Khanji kapoor
JF-Expert Member
- Oct 19, 2024
- 1,198
- 2,695
ππππππππ€£π€£π€£π€£π€£π€£ππππvijana wakitanzania kwa kujazana ujinga sasa kijana una sabufa na jaba ndani unaogoga eti mke atakuja kukufilisi mali zako kweli..., acheni ujinga vijanππππa oeni msaidiane kunasuka kwenye lindi la umasikini
ππMwanasheria ninae na ninatamba naeππKesho uje kisutu ukiwa na mwanasheria wako uje unilipeπ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Ukute hata kopomla kuogea Hana anaogea bakuli ππππvijana wakitanzania kwa kujazana ujinga sasa kijana una sabufa na jaba ndani unaogoga eti mke atakuja kukufilisi mali zako kweli..., acheni ujinga vijana oeni msaidiane kunasuka kwenye lindi la umasikini
Nani alikwambia ukioa ndo huo umskini unaisha! Mnasuaneje? Ndoa niutapeli mkubwa Sanaa.vijana wakitanzania kwa kujazana ujinga sasa kijana una sabufa na jaba ndani unaogoga eti mke atakuja kukufilisi mali zako kweli..., acheni ujinga vijana oeni msaidiane kunasuka kwenye lindi la umasikini
SikuweziππMwanasheria ninae na ninatamba naeππ
una umri gani kijanaNani alikwambia ukioa ndo huo umskini unaisha! Mnasuaneje? Ndoa niutapeli mkubwa Sanaa.
kijana analala na dodoki ndani alafu anaogopa kuoa eti mke atamfilisiUkute hata kopomla kuogea Hana anaogea bakuli ππππ
26 lkn mbna hivyo mkuuuna umri gani kijana
Ndoa inahitaji kiongozi (mume) bora! Kwa kauli hiyo chriss brown unaonekana hujui kuongoza mambo!Unakubaliana na Chris Breezy?"
Mwanamume aliyeoa ni mtu mfu anayetembea kwenye rehema za Mke wake. Siwezi kamwe kuoa kwa sababu yoyote ile." Chris Brown
"Sidhani kama ndoa ina maana yoyote kwa wanaume. Mwanaume yeyote aliyeoa ni mtu aliyekwisha. Ninaelewa ndoa ni nini na ndio maana siwezi kuoa..
Ndoa ni mpango ambapo wanaume huingia kwa Mapenzi huku wanawake wakitafuta Pesa. Na mara tu mwanamke anapopata fursa, anakuacha, na kuondoka na 75% ya kila kitu ambacho umewahi kufanyia kazi. Kuwa katika mapenzi ni kitu ambacho wanaume pekee wanahisi kwa wanawake siku hizi. Wanawake wanahisi pesa tu. Nipo mahali katika maisha yangu ambapo watu pekee ninaowahitaji ni watoto wangu na mama yangu kwa maisha yangu yote. Siwezi kamwe kuoa kwa sababu najua itaishia kwa mimi kuachana na kupoteza kila kitu nilichowahi kufanyia kazi maishani mwangu." Chris Brown
Siku hizi, Wanaume wanatafuta Upendo wa Kweli huku Wanawake wakitafuta Pesa ya Kweli.
Kwa asilimia kubwa naweza kuona jamaa yupo sahihi. Wanawake wengi wanaolewa kupata relief ya maisha wakati wanaume wanaingia kwa upendo, ila usije ukaomba mwanamke huyo ajipate. Hakuna milio itaacha kusikika. Team kataa ndoa wanazidi kujikwapulia wafuasi.
View attachment 3210095
Mweee!Ana hoja, vipi akitaka shoo atakuwa anapiga na kuacha akimaliza? Watu tunaoa kwa ajili ya kupata shoo ya bure muda wowote ukitaka
aisee futa hayo mawazo kijana wangu huo ni umri wa kufikiria kuwa na familia ikibidi kuwa na urafiki na watu waliokuzidi umri mara mbili yako wakushauri yalio ya msingi kiuchumi na kimaisha26 lkn mbna hivyo mkuu
KavurugwaUnakubaliana na Chris Breezy?"
Mwanamume aliyeoa ni mtu mfu anayetembea kwenye rehema za Mke wake. Siwezi kamwe kuoa kwa sababu yoyote ile." Chris Brown
"Sidhani kama ndoa ina maana yoyote kwa wanaume. Mwanaume yeyote aliyeoa ni mtu aliyekwisha. Ninaelewa ndoa ni nini na ndio maana siwezi kuoa..
Ndoa ni mpango ambapo wanaume huingia kwa Mapenzi huku wanawake wakitafuta Pesa. Na mara tu mwanamke anapopata fursa, anakuacha, na kuondoka na 75% ya kila kitu ambacho umewahi kufanyia kazi. Kuwa katika mapenzi ni kitu ambacho wanaume pekee wanahisi kwa wanawake siku hizi. Wanawake wanahisi pesa tu. Nipo mahali katika maisha yangu ambapo watu pekee ninaowahitaji ni watoto wangu na mama yangu kwa maisha yangu yote. Siwezi kamwe kuoa kwa sababu najua itaishia kwa mimi kuachana na kupoteza kila kitu nilichowahi kufanyia kazi maishani mwangu." Chris Brown
Siku hizi, Wanaume wanatafuta Upendo wa Kweli huku Wanawake wakitafuta Pesa ya Kweli.
Kwa asilimia kubwa naweza kuona jamaa yupo sahihi. Wanawake wengi wanaolewa kupata relief ya maisha wakati wanaume wanaingia kwa upendo, ila usije ukaomba mwanamke huyo ajipate. Hakuna milio itaacha kusikika. Team kataa ndoa wanazidi kujikwapulia wafuasi.
View attachment 3210095
Daah umeandika kama mzee wangu basi ntafanya hivyo huenda nikaona umhimuaisee futa hayo mawazo kijana wangu huo ni umri wa kufikiria kuwa na familia ikibidi kuwa na urafiki na watu waliokuzidi umri mara mbili yako wakushauri yalio ya msingi kiuchumi na kimaisha
SeenUnakubaliana na Chris Breezy?"
Mwanamume aliyeoa ni mtu mfu anayetembea kwenye rehema za Mke wake. Siwezi kamwe kuoa kwa sababu yoyote ile." Chris Brown
"Sidhani kama ndoa ina maana yoyote kwa wanaume. Mwanaume yeyote aliyeoa ni mtu aliyekwisha. Ninaelewa ndoa ni nini na ndio maana siwezi kuoa..
Ndoa ni mpango ambapo wanaume huingia kwa Mapenzi huku wanawake wakitafuta Pesa. Na mara tu mwanamke anapopata fursa, anakuacha, na kuondoka na 75% ya kila kitu ambacho umewahi kufanyia kazi. Kuwa katika mapenzi ni kitu ambacho wanaume pekee wanahisi kwa wanawake siku hizi. Wanawake wanahisi pesa tu. Nipo mahali katika maisha yangu ambapo watu pekee ninaowahitaji ni watoto wangu na mama yangu kwa maisha yangu yote. Siwezi kamwe kuoa kwa sababu najua itaishia kwa mimi kuachana na kupoteza kila kitu nilichowahi kufanyia kazi maishani mwangu." Chris Brown
Siku hizi, Wanaume wanatafuta Upendo wa Kweli huku Wanawake wakitafuta Pesa ya Kweli.
Kwa asilimia kubwa naweza kuona jamaa yupo sahihi. Wanawake wengi wanaolewa kupata relief ya maisha wakati wanaume wanaingia kwa upendo, ila usije ukaomba mwanamke huyo ajipate. Hakuna milio itaacha kusikika. Team kataa ndoa wanazidi kujikwapulia wafuasi.
View attachment 3210095
Inashangaza sanaSasa nyie mnajufananisha na chriss brown ππ
Mnaogopa kugawana na wakezenu hizo baiskeli zenu baada ya talaka au ππ
Kama lengo lako ndio hilo usioeπ€£ utaishia kuwa very dissapointed.Ana hoja, vipi akitaka shoo atakuwa anapiga na kuacha akimaliza? Watu tunaoa kwa ajili ya kupata shoo ya bure muda wowote ukitaka