Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,989
- 22,078
Na sasa wanapotezwa kwa lipi ?!Wapinzani muuawe kwa sababu gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na sasa wanapotezwa kwa lipi ?!Wapinzani muuawe kwa sababu gani?
Polepole na Bashiru wataidakaMafuta yakauke likiwa angani lishuke taratiiiibuu
Mkuu ID name yako inanikumbusha mbali sana kuhusu wazungu wawili wenye gari ya MalawiBarafu mtaalam wa midege is back.
Kaka toka jamaa asitishe kulete midege,ukatuacha humu jukwaani.
Nikadhani umetoweka. Nafurahi kukuona tena.
Tunamuomba Mungu amlinde bwana Magufuli kama akianza kutumia hiyo Chopper.Usafiri wa chopa sio salama kabisa, usije ukawapiga chini kama wale wa 2015.
Kweli nimeamini tuonyeshe rafiki zako tukujue tabia zakoHatimaye Chama Cha Mapinduzi kimeamua kuanza kutumia chopa kama sehemu ya usafiri wa kampeni zake.
Chopa hiyo itaanza kutumika kwenye nusu ya pili ya harakati za kampeni kuelekea October 28,chopa hiyo yenye usajili wa 5Y-HSN imekodiwa toka nchini Kenya kwa mmoja wa wanasiasa na mfanyabiashara maarufu Ndugu Simeon Nyachae.
Simon Nyachae, mwanasiasa wa County ya Kisii nchini Kenya, ni rafiki na mshirika pia wa Rais Magufuli, kwani hapo awali wakati wa Utawala wa Mwai Kibaki, Nyachae aliwahi kuhudumu kama Waziri wa barabara.
Wakati Muungano wa Rais Kibaki wa NARC ulipoanza kudhoofika kwenye uungwaji mkono, chama cha FORD-People cha Nyachae kikajiunga naye, na rais Mwai Kibaki akamteua Nyachae kama Waziri wa Nishati na baadae akampa kuwa waziri wa Barabara.
Nyachae alitajwa katika ripoti ya Waki kama mmoja wa wahusika wa vurugu za baada ya uchaguzi wa 2007-2008 ambapo zaidi ya watu 1,600 walifariki.
Aliaminika kupanga mashambulizi dhidi ya viongozi wa upinzani wa ODM.
Aligombea na kupoteza uchaguzi wa ubunge wa mwaka 2007.
Hapo ndipo mnapokoseaPumzi imeanza kukata, Lissu piga sana nyundo hawa mbwa
Siku nyingine huwa nawaeleza halafu hamfuati, niliwaambia mnichague mimi mkasema sawa, nikawaambia mnichagulie na mbunge wa CCM hamkunichagulia, nataka niwaeleze ukweli wala siwafichi asingekuwa Kapuya hii barabara nisingeijenga". Dkt.MagufuliHapo ndipo mnapokosea
Mtu mwenye roho mbaya anajenga barabara, hospitali, kusaidia walioonewa, kupambana na rushwa na uonevu?Alafu kuna lijitu hapa linapiga kelele Eti magufuli apewe tano tena!!!
Nimeshasema na nasema tena kwa ufedhuli na uzandiki alioufanya Magufuli dhidi ya watanzania wenzake tukimpa tena miaka 5 hata shetani atatushangaa!!
Yaani Chadema wamefanyiwa figisu za wazi kabisa mchana kweupe kuhusu kutumia chopa alafu CCM haohao nao wanaenda kutumia Chopa alafu Kuna mtu na akili zake bado anashawishi magufuli achaguliwe tena!!!
Kati ya kipindi murua ambacho Mungu katuwekea kutupima akili Watanzania ni kipindi hiki. Kusema kweli kwa roho mbaya na uzandiki wa Magufuli na CCM yake hata shetani atatushangaa tukimchagua tena. Si Mungu tu!
Kutumia Chopa kwa hali ya kawaida si kuishiwa pumzi hata CHADEMA walipanga kutumia Chopa wafike nchi nzima lakini kwa kuwa hawakuonyesha wameishiwa pumzi walizuiwa kutumia Chopa na wanaendelea na kampeni. CCM baada ya karibu mwezi kwenye kampeini wamegundua wameishiwa pumzi na kuamua kutumia Chopa muda uliobaki lakini ili nao wasizuiwe wanaithibitishia Mamlaka ya Safari za Anga kuwa wako hoi kwa kupiga push-up mbele ya Chopa. Watapata kibali hata kama Nyachae (babu wa rubani wa CHADEMA) mwenyewe atakuwa rubani.Kwahiyo kutumia chopa ni kuishiwa pumzi?
CHADEMA ina watu wengine wa hovyo kabisa mmoja wapo ni wewe
Hata tupate raisi Jini hospitali zitajengwa tu!! Hajengi kwa pesa zake ni hela za kodi za wananchi.Mtu mwenye roho mbaya anajenga barabara, hospitali, kusaidia walioonewa, kupambana na rushwa na uonevu?
Mtu mwenye roho mbaya hafanani hata kidogo na Rais Magufuli
Pole pole ni wa kupuuzwa tu wadudu wameshachanganya mashudu tu ndiyo yanambebaWakati Chadema wamejiandaa kutumia chopa na kisha kuzuiwa...Polepole alisema wao wanatumia barabara ili wakutane na wapiga kura.
Leo imekuaje tena?