Hatimaye Chris Brown kaweka wazi kuwa Member wa team KATAA NDOA

Kijana wa kibongo ukipata hela oa fasta na zaa watoto wasiopungua watatu harakaharaka ili kama ndoa itavunjika tayari una watoto. Na huyo mama atabaki nunganyembe hakuna anayea jimama lenye watoto mzegazega apeleke wapi wakati baba yao yupo. Uaminifu umepungua sana wanawake wanaangalia maslahi tu
 
Huko tunako kwenda ndoa salama ni za watu wa jinsia moja.
Ndoa za mwanamke na wanaume tayari zimeisha angushwa na harakati za kila siku.
Feminist wamefanikiwa kupandikiza taswira mbaya juu ya NDOA.

Kiasi kwamba sasa hivi mwanaume kuoa ni kujitafutia matatizo ya kujitakia.

#Mwanaume Kaa mbali na ndoa kwa usalama wako
 
kama huna hela shoo hupati, utabaki na ugwadu mpaka upande kichwani uwehuke kizembe. Hakuna shoo za bure siku hizi, hata zile za kuokoteza mitaani na kwenye madanguro ni za kulipia. Wanakuambia huwezi kunichafua bure bila kunipa hela ya sabuni
 
Pep Guardiola mkewe kadai talaka mahakamani kisa mumewe yupo busy na kazi
Halafu hapo hapo anataka wagawane mali ambazo zinatokana na KAZI anayoilalamikia
Wanaume hatupumziki mpaka tunakufa
Aisee πŸ€”
 
Kwa wenzetu wa mbele ndoa ni mtego mkubwa Sana ukiingia kichwa kichwa lazima ujutie

Ila sisi acha tuendelee kugandana na hawa akina Mwajuma Ndala Ndefu hadi pale kifo kitakapoingilia kati
 
Chris Breezy my role model ninayeshare naye birthday ( siku na mwezi)

Kama role model wangu anakaa ndoa mimi ni nani hata nioe akina Catherine nije nipigwe mabilioni yangu
 
Crisbrown na umaarufu wake akitaka demu yoyote yule anampata tena free na kwa mda wowote.Hawa wanawake wanavyo shobokea mastaa hamna wa kumchomolea Crisbrown tena wengi wanajipeleka wenyewe.
Usije Kushangaa Siku Unamwona Criss Na Yeye Anamtambulisha Mumewe.

Kunako Elekea Wakristo Watakuwa Hawaoi Hasa Magharibi Maana Kesi Ni Nyingi Tofauti Na Nchi Za Kiislamu.
 
Usije Kushangaa Siku Unamwona Criss Na Yeye Anamtambulisha Mumewe.

Kunako Elekea Wakristo Watakuwa Hawaoi Hasa Magharibi Maana Kesi Ni Nyingi Tofauti Na Nchi Za Kiislamu.
Crisbrown kwanza hana mikato hiyo.

Naona ushaelekeza hii maada kwemda ajenda za kidini, ww unazani waislam wa US wanatime na ndoa,kule mkiachana hawatizami sheria zenu za dini bali za nchi.
 
Ni chris brown sio mwambonde wa uyole
Ila watu mna majibu ya hovyo sana πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Sasa nyie mnajufananisha na chriss brown πŸ˜‚πŸ˜‚
Mnaogopa kugawana na wakezenu hizo baiskeli zenu baada ya talaka au πŸ˜€πŸ˜€
Kesho uje kisutu ukiwa na mwanasheria wako uje unilipe🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…