Hatimaye Chris Brown kaweka wazi kuwa Member wa team KATAA NDOA

Hatimaye Chris Brown kaweka wazi kuwa Member wa team KATAA NDOA

vijana wakitanzania kwa kujazana ujinga sasa kijana una sabufa na jaba ndani unaogoga eti mke atakuja kukufilisi mali zako kweli..., acheni ujinga vijan😆😆😆😆a oeni msaidiane kunasuka kwenye lindi la umasikini
😆😆😆😆😆😆😆🤣🤣🤣🤣🤣🤣😭😭😭😭
 
Unakubaliana na Chris Breezy?"

Mwanamume aliyeoa ni mtu mfu anayetembea kwenye rehema za Mke wake. Siwezi kamwe kuoa kwa sababu yoyote ile." Chris Brown

"Sidhani kama ndoa ina maana yoyote kwa wanaume. Mwanaume yeyote aliyeoa ni mtu aliyekwisha. Ninaelewa ndoa ni nini na ndio maana siwezi kuoa..

Ndoa ni mpango ambapo wanaume huingia kwa Mapenzi huku wanawake wakitafuta Pesa. Na mara tu mwanamke anapopata fursa, anakuacha, na kuondoka na 75% ya kila kitu ambacho umewahi kufanyia kazi. Kuwa katika mapenzi ni kitu ambacho wanaume pekee wanahisi kwa wanawake siku hizi. Wanawake wanahisi pesa tu. Nipo mahali katika maisha yangu ambapo watu pekee ninaowahitaji ni watoto wangu na mama yangu kwa maisha yangu yote. Siwezi kamwe kuoa kwa sababu najua itaishia kwa mimi kuachana na kupoteza kila kitu nilichowahi kufanyia kazi maishani mwangu." Chris Brown

Siku hizi, Wanaume wanatafuta Upendo wa Kweli huku Wanawake wakitafuta Pesa ya Kweli.

Kwa asilimia kubwa naweza kuona jamaa yupo sahihi. Wanawake wengi wanaolewa kupata relief ya maisha wakati wanaume wanaingia kwa upendo, ila usije ukaomba mwanamke huyo ajipate. Hakuna milio itaacha kusikika. Team kataa ndoa wanazidi kujikwapulia wafuasi.

View attachment 3210095
Ndoa inahitaji kiongozi (mume) bora! Kwa kauli hiyo chriss brown unaonekana hujui kuongoza mambo!
 
Unakubaliana na Chris Breezy?"

Mwanamume aliyeoa ni mtu mfu anayetembea kwenye rehema za Mke wake. Siwezi kamwe kuoa kwa sababu yoyote ile." Chris Brown

"Sidhani kama ndoa ina maana yoyote kwa wanaume. Mwanaume yeyote aliyeoa ni mtu aliyekwisha. Ninaelewa ndoa ni nini na ndio maana siwezi kuoa..

Ndoa ni mpango ambapo wanaume huingia kwa Mapenzi huku wanawake wakitafuta Pesa. Na mara tu mwanamke anapopata fursa, anakuacha, na kuondoka na 75% ya kila kitu ambacho umewahi kufanyia kazi. Kuwa katika mapenzi ni kitu ambacho wanaume pekee wanahisi kwa wanawake siku hizi. Wanawake wanahisi pesa tu. Nipo mahali katika maisha yangu ambapo watu pekee ninaowahitaji ni watoto wangu na mama yangu kwa maisha yangu yote. Siwezi kamwe kuoa kwa sababu najua itaishia kwa mimi kuachana na kupoteza kila kitu nilichowahi kufanyia kazi maishani mwangu." Chris Brown

Siku hizi, Wanaume wanatafuta Upendo wa Kweli huku Wanawake wakitafuta Pesa ya Kweli.

Kwa asilimia kubwa naweza kuona jamaa yupo sahihi. Wanawake wengi wanaolewa kupata relief ya maisha wakati wanaume wanaingia kwa upendo, ila usije ukaomba mwanamke huyo ajipate. Hakuna milio itaacha kusikika. Team kataa ndoa wanazidi kujikwapulia wafuasi.

View attachment 3210095
Kavurugwa
 
aisee futa hayo mawazo kijana wangu huo ni umri wa kufikiria kuwa na familia ikibidi kuwa na urafiki na watu waliokuzidi umri mara mbili yako wakushauri yalio ya msingi kiuchumi na kimaisha
Daah umeandika kama mzee wangu basi ntafanya hivyo huenda nikaona umhimu
 
Unakubaliana na Chris Breezy?"

Mwanamume aliyeoa ni mtu mfu anayetembea kwenye rehema za Mke wake. Siwezi kamwe kuoa kwa sababu yoyote ile." Chris Brown

"Sidhani kama ndoa ina maana yoyote kwa wanaume. Mwanaume yeyote aliyeoa ni mtu aliyekwisha. Ninaelewa ndoa ni nini na ndio maana siwezi kuoa..

Ndoa ni mpango ambapo wanaume huingia kwa Mapenzi huku wanawake wakitafuta Pesa. Na mara tu mwanamke anapopata fursa, anakuacha, na kuondoka na 75% ya kila kitu ambacho umewahi kufanyia kazi. Kuwa katika mapenzi ni kitu ambacho wanaume pekee wanahisi kwa wanawake siku hizi. Wanawake wanahisi pesa tu. Nipo mahali katika maisha yangu ambapo watu pekee ninaowahitaji ni watoto wangu na mama yangu kwa maisha yangu yote. Siwezi kamwe kuoa kwa sababu najua itaishia kwa mimi kuachana na kupoteza kila kitu nilichowahi kufanyia kazi maishani mwangu." Chris Brown

Siku hizi, Wanaume wanatafuta Upendo wa Kweli huku Wanawake wakitafuta Pesa ya Kweli.

Kwa asilimia kubwa naweza kuona jamaa yupo sahihi. Wanawake wengi wanaolewa kupata relief ya maisha wakati wanaume wanaingia kwa upendo, ila usije ukaomba mwanamke huyo ajipate. Hakuna milio itaacha kusikika. Team kataa ndoa wanazidi kujikwapulia wafuasi.

View attachment 3210095
Seen
 
Back
Top Bottom