Hatimaye bilionea kijana Thobias Bulugu azikwa makaburi ya Mahina

Bilionea kaajili vijana bodaboda 150+!!
Ur fucking joking bigger!huyo alikuwa mjasiriamali tu!!
 
Mhhh em nione picha ake.
Lkn kwa nn nyakato Kuna matukio hivo?!
 
50k per day???????,chai ya moto hiyo
 
Acha roho mbaya.. Kuajiri watu 150 sio poa

Wewe unaweza kuta hata beki Tatu kumlipa huwezi laleq[emoji23][emoji23]
Unaposema nchini,hilo jambo lina upana wake, tajiri mkubwa Nyakato haina maana ni tajiri mkubwa nchini,tofautisha concept
 
Mzee bakhresa licha ya mali zote alizonazo ila bado hajafanikiwa kuwa declared kama bilionea,ila mwanza kuna mwana ana bodaboda na Mpesa tayari mshampa ubilionea,apumziks kwa amani marehemu bilionea
Nn tafsir ya bilionea kwa ufahamu wako!?
 
Azam hauzi maandaz
 
Wahaya bwana !!!!
Nway poleni wafiwa.
Jamani tuoneane huruma...tusiuane kama wanyama...
 
Let say anamiliki hizo boda 150,kila boda kwa SIKU inamletea 10000...so kwa SIKU anapata 1500000..piga kwa mwaka mzima..duuuh,Jamaa anaweza kuwa bilionea hivi hivi mjue..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…