Hilo tu?Chief Godlove ame bambwa. Kuna video ina sambaa mtandaoni iki mu expose Chief Godlove . Katika video hiyo chief anaonekana akiwa na hela ambazo ukichunguza vizuri utagundua kwamba ni note moja ya elfu kumi kwa juu ila kwa chini ni vimbao. Ukitazama vibaya unaweza kufikiri ni mabulungutu..
Maisha ya mtandaoni ni fake as hell
Aisee πππHuna pesa na huzijui pesa Chief Godlove ana pesa hatanii hizo ni pesa
Siku zote kwenye pesa hakunaga kelele note hilo.Chief Godlove ame bambwa. Kuna video ina sambaa mtandaoni iki mu expose Chief Godlove . Katika video hiyo chief anaonekana akiwa na hela ambazo ukichunguza vizuri utagundua kwamba ni note moja ya elfu kumi kwa juu ila kwa chini ni vimbao. Ukitazama vibaya unaweza kufikiri ni mabulungutu..
Maisha ya mtandaoni ni fake as hell
Aisee..!!Huna pesa na huzijui pesa Chief Godlove ana pesa hatanii hizo ni pesa
Ulipotea...Hivi huwa mnamchukulia serious huyo mtu? Mimi mtu akishaanza show off za hela kama sio tapeli basi ni mshamba.
Kumbe yupo Dodoma..!!!wanasema anaweka pepsi kwenye zile chupa za Hennessy na wauza nguo wa dodoma anawakopa sana π π
Sijawahai muona tajiri anapiga keleleSiku zote kwenye pesa hakunaga kelele note hilo.
Kumbe yupo Dodoma..!!!
Kumbe ni mwanakijiji....Kumbe yupo Dodoma..!!!