Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Asilimia 90 hawatumii akili.Leo wewe sio nwanachadema?.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asilimia 90 hawatumii akili.Leo wewe sio nwanachadema?.
Kumbe Lisu naye alikata pumzi alipotaka kutumia chopa.
Nyumbu mnakuwa wajinga kuliko
Ndiyo! Pombe ikimwagika inabidi tuahirishe kwa muda ili chama kipate mbadala!kwani katiba inasema hivyo? jikumbushe wakati wa Mkapa
Chopa la nini tena, si akina Lusinde na maccm mengine walituaminisha kuwa atashinda bila hata kampeni? Madaraja hayatoshi tena kudanganyia? Midege je? Lakini hawa si wamehodhi tv na redio zikitangaza live kila wanachofanya, chopa la nini? Upepo umebadilika ghafla eti ee! Lakini kwa nini wamhofu Lissu kiasi hicho? Kwanza kusikiliza kampeni zake tunatumia simu ama kwenda kwenye mikutano yake. Sasa tumeanza kuamini kuwa ukweli huwa haufukiwi na uongo. Ogopa power ya teknolojia, utadhibiti tv,magazeti na resio lakini utakwama kwenye mitandao ya kijamii.Hatimaye Chama Cha Mapinduzi kimeamua kuanza kutumia chopa kama sehemu ya usafiri wa kampeni zake.
Chopa hiyo itaanza kutumika kwenye nusu ya pili ya harakati za kampeni kuelekea October 28,chopa hiyo yenye usajili wa 5Y-HSN imekodiwa toka nchini Kenya kwa mmoja wa wanasiasa na mfanyabiashara maarufu Ndugu Simeon Nyachae.
Simon Nyachae, mwanasiasa wa County ya Kisii nchini Kenya, ni rafiki na mshirika pia wa Rais Magufuli, kwani hapo awali wakati wa Utawala wa Mwai Kibaki, Nyachae aliwahi kuhudumu kama Waziri wa barabara.
Wakati Muungano wa Rais Kibaki wa NARC ulipoanza kudhoofika kwenye uungwaji mkono, chama cha FORD-People cha Nyachae kikajiunga naye, na rais Mwai Kibaki akamteua Nyachae kama Waziri wa Nishati na baadae akampa kuwa waziri wa Barabara.
Nyachae alitajwa katika ripoti ya Waki kama mmoja wa wahusika wa vurugu za baada ya uchaguzi wa 2007-2008 ambapo zaidi ya watu 1,600 walifariki.
Aliaminika kupanga mashambulizi dhidi ya viongozi wa upinzani wa ODM.
Aligombea na kupoteza uchaguzi wa ubunge wa mwaka 2007.
Umelitendea haki jina lakoMafuta yakauke likiwa angani lishuke taratiiiibuu
Hatimaye Chama Cha Mapinduzi kimeamua kuanza kutumia chopa kama sehemu ya usafiri wa kampeni zake.
Chopa hiyo itaanza kutumika kwenye nusu ya pili ya harakati za kampeni kuelekea October 28,chopa hiyo yenye usajili wa 5Y-HSN imekodiwa toka nchini Kenya kwa mmoja wa wanasiasa na mfanyabiashara maarufu Ndugu Simeon Nyachae.
Simon Nyachae, mwanasiasa wa County ya Kisii nchini Kenya, ni rafiki na mshirika pia wa Rais Magufuli, kwani hapo awali wakati wa Utawala wa Mwai Kibaki, Nyachae aliwahi kuhudumu kama Waziri wa barabara.
Wakati Muungano wa Rais Kibaki wa NARC ulipoanza kudhoofika kwenye uungwaji mkono, chama cha FORD-People cha Nyachae kikajiunga naye, na rais Mwai Kibaki akamteua Nyachae kama Waziri wa Nishati na baadae akampa kuwa waziri wa Barabara.
Nyachae alitajwa katika ripoti ya Waki kama mmoja wa wahusika wa vurugu za baada ya uchaguzi wa 2007-2008 ambapo zaidi ya watu 1,600 walifariki.
Aliaminika kupanga mashambulizi dhidi ya viongozi wa upinzani wa ODM.
Aligombea na kupoteza uchaguzi wa ubunge wa mwaka 2007.
Hawa mbwa wamechoka sanaPumzi imeanza kukata, Lissu piga sana nyundo hawa mbwa
Kwa hiyo???Hatimaye Chama Cha Mapinduzi kimeamua kuanza kutumia chopa kama sehemu ya usafiri wa kampeni zake.
Chopa hiyo itaanza kutumika kwenye nusu ya pili ya harakati za kampeni kuelekea October 28,chopa hiyo yenye usajili wa 5Y-HSN imekodiwa toka nchini Kenya kwa mmoja wa wanasiasa na mfanyabiashara maarufu Ndugu Simeon Nyachae.
Simon Nyachae, mwanasiasa wa County ya Kisii nchini Kenya, ni rafiki na mshirika pia wa Rais Magufuli, kwani hapo awali wakati wa Utawala wa Mwai Kibaki, Nyachae aliwahi kuhudumu kama Waziri wa barabara.
Wakati Muungano wa Rais Kibaki wa NARC ulipoanza kudhoofika kwenye uungwaji mkono, chama cha FORD-People cha Nyachae kikajiunga naye, na rais Mwai Kibaki akamteua Nyachae kama Waziri wa Nishati na baadae akampa kuwa waziri wa Barabara.
Nyachae alitajwa katika ripoti ya Waki kama mmoja wa wahusika wa vurugu za baada ya uchaguzi wa 2007-2008 ambapo zaidi ya watu 1,600 walifariki.
Aliaminika kupanga mashambulizi dhidi ya viongozi wa upinzani wa ODM.
Aligombea na kupoteza uchaguzi wa ubunge wa mwaka 2007.
Wanatakiwa kutandikwa bakora hasa, naona mbinu za kushindwa kumpoteza Lissu kwa zile risasi zao kugongwa mwamba zinawachanganya sanaHawa mbwa wamechoka sana
Wanatakiwa kutandikwa bakora hasa, naona mbinu za kushindwa kumpoteza Lissu kwa zile risasi zao kugongwa mwamba zinawachanganya sana
Ninacho animi ni kuwa hats Kama tutatumia meli kwenye kampeni,bila kuhakikisha Uhuru,haki na maendeleo ya kweli Yana kuwepo,muda tayari ulisha tuacha.kwam mpenda haki yeyote wito wangu kwako chagua mpenda haki ,utu na Uhuru wa kweliatika nyanja zote.Hatimaye Chama Cha Mapinduzi kimeamua kuanza kutumia chopa kama sehemu ya usafiri wa kampeni zake.
Chopa hiyo itaanza kutumika kwenye nusu ya pili ya harakati za kampeni kuelekea October 28,chopa hiyo yenye usajili wa 5Y-HSN imekodiwa toka nchini Kenya kwa mmoja wa wanasiasa na mfanyabiashara maarufu Ndugu Simeon Nyachae.
Simon Nyachae, mwanasiasa wa County ya Kisii nchini Kenya, ni rafiki na mshirika pia wa Rais Magufuli, kwani hapo awali wakati wa Utawala wa Mwai Kibaki, Nyachae aliwahi kuhudumu kama Waziri wa barabara.
Wakati Muungano wa Rais Kibaki wa NARC ulipoanza kudhoofika kwenye uungwaji mkono, chama cha FORD-People cha Nyachae kikajiunga naye, na rais Mwai Kibaki akamteua Nyachae kama Waziri wa Nishati na baadae akampa kuwa waziri wa Barabara.
Nyachae alitajwa katika ripoti ya Waki kama mmoja wa wahusika wa vurugu za baada ya uchaguzi wa 2007-2008 ambapo zaidi ya watu 1,600 walifariki.
Aliaminika kupanga mashambulizi dhidi ya viongozi wa upinzani wa ODM.
Aligombea na kupoteza uchaguzi wa ubunge wa mwaka 2007.
Chama cha matusi, vipi tena mmeshazidiwa nyumbu nyieMjinga ni mamako tu anayegalagazwa mpaka na wajukuu zake!
Hatimaye Chama Cha Mapinduzi kimeamua kuanza kutumia chopa kama sehemu ya usafiri wa kampeni zake.
Chopa hiyo itaanza kutumika kwenye nusu ya pili ya harakati za kampeni kuelekea October 28,chopa hiyo yenye usajili wa 5Y-HSN imekodiwa toka nchini Kenya kwa mmoja wa wanasiasa na mfanyabiashara maarufu Ndugu Simeon Nyachae.
Simon Nyachae, mwanasiasa wa County ya Kisii nchini Kenya, ni rafiki na mshirika pia wa Rais Magufuli, kwani hapo awali wakati wa Utawala wa Mwai Kibaki, Nyachae aliwahi kuhudumu kama Waziri wa barabara.
Wakati Muungano wa Rais Kibaki wa NARC ulipoanza kudhoofika kwenye uungwaji mkono, chama cha FORD-People cha Nyachae kikajiunga naye, na rais Mwai Kibaki akamteua Nyachae kama Waziri wa Nishati na baadae akampa kuwa waziri wa Barabara.
Nyachae alitajwa katika ripoti ya Waki kama mmoja wa wahusika wa vurugu za baada ya uchaguzi wa 2007-2008 ambapo zaidi ya watu 1,600 walifariki.
Aliaminika kupanga mashambulizi dhidi ya viongozi wa upinzani wa ODM.
Aligombea na kupoteza uchaguzi wa ubunge wa mwaka 2007.
hata rais awe vp hawezi kupa chakula cha kulea familia yako ndg..pambana kivyako mkuu mbona kuna watu wametusua ktk kipindi hichi... watu wanacholia liaaAmeshtuka kuwa watu hawali hayo mapushapu yake wala madege.
Kwahiyo kutumia chopa ni kuishiwa pumzi?
CHADEMA ina watu wengine wa hovyo kabisa mmoja wapo ni wewe