Hatimaye David Kafulila akabidhi ofisi, aendelea kusisitiza Rais Samia hakamatiki utekelezaji wa Ilani, amtaja kuvunja rekodi ya miaka 20 kwenye maji

Nenda kafanye research uje utuambie kati ya wanachama wa CHADEMA na Wale wa CCM, Ni wepi wananjaa kali
Mtu awapo ccm hasa akishaonja teuzi anakua na alosto ya njaa endelevu, yani unakabidhi ofisi maneno ya mapambio Kama yote ya kusifu Ili iweje? Je wenzake hufanya hivi ,Kama fulsa ipo ipo tu sio lazima tumia nguvu nyingi , ,some time yanakua hayatoki moyoni
 
Katiba mpya ya nini?

Kwanini msianze na hiyo yenu inayomwacha Mbowe kuwa mkt miaka 30,

CHADEMA UZENI TU HICHO CHAMA MGAWANE MTAKACHOPATA
Hofu yako KUU ni kutopata uteuzi holela tena. Katiba mpya yaja kujenga uwajibikaji na sio u-chawa
 
Labda ungesema tu maneno aliyoyasema KAFULILA ni kweli au sio kweli,

SIKILIZA JAMAA,

Sasa kama upatikanaji wa Maji Simiyu umepanda kutoka 56% hadi 73% na huu ni mwaka mmoja tu, JE UNATAKA MTU ASISEME KISA KATUMBULIWA?

Sasa kama Rais samia amepeleka 400BL UNATAKA MTU ASISEME KISA KATUMBULIWA?

Sasa kama Mama kaongeza bei ya Pamba mpka tsh 1,800 toka tsh 800 mwaka wa juzi UNATAKA MTU ASISEME KISA KATUMBULIWA?

KAFULILA GO,

HUYU MAMA ANAFANYA MAMBO MAKUBWA SANA ILA TU MENGI HAYASEMWI


UPINZANI TUPA KULE 2025
 
Hofu yako KUU ni kutopata uteuzi holela tena. Katiba mpya yaja kujenga uwajibikaji na sio u-chawa
Sawa anzeni na hiyo ya CHADEMA tuone mfano,

Ivi kwenye nchi hii kuna mtu anaweza kumzidi Mbowe kwa Machawa?
 
Anamsifia Samia wakati yeye alipanga kuua uchumi wa Simiyu kwa kupiga marufuku michomoko mjinga sana Kafulila

Mama Samia hahitaji kusifiwa na mtu.aliyemteua na kumuapisha anachotaka ni utendaji wa huyo mteuliwa full stop

Kama kuna mteuliwa anadhani kuwa mama anachotaka ni kusifiwa anapiteza muda

Mama Samia anachotaka akikukabidhi cheo na kukuapisha aone kazi sio pambio na nyimbo za nani kama Mama

Mama Samia hateui wanamziki au waimba kwaya au waimba pambio au nyimbo za kumsifu!!!

Wateuliwa hii awamau sio ya walitunga nyimbo za kwaya au za mziki au pambio au kaswida za kumsifu Raisi

Angalia tu umepewa kazi ipi ufanye.Akija eneo lako ziara hahitaji pambio na nyimbo za kusifia jiandae kuonyesha umetekelezaje wewe ilani na maelekezo na utekelezaji wa pesa za maendeleo zilizokuja eneo lako

Haji kutembelea eneo lako kuja kusikiliza kwaya,au muziki au pambio au kaswida za kumsifia

Kila kiongozi ajitathimini yeye kafanya nini sio Mama Samia kafanya nini
 
Whaat! Kujua kujipendekeza ndiyo kumwelewa? Kweli akili ni nywele.... BTW siku hizi watu wakitumbulia hawatoi tena maneno machafu au kuhama bali wanazidisha kusifu na kutukuza ili wakumbukwe tena. Mwasisi wa kucheza na akili za wateule wake ni Magufuli. Alikuwa anatumia ujanja wa kutumbua na kurudisha, iwapo aliyetumbuliwa aliendelea kumsifu na kumtukuza. Namna rais anakuwa ni kama ameshikia watu akili zao na anazichezea anavyopenda.
 
Tatizo lenu nyie Ufipa FC hampendi kumsikiliza Rais,

Rais alishasema yeye mwenyewe kuwa hawa wengine anawapeleka maeneo mengine
Sawa chama dola. Maeneo mengine ni kama vile aliyekuwa RC Kilimanjaro kwenda kuwa mwenyekiti wa bodi ya TBC. Je, hapo kapanda au kashushwa?
 
Ndo njia pekee ya kufikiriwa upya, sijui tulaumu ujamaa
 
Acha kujitoa fahamu kama Kabundi na Pole pole, nenda kasome tena rasimu ya Warioba.
Sawa lakini kwanini msituoneshe mfano na Sisi nyie Chadema?

Chama kina miaka 30 kimeongoza na baba na mtoto tu kwa miaka yote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…