Uchaguzi 2020 Hatimaye CCM na mgombea wao waanza kutumia chopa kama usafiri wa kampeni

Uchaguzi 2020 Hatimaye CCM na mgombea wao waanza kutumia chopa kama usafiri wa kampeni

Hatimaye Chama Cha Mapinduzi kimeamua kuanza kutumia chopa kama sehemu ya usafiri wa kampeni zake.

Chopa hiyo itaanza kutumika kwenye nusu ya pili ya harakati za kampeni kuelekea October 28,chopa hiyo yenye usajili wa 5Y-HSN imekodiwa toka nchini Kenya kwa mmoja wa wanasiasa na mfanyabiashara maarufu Ndugu Simeon Nyachae.

Simon Nyachae, mwanasiasa wa County ya Kisii nchini Kenya, ni rafiki na mshirika pia wa Rais Magufuli, kwani hapo awali wakati wa Utawala wa Mwai Kibaki, Nyachae aliwahi kuhudumu kama Waziri wa barabara.

Wakati Muungano wa Rais Kibaki wa NARC ulipoanza kudhoofika kwenye uungwaji mkono, chama cha FORD-People cha Nyachae kikajiunga naye, na rais Mwai Kibaki akamteua Nyachae kama Waziri wa Nishati na baadae akampa kuwa waziri wa Barabara.

Nyachae alitajwa katika ripoti ya Waki kama mmoja wa wahusika wa vurugu za baada ya uchaguzi wa 2007-2008 ambapo zaidi ya watu 1,600 walifariki.

Aliaminika kupanga mashambulizi dhidi ya viongozi wa upinzani wa ODM.

Aligombea na kupoteza uchaguzi wa ubunge wa mwaka 2007.
Chopa la nini tena, si akina Lusinde na maccm mengine walituaminisha kuwa atashinda bila hata kampeni? Madaraja hayatoshi tena kudanganyia? Midege je? Lakini hawa si wamehodhi tv na redio zikitangaza live kila wanachofanya, chopa la nini? Upepo umebadilika ghafla eti ee! Lakini kwa nini wamhofu Lissu kiasi hicho? Kwanza kusikiliza kampeni zake tunatumia simu ama kwenda kwenye mikutano yake. Sasa tumeanza kuamini kuwa ukweli huwa haufukiwi na uongo. Ogopa power ya teknolojia, utadhibiti tv,magazeti na resio lakini utakwama kwenye mitandao ya kijamii.
 
Eh! Mungu Baba 🙏🏽🙏🏽🙏🏽

Hatimaye Chama Cha Mapinduzi kimeamua kuanza kutumia chopa kama sehemu ya usafiri wa kampeni zake.

Chopa hiyo itaanza kutumika kwenye nusu ya pili ya harakati za kampeni kuelekea October 28,chopa hiyo yenye usajili wa 5Y-HSN imekodiwa toka nchini Kenya kwa mmoja wa wanasiasa na mfanyabiashara maarufu Ndugu Simeon Nyachae.

Simon Nyachae, mwanasiasa wa County ya Kisii nchini Kenya, ni rafiki na mshirika pia wa Rais Magufuli, kwani hapo awali wakati wa Utawala wa Mwai Kibaki, Nyachae aliwahi kuhudumu kama Waziri wa barabara.

Wakati Muungano wa Rais Kibaki wa NARC ulipoanza kudhoofika kwenye uungwaji mkono, chama cha FORD-People cha Nyachae kikajiunga naye, na rais Mwai Kibaki akamteua Nyachae kama Waziri wa Nishati na baadae akampa kuwa waziri wa Barabara.

Nyachae alitajwa katika ripoti ya Waki kama mmoja wa wahusika wa vurugu za baada ya uchaguzi wa 2007-2008 ambapo zaidi ya watu 1,600 walifariki.

Aliaminika kupanga mashambulizi dhidi ya viongozi wa upinzani wa ODM.

Aligombea na kupoteza uchaguzi wa ubunge wa mwaka 2007.
 
Hatimaye Chama Cha Mapinduzi kimeamua kuanza kutumia chopa kama sehemu ya usafiri wa kampeni zake.

Chopa hiyo itaanza kutumika kwenye nusu ya pili ya harakati za kampeni kuelekea October 28,chopa hiyo yenye usajili wa 5Y-HSN imekodiwa toka nchini Kenya kwa mmoja wa wanasiasa na mfanyabiashara maarufu Ndugu Simeon Nyachae.

Simon Nyachae, mwanasiasa wa County ya Kisii nchini Kenya, ni rafiki na mshirika pia wa Rais Magufuli, kwani hapo awali wakati wa Utawala wa Mwai Kibaki, Nyachae aliwahi kuhudumu kama Waziri wa barabara.

Wakati Muungano wa Rais Kibaki wa NARC ulipoanza kudhoofika kwenye uungwaji mkono, chama cha FORD-People cha Nyachae kikajiunga naye, na rais Mwai Kibaki akamteua Nyachae kama Waziri wa Nishati na baadae akampa kuwa waziri wa Barabara.

Nyachae alitajwa katika ripoti ya Waki kama mmoja wa wahusika wa vurugu za baada ya uchaguzi wa 2007-2008 ambapo zaidi ya watu 1,600 walifariki.

Aliaminika kupanga mashambulizi dhidi ya viongozi wa upinzani wa ODM.

Aligombea na kupoteza uchaguzi wa ubunge wa mwaka 2007.
Kwa hiyo???
 
Hatimaye Chama Cha Mapinduzi kimeamua kuanza kutumia chopa kama sehemu ya usafiri wa kampeni zake.

Chopa hiyo itaanza kutumika kwenye nusu ya pili ya harakati za kampeni kuelekea October 28,chopa hiyo yenye usajili wa 5Y-HSN imekodiwa toka nchini Kenya kwa mmoja wa wanasiasa na mfanyabiashara maarufu Ndugu Simeon Nyachae.

Simon Nyachae, mwanasiasa wa County ya Kisii nchini Kenya, ni rafiki na mshirika pia wa Rais Magufuli, kwani hapo awali wakati wa Utawala wa Mwai Kibaki, Nyachae aliwahi kuhudumu kama Waziri wa barabara.

Wakati Muungano wa Rais Kibaki wa NARC ulipoanza kudhoofika kwenye uungwaji mkono, chama cha FORD-People cha Nyachae kikajiunga naye, na rais Mwai Kibaki akamteua Nyachae kama Waziri wa Nishati na baadae akampa kuwa waziri wa Barabara.

Nyachae alitajwa katika ripoti ya Waki kama mmoja wa wahusika wa vurugu za baada ya uchaguzi wa 2007-2008 ambapo zaidi ya watu 1,600 walifariki.

Aliaminika kupanga mashambulizi dhidi ya viongozi wa upinzani wa ODM.

Aligombea na kupoteza uchaguzi wa ubunge wa mwaka 2007.
Ninacho animi ni kuwa hats Kama tutatumia meli kwenye kampeni,bila kuhakikisha Uhuru,haki na maendeleo ya kweli Yana kuwepo,muda tayari ulisha tuacha.kwam mpenda haki yeyote wito wangu kwako chagua mpenda haki ,utu na Uhuru wa kweliatika nyanja zote.
 
Mungu aliwakinga Chadema na hili kunyimwa kibali
Kutumia barabara unawafikia wananchi wote
Acheni waendelee na kujiinua eti tunatumia chopa ni kujipunguzia wa kukesha na kuabudu team walioko barabarani
 
Nawashauri Chopa hiyo asiitumie mgombea maana atatutia hasara ya kurudia uchaguzi.Hiyo chopa wamwachie Bashiru na polepole hata wakianguka uchaguzi utaendelea,Ccm bwana Chopa tena kutoka Kenya na namna mlivyowaumiza namna ile unafikiri wanawapenda.Mtajua hamjui!
 
Hatimaye Chama Cha Mapinduzi kimeamua kuanza kutumia chopa kama sehemu ya usafiri wa kampeni zake.

Chopa hiyo itaanza kutumika kwenye nusu ya pili ya harakati za kampeni kuelekea October 28,chopa hiyo yenye usajili wa 5Y-HSN imekodiwa toka nchini Kenya kwa mmoja wa wanasiasa na mfanyabiashara maarufu Ndugu Simeon Nyachae.

Simon Nyachae, mwanasiasa wa County ya Kisii nchini Kenya, ni rafiki na mshirika pia wa Rais Magufuli, kwani hapo awali wakati wa Utawala wa Mwai Kibaki, Nyachae aliwahi kuhudumu kama Waziri wa barabara.

Wakati Muungano wa Rais Kibaki wa NARC ulipoanza kudhoofika kwenye uungwaji mkono, chama cha FORD-People cha Nyachae kikajiunga naye, na rais Mwai Kibaki akamteua Nyachae kama Waziri wa Nishati na baadae akampa kuwa waziri wa Barabara.

Nyachae alitajwa katika ripoti ya Waki kama mmoja wa wahusika wa vurugu za baada ya uchaguzi wa 2007-2008 ambapo zaidi ya watu 1,600 walifariki.

Aliaminika kupanga mashambulizi dhidi ya viongozi wa upinzani wa ODM.

Aligombea na kupoteza uchaguzi wa ubunge wa mwaka 2007.

Ndege wafananao huruka pamoja
 
Ameshtuka kuwa watu hawali hayo mapushapu yake wala madege.
hata rais awe vp hawezi kupa chakula cha kulea familia yako ndg..pambana kivyako mkuu mbona kuna watu wametusua ktk kipindi hichi... watu wanacholia liaa
 
Back
Top Bottom