ,ila maandazi yapo nayaona kwenye maduka ya kawaida ,chapati mpaka supermarket na sijaenda kitambo kwassababu muda mwingi nipo porini nachoma mkaa so sijui kama bado zipo au lah.
Mkuu pikipiki inayoleta 50,000 kwa siku ni hela ya Tanzania au Zimbabwe?Kwa hesabu zangu uchwara za ki-motivesheno spika,jamaa huenda alikuwa bilionea[emoji23]
Piki piki moja ilete 50,000/= kwa siku,minimum amesema zipo 150,hivo jamaa.alikuwa anapata zaidi ya 7,500,000 kwa siku na kwa mwezi zaidi ya 225,000,000
[emoji23]Nitakuja baadae na hesabu za kuuza maindi mabichi
Mkuu ,pesa halali ya jamhuri, huzijui hizi hesabu za motiveshino speaker zina theory inasema "all factors remain constant"Mkuu pikipiki inayoleta 50,000 kwa siku ni hela ya Tanzania au Zimbabwe?
Nakumbuka tena kulikuwa na mchezaji wa zamani wa timu hizi kubwa ,alikuwa na demu wakamnyang'anya na simu.Mwanza kuna watu kukutoa roho ni kawaida.
unakumbuka wale walimpiga risasi alikuwa sijui mkuu wa kituo mwanza miaka ya nyuma sana.
Hesabu ya pikipiki ni elfu 70 kwa wiki kwa maana elfu 10 kwa sikuMkuu ,pesa halali ya jamhuri, huzijui hizi hesabu za motiveshino speaker zina theory inasema "all factors remain constant"
Kuna moja wanasema muhindi mmoja wa kuchoma Tsh 500, ukiuza mahindi 100 una 50000 kwa siku[emoji16]
Kibongo bongo kwa boda boda 150 15k kwa siku ndani ya mwaka mmoja ana milioni 648 pesa za madafu kwa miaka miwili ana billion na zaidi pesa za madafu .Nje ya mada: yaani kumiliki bodaboda na uwakala wa mitandao ya fedha tayari kashauvuka umilionea na kuwa bilionea?
R.I.P