Hatimaye Chris Brown kaweka wazi kuwa Member wa team KATAA NDOA

Hatimaye Chris Brown kaweka wazi kuwa Member wa team KATAA NDOA

Crisbrown kwanza hana mikato hiyo.

Naona ushaelekeza hii maada kwemda ajenda za kidini, ww unazani waislam wa US wanatime na ndoa,kule mkiachana hawatizami sheria zenu za dini bali za nchi.
Hakuna DUNIANI Mwanaume Ambaye Anasuka Nywele, Anavaa Hereni, Anajichora Matatoo Mpaka Shingoni Alafu Akakosa Wazo La Kutamani HATA Kwa Siku Moja Kuonjwa Walau Mara Moja Kwenye Maisha Yake Fanya Uchunguzi.

Na Kuhusu Dini Wala Sijakurupuka Wote Habari Zao Za Kuachana Zinazotolewa Kwenye Vyombo Vya Habari Ni Ndoa Za Kanisani Sasa Ili Nionekane Nimekosea Wewe Leta Ushahidi Wa Kuvunjika Kwa Ndoa Za Waislam Wa Huko Americano Na Sehemu Nyingie Zinazo Julikana.
 
Hakuna DUNIANI Mwanaume Ambaye Anasuka Nywele, Anavaa Hereni, Anajichora Matatoo Mpaka Shingoni Alafu Akakosa Wazo La Kutamani HATA Kwa Siku Moja Kuonjwa Walau Mara Moja Kwenye Maisha Yake Fanya Uchunguzi.

Na Kuhusu Dini Wala Sijakurupuka Wote Habari Zao Za Kuachana Zinazotolewa Kwenye Vyombo Vya Habari Ni Ndoa Za Kanisani Sasa Ili Nionekane Nimekosea Wewe Leta Ushahidi Wa Kuvunjika Kwa Ndoa Za Waislam Wa Huko Americano Na Sehemu Nyingie Zinazo Julikana.
Kuna wamasai wanasuka au hawa hawaishi duniani? Kuna wale wabrazil wanaishi misitu ya Amazon huko wanatoga masikio na kujichora vip hawa wote wanaonjwa?NBA kuna lundo la wachezaji kibao wanasuka na wanavaa heleni, sijawahi kusikia upuuzi.

Mimi siwezi bishana na ww sababu naona utaiharibu hii mada,ila US hawatazami hizo sheria zenu kataa au ubishe.Hebu jifunze kufikiria na kuwaza nje ya imani yako.Uzi nzuri unaleta na itikadi zako ambazo hazihusiani kabisa huu uzi.
 
Ana hoja, vipi akitaka shoo atakuwa anapiga na kuacha akimaliza? Watu tunaoa kwa ajili ya kupata shoo ya bure muda wowote ukitaka
Eti shoo ya bure Kodi ya meza plus kumtunza huyo demu wako sio garama
 
Back
Top Bottom