Orosso
JF-Expert Member
- Aug 3, 2022
- 949
- 2,284
Hilo swala la u-bilionea sijalisemea, na kwa data aliyoweka mleta uzi siwezi kubaliana nayo kama jamaa alikua ni bilionea.Ndiyo anakuwa bilionea?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo swala la u-bilionea sijalisemea, na kwa data aliyoweka mleta uzi siwezi kubaliana nayo kama jamaa alikua ni bilionea.Ndiyo anakuwa bilionea?
Wewe unamjua mtoa Mada?:Hilo swala la u-bilionea sijalisemea, na kwa data aliyoweka mleta uzi siwezi kubaliana nayo kama jamaa alikua ni bilionea.
Unashauri tumuite marehemu bilionea au trilionea?Hilo swala la u-bilionea sijalisemea, na kwa data aliyoweka mleta uzi siwezi kubaliana nayo kama jamaa alikua ni bilionea.
Kwako wewe legacy ni nini?Hatuwezi kumjua kwa majina tu labda Kama ameacha Legacy
Huyo MSAGA SUMU Kazi yake kubwa ni uchawa unalijua Hilo?Kwako wewe legacy ni nini?
Achana na "title" ya ubilionea, hizo pikipiki zaidi ya 150 kwa umri wake huo, sio legacy mkuu? Kwa huko kwao, Nyakato, Sokoni?
Wewe umeajili wangapi mkuu?Eti mwajiri mkubwa nchini[emoji848]
Sawa kwasababu ni taarifa ya mazishi bhasi apumzike mahali pema peponi
Mkuu kwani kuuliza inamaana nataka kujilinganisha nae? Ungesema kwa scale ipi hapo ningekuelewa. Unataja kusema yeye ameajiri watu wengi kuzidi MO, Bakhressa, Manyanya na wengineo hapa nchini?Wewe umeajili wangapi mkuu?
Elezea kidogo kuhusu kifo chake mkuu.was it a hit au aliuwawa Katika tukio la uporajiHatimaye bilionea Thobias Bulugu aliyeuwawa kikatili trh 30.12.2022 maeneo ya Nyakato Sokoni alipokuwa akirudi kutoka mizunguko yake ya kila siku amepumzishwa kwenye makazi yake ya milele leo trh 3 katika makaburi ya Mahina.
Pamoja na kuwa na umri mdogo kabisa wa miaka 31 Thobias alikuwa amefanikiwa kutoa ajira kwa vijana zaidi ya 150 waendesha bodaboda, huku pia akiwa bado na shughulika na masuala ya uwakala wa fedha za mitandao ya simu.
Mwanza imepoteza kijana mchapakazi na mwajiri mkubwa nchini.
Mitaa daima itakukumbuka Bulugu.
Kwa hesabu zangu uchwara za ki-motivesheno spika,jamaa huenda alikuwa bilionea😂Basi kila mtu aanze kumpost Marehemu wake
?
Alivamiwa saa nne mkuuElezea kidogo kuhusu kifo chake mkuu.was it a hit au aliuwawa Katika tukio la uporaji
Kwa huku Nyakato Sokoni ilibidi mitaa isimamishe shughuli zake kwenda kumzika mwambaKwako wewe legacy ni nini?
Achana na "title" ya ubilionea, hizo pikipiki zaidi ya 150 kwa umri wake huo, sio legacy mkuu? Kwa huko kwao, Nyakato, Sokoni?
DahHatimaye bilionea Thobias Bulugu aliyeuwawa kikatili trh 30.12.2022 maeneo ya Nyakato Sokoni alipokuwa akirudi kutoka mizunguko yake ya kila siku amepumzishwa kwenye makazi yake ya milele leo trh 3 katika makaburi ya Mahina.
Pamoja na kuwa na umri mdogo kabisa wa miaka 31 Thobias alikuwa amefanikiwa kutoa ajira kwa vijana zaidi ya 150 waendesha bodaboda, huku pia akiwa bado na shughulika na masuala ya uwakala wa fedha za mitandao ya simu.
Mwanza imepoteza kijana mchapakazi na mwajiri mkubwa nchini.
Mitaa daima itakukumbuka Bulugu.
Mkuu,hivi viwanja vinapatikana maeneo hayo ? Na nikitaka kununua process ni zipi ? Sijawahi kununua kiwanjaNyakato kwetu napo kuna matukio balaa hadi natamani nihamishe nyumba na wanangu
Ahha hha hata mwezi haujaisha tokea ajali pale mataa vijana wanafanya tukio lingineNyakato kwetu napo kuna matukio balaa hadi natamani nihamishe nyumba na wanangu
Labda nyumba mkuu,mitaa hiyo haina tena viwanjaMkuu,hivi viwanja vinapatikana maeneo hayo ? Na nikitaka kununua process ni zipi ? Sijawahi kununua kiwanja
Poleni sana kwa msiba mzito.Kwa huku Nyakato Sokoni ilibidi mitaa isimamishe shughuli zake kwenda kumzika mwamba
Acha roho mbaya.. Kuajiri watu 150 sio poaEti mwajiri mkubwa nchini[emoji848]
Sawa kwasababu ni taarifa ya mazishi bhasi apumzike mahali pema peponi
Alivamiwa saa nne mkuu