Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana hili lisitokee! Pombe ikimwagika tutaahirisha uchaguzi halafu majamaa yakajipange upya! Twende na Pombe yetu tu mpaka mwisho!Mafuta yakauke likiwa angani lishuke taratiiiibuu
Alafu na wewe unajiona umepost kitu cha maana!
ajaribu aone tenaUnahamu kumuona akipiga push up
Mmeanza na itakuwa agenda kuu ya mgombea Urais wa CHADEMAHatimaye Chama Cha Mapinduzi kimeamua kuanza kutumia chopa kama sehemu ya usafiri wa kampeni zake.
Chopa hiyo itaanza kutumika kwenye nusu ya pili ya harakati za kampeni kuelekea October 28,chopa hiyo yenye usajili wa 5Y-HSN imekodiwa toka nchini Kenya kwa mmoja wa wanasiasa na mfanyabiashara maarufu Ndugu Simeon Nyachae.
Simon Nyachae, mwanasiasa wa County ya Kisii nchini Kenya, ni rafiki na mshirika pia wa Rais Magufuli, kwani hapo awali wakati wa Utawala wa Mwai Kibaki, Nyachae aliwahi kuhudumu kama Waziri wa barabara.
Wakati Muungano wa Rais Kibaki wa NARC ulipoanza kudhoofika kwenye uungwaji mkono, chama cha FORD-People cha Nyachae kikajiunga naye, na rais Mwai Kibaki akamteua Nyachae kama Waziri wa Nishati na baadae akampa kuwa waziri wa Barabara.
Nyachae alitajwa katika ripoti ya Waki kama mmoja wa wahusika wa vurugu za baada ya uchaguzi wa 2007-2008 ambapo zaidi ya watu 1,600 walifariki.
Aliaminika kupanga mashambulizi dhidi ya viongozi wa upinzani wa ODM.
Aligombea na kupoteza uchaguzi wa ubunge wa mwaka 2007.
Hatimaye Chama Cha Mapinduzi kimeamua kuanza kutumia chopa kama sehemu ya usafiri wa kampeni zake.
Chopa hiyo itaanza kutumika kwenye nusu ya pili ya harakati za kampeni kuelekea October 28,chopa hiyo yenye usajili wa 5Y-HSN imekodiwa toka nchini Kenya kwa mmoja wa wanasiasa na mfanyabiashara maarufu Ndugu Simeon Nyachae.
Simon Nyachae, mwanasiasa wa County ya Kisii nchini Kenya, ni rafiki na mshirika pia wa Rais Magufuli, kwani hapo awali wakati wa Utawala wa Mwai Kibaki, Nyachae aliwahi kuhudumu kama Waziri wa barabara.
Wakati Muungano wa Rais Kibaki wa NARC ulipoanza kudhoofika kwenye uungwaji mkono, chama cha FORD-People cha Nyachae kikajiunga naye, na rais Mwai Kibaki akamteua Nyachae kama Waziri wa Nishati na baadae akampa kuwa waziri wa Barabara.
Nyachae alitajwa katika ripoti ya Waki kama mmoja wa wahusika wa vurugu za baada ya uchaguzi wa 2007-2008 ambapo zaidi ya watu 1,600 walifariki.
Aliaminika kupanga mashambulizi dhidi ya viongozi wa upinzani wa ODM.
Aligombea na kupoteza uchaguzi wa ubunge wa mwaka 2007.
Wafuasi wa upinzani, kufikiri kwao kama viongozi wao, ni vichwa vitupu. Mtu atafanyaje shughuli zake za maendeleo bila kuwepo maendeleo ya vitu. Km Wagombea wangewezaje kufanya kampeni, ambayo ni haki yao, bila barabara bora na imara?Sasa ukiketa dawa bila hospital utakuwa unawasambazia watu nyumbani..au ukiwanunulia watu magari bila barabara hizo gari watakuwa wanazipaki nyumbani kwa maonyesho?
Nyachae and JPM are birds of the same feather!Hatimaye Chama Cha Mapinduzi kimeamua kuanza kutumia chopa kama sehemu ya usafiri wa kampeni zake.
Chopa hiyo itaanza kutumika kwenye nusu ya pili ya harakati za kampeni kuelekea October 28,chopa hiyo yenye usajili wa 5Y-HSN imekodiwa toka nchini Kenya kwa mmoja wa wanasiasa na mfanyabiashara maarufu Ndugu Simeon Nyachae.
Simon Nyachae, mwanasiasa wa County ya Kisii nchini Kenya, ni rafiki na mshirika pia wa Rais Magufuli, kwani hapo awali wakati wa Utawala wa Mwai Kibaki, Nyachae aliwahi kuhudumu kama Waziri wa barabara.
Wakati Muungano wa Rais Kibaki wa NARC ulipoanza kudhoofika kwenye uungwaji mkono, chama cha FORD-People cha Nyachae kikajiunga naye, na rais Mwai Kibaki akamteua Nyachae kama Waziri wa Nishati na baadae akampa kuwa waziri wa Barabara.
Nyachae alitajwa katika ripoti ya Waki kama mmoja wa wahusika wa vurugu za baada ya uchaguzi wa 2007-2008 ambapo zaidi ya watu 1,600 walifariki.
Aliaminika kupanga mashambulizi dhidi ya viongozi wa upinzani wa ODM.
Aligombea na kupoteza uchaguzi wa ubunge wa mwaka 2007.
Magufuli hatakiwi kutumia chopa ,huo mtego bakini nao nyie wenyewe ,biashara za kina mfano wa George Saitoti hatuutakiHatimaye Chama Cha Mapinduzi kimeamua kuanza kutumia chopa kama sehemu ya usafiri wa kampeni zake.
Chopa hiyo itaanza kutumika kwenye nusu ya pili ya harakati za kampeni kuelekea October 28,chopa hiyo yenye usajili wa 5Y-HSN imekodiwa toka nchini Kenya kwa mmoja wa wanasiasa na mfanyabiashara maarufu Ndugu Simeon Nyachae.
Simon Nyachae, mwanasiasa wa County ya Kisii nchini Kenya, ni rafiki na mshirika pia wa Rais Magufuli, kwani hapo awali wakati wa Utawala wa Mwai Kibaki, Nyachae aliwahi kuhudumu kama Waziri wa barabara.
Wakati Muungano wa Rais Kibaki wa NARC ulipoanza kudhoofika kwenye uungwaji mkono, chama cha FORD-People cha Nyachae kikajiunga naye, na rais Mwai Kibaki akamteua Nyachae kama Waziri wa Nishati na baadae akampa kuwa waziri wa Barabara.
Nyachae alitajwa katika ripoti ya Waki kama mmoja wa wahusika wa vurugu za baada ya uchaguzi wa 2007-2008 ambapo zaidi ya watu 1,600 walifariki.
Aliaminika kupanga mashambulizi dhidi ya viongozi wa upinzani wa ODM.
Aligombea na kupoteza uchaguzi wa ubunge wa mwaka 2007.
Kifo cha Akwilina kinafanana na machafuko ya Kenya 2007? Hii Chadema yetu imejaa watu gani?Hiyo ni tafsiri ya wazi kwenye hiyo post. Majaribio yalianza kwenye kifo cha Aqwilina.
Au kusikika kwenye kampeni bila majenereta au umeme?Wafuasi wa upinzani, kufikiri kwao kama viongozi wao, ni vichwa vitupu. Mtu atafanyaje shughuli zake za maendeleo bila kuwepo maendeleo ya vitu. Km Wagombea wangewezaje kufanya kampeni, ambayo ni haki yao, bila barabara bora na imara?
Duh..Ushauri wa daktari, angeendelea kujidai mjanja aone kama asingeudondosha huo moyo barabarani.
Wapinzani muuawe kwa sababu gani?Kipande hiki kinatoa ujumbe kuwa huyo Nyachae sio kwamba ametoa tu Helikopta, pia atatoa mbinu jinsi ya kutekeleza mauaji kwenye uchaguzi huu dhidi ya wapinzani. Ujumbe huu unaeleza mengi kwa jicho la tatu.
Usiogope tutatumia chopa, bado intelijensia inaweka mambo sawaChadema walinyimwa kibali kwakua rubani wao yuko 65+. Hapa Tanzani tuna marubani wangapi?
Ndege anayotumia Lisu ya Jambo air mbona inaruka Kama kawaidaChadema walinyimwa kibali kwakua rubani wao yuko 65+. Hapa Tanzani tuna marubani wangapi?