Uchaguzi 2020 Hatimaye CCM na mgombea wao waanza kutumia chopa kama usafiri wa kampeni

Uchaguzi 2020 Hatimaye CCM na mgombea wao waanza kutumia chopa kama usafiri wa kampeni

Iwe Sawa Sawa kwa yule mwenye jazba na kutukana viongozi wa Serikali. Kidumu chama cha mapinduzi, Kidumu chama tawala.
Life tuu hakuna analofanya. Limebaki Kujaza vyoo vya ikulu
 
Siku nyingine huwa nawaeleza halafu hamfuati, niliwaambia mnichague mimi mkasema sawa, nikawaambia mnichagulie na mbunge wa CCM hamkunichagulia, nataka niwaeleze ukweli wala siwafichi asingekuwa Kapuya hii barabara nisingeijenga". Dkt.Magufuli
Hapo ndipo Magufuli anapothibitisha wazi kabisa jinsi alivyoikwaa hii nafasi kimakosa.

Atasemaje amejenga barabara wakati hiyo pesa si yake ni ya hao hao anaodai kawajengea hiyo barabara? Hakuna hata senti moja aliyokatwa kwenye mshahara wake kwenda kujenga hiyo barabara!

Magufuli anapaswa kuelewa kuwa yeye ni mtu tu anapita kama wengine ambao pia kuna kipindi fulani nao walikuwa hapo alipo yeye na leo hawapo tena hapo hivyo anapaswa kuheshimu watu pamoja na hayo mamlaka waliyompa. Asijifanye aonekane kama vile yeye ndiye mpaji.
 
hata rais awe vp hawezi kupa chakula cha kulea familia yako ndg..pambana kivyako mkuu mbona kuna watu wametusua ktk kipindi hichi... watu wanacholia liaa
Kwani kuna Rais yupi hapa Tz alikuwa anagawa vyakula kwa watu!? Ondoa akili utopolo hapa.
 
Habari wadau,

Rais wetu kipenzi, mzalendo wa ukweli kupandishwa chopa sio vizuri.

Maana mabeberu wasije wakafanya yao.. isijekuwa chopa imefungwa kingamuzi wakakizima hewani huko injini ikazimika na kumdondosha kipenzi chetu.

Chopa sio uamuzi mzuri kwa usalama wa kipenzi chetu
 
Nchi haina chopa mpka tukaombe kwa jirani?
 
CHOPA MIMI SIZIAMINI BORA GARI: Ziliua
-Filikunjombe
-Baba mzazi wa Jery Slaa
-Saitoti
-Kobe Bryant
-Moja ilitaka kumuua Magufuli na Dr.O.A.Juma

N.k n.k

Siziamini. Huyo atakayeitumia asisingizie karogwa au katunguliwa.
 
Hatimaye Chama Cha Mapinduzi kimeamua kuanza kutumia chopa kama sehemu ya usafiri wa kampeni zake.

Chopa hiyo itaanza kutumika kwenye nusu ya pili ya harakati za kampeni kuelekea October 28,chopa hiyo yenye usajili wa 5Y-HSN imekodiwa toka nchini Kenya kwa mmoja wa wanasiasa na mfanyabiashara maarufu Ndugu Simeon Nyachae.

Simon Nyachae, mwanasiasa wa County ya Kisii nchini Kenya, ni rafiki na mshirika pia wa Rais Magufuli, kwani hapo awali wakati wa Utawala wa Mwai Kibaki, Nyachae aliwahi kuhudumu kama Waziri wa barabara.

Wakati Muungano wa Rais Kibaki wa NARC ulipoanza kudhoofika kwenye uungwaji mkono, chama cha FORD-People cha Nyachae kikajiunga naye, na rais Mwai Kibaki akamteua Nyachae kama Waziri wa Nishati na baadae akampa kuwa waziri wa Barabara.

Nyachae alitajwa katika ripoti ya Waki kama mmoja wa wahusika wa vurugu za baada ya uchaguzi wa 2007-2008 ambapo zaidi ya watu 1,600 walifariki.

Aliaminika kupanga mashambulizi dhidi ya viongozi wa upinzani wa ODM.

Aligombea na kupoteza uchaguzi wa ubunge wa mwaka 2007.
Ili kupanda hii chopa, inabidi mazoezi ya nguvu yafanyike, utafikiri wanaenda kupigana mieleka kwenye kampeni.

View attachment 1575050
Ujumbe wako sio Ndege ila ni kutaka kutuaminisha CCM wanashirikiana na wauaji ww unajihisi una akili kumbe UTOPOLO
 
Ujumbe wako sio Ndege ila ni kutaka kutuaminisha CCM wanashirikiana na wauaji ww unajihisi una akili kumbe UTOPOLO

Ni vyema kutulia na kuacha matusi hata kama ujumbe umekugusa ili kuonesha busara uliyo nayo.
Sasa hiyo picha mimi ndo nimewaweka hao watu wanaopiga push up?
Maneno yako yanataka kutuonesha kuwa wanaohusika na wauwaji wanapiga push up kama hao watu.
 
Back
Top Bottom