Hatimaye Chris Brown kaweka wazi kuwa Member wa team KATAA NDOA

Hatimaye Chris Brown kaweka wazi kuwa Member wa team KATAA NDOA

Jobless_Billionaire

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2022
Posts
3,106
Reaction score
8,101
Unakubaliana na Chris Breezy?"

Mwanamume aliyeoa ni mtu mfu anayetembea kwenye rehema za Mke wake. Siwezi kamwe kuoa kwa sababu yoyote ile." Chris Brown

"Sidhani kama ndoa ina maana yoyote kwa wanaume. Mwanaume yeyote aliyeoa ni mtu aliyekwisha. Ninaelewa ndoa ni nini na ndio maana siwezi kuoa..

Ndoa ni mpango ambapo wanaume huingia kwa Mapenzi huku wanawake wakitafuta Pesa. Na mara tu mwanamke anapopata fursa, anakuacha, na kuondoka na 75% ya kila kitu ambacho umewahi kufanyia kazi. Kuwa katika mapenzi ni kitu ambacho wanaume pekee wanahisi kwa wanawake siku hizi. Wanawake wanahisi pesa tu. Nipo mahali katika maisha yangu ambapo watu pekee ninaowahitaji ni watoto wangu na mama yangu kwa maisha yangu yote. Siwezi kamwe kuoa kwa sababu najua itaishia kwa mimi kuachana na kupoteza kila kitu nilichowahi kufanyia kazi maishani mwangu." Chris Brown

Siku hizi, Wanaume wanatafuta Upendo wa Kweli huku Wanawake wakitafuta Pesa ya Kweli.

Kwa asilimia kubwa naweza kuona jamaa yupo sahihi. Wanawake wengi wanaolewa kupata relief ya maisha wakati wanaume wanaingia kwa upendo, ila usije ukaomba mwanamke huyo ajipate. Hakuna milio itaacha kusikika. Team kataa ndoa wanazidi kujikwapulia wafuasi.

1000045491.jpg
 

Attachments

  • images (1).jpeg
    images (1).jpeg
    28.8 KB · Views: 7
Modern ndoa ndio zilizokuja kubadilisha maana halisi ya ndoa.

Na huko Marekani home town yale maswala ya feminism yamekithiri yamesababisha kuongeza tishio kwa waoaji.

Saizi kufanya maamuzi ya kuoa ukiwa Marekani ni kama una sign consent ya kufanyiwa lung transplant ambayo ina risk nyingi na uhakika wa kutoka salama ni mdogo
 
Kwa wenzetu ndoa ni biashara ndo maana wanaume weng wenye hela wanachukia ndoa sababu ikivunjika mwanamke anafaidi jasho lako 50/50
Huku kwetu nikiolewa na kapuku mwenzangu ndoa ikivunjika nabeba sandarus langu na watoto wangu kwaherii labda ubebe na bakuli ulizonunua
 
Ana hoja, vipi akitaka shoo atakuwa anapiga na kuacha akimaliza? Watu tunaoa kwa ajili ya kupata shoo ya bure muda wowote ukitaka
Crisbrown na umaarufu wake akitaka demu yoyote yule anampata tena free na kwa mda wowote.Hawa wanawake wanavyo shobokea mastaa hamna wa kumchomolea Crisbrown tena wengi wanajipeleka wenyewe.
 
Crisbrown na umaarufu wake akitaka demu yoyote yule anampata tena free na kwa mda wowote.Hawa wanawake wanavyo shobokea mastaa hamna wa kumchomolea Crisbrown tena wengi wanajipeleka wenyewe.
Jidanganye
 
Taama ya fedha ya wanawake inaondoa kabisa maana ya upendo na huku dunia ya tatu tunavyo promoti feminism tunaelekea huko huko.

Ukizingatia fedha nayo imerahisisha sana kupatikana kwa ngono, ndio kabisa vijana wanaona bora wasioe. True love unaitafuta kwa tochi.
 
Pep Guardiola mkewe kadai talaka mahakamani kisa mumewe yupo busy na kazi
Halafu hapo hapo anataka wagawane mali ambazo zinatokana na KAZI anayoilalamikia
Wanaume hatupumziki mpaka tunakufa
huyo mke naye wa ajabu! Kama mume wake yuko bize anakosaje wa kumtwanga masasi maadam mume anaye na ndoa iendelee? Michepuko imejaa tele
 
Makapuku tu ndio walikosa wake wa kuwaoa kutokana na ukapuku wao. Sasa hata wenye nazo wana hofu na ndoa kukombwa ndoa ikivunjika
 
Pep Guardiola mkewe kadai talaka mahakamani kisa mumewe yupo busy na kazi
Halafu hapo hapo anataka wagawane mali ambazo zinatokana na KAZI anayoilalamikia
Wanaume hatupumziki mpaka tunakufa
Nadhani hapo tatizo sio ndoa, tatizo ni sheria za kuachana zimekaa kipuuzi, mtu unaishi chini ya ardhi miezi na kazi ngumu, halafu leo unagawana 50/50 na mwenzio aliekua kaiweka tu home, si upimbi huo.
 
Back
Top Bottom