Hatimaye David Kafulila akabidhi ofisi, aendelea kusisitiza Rais Samia hakamatiki utekelezaji wa Ilani, amtaja kuvunja rekodi ya miaka 20 kwenye maji

Hatimaye David Kafulila akabidhi ofisi, aendelea kusisitiza Rais Samia hakamatiki utekelezaji wa Ilani, amtaja kuvunja rekodi ya miaka 20 kwenye maji

Unadhani "UTEUZI " ni jambo baya?

Yani kila anayemtetea Mhe Rais basi anataka uteuzi, shame on you
Labda kwa Nchi zenye watu wanaojielewa maana uteuzi unaupata labda kwa qualifications uliyonayo hapa bongo uteuzi unaupata kwa kumuabudu mteuaji tu Sasa Kuna maana yoyote?
 
Labda ungesema tu maneno aliyoyasema KAFULILA ni kweli au sio kweli,

SIKILIZA JAMAA,

Sasa kama upatikanaji wa Maji Simiyu umepanda kutoka 56% hadi 73% na huu ni mwaka mmoja tu, JE UNATAKA MTU ASISEME KISA KATUMBULIWA?

Sasa kama Rais samia amepeleka 400BL UNATAKA MTU ASISEME KISA KATUMBULIWA?

Sasa kama Mama kaongeza bei ya Pamba mpka tsh 1,800 toka tsh 800 mwaka wa juzi UNATAKA MTU ASISEME KISA KATUMBULIWA?

KAFULILA GO,

HUYU MAMA ANAFANYA MAMBO MAKUBWA SANA ILA TU MENGI HAYASEMWI


UPINZANI TUPA KULE 2025
Kwamba upinzani tupa kule😂
 
Kama kuna RC alimwelewa na kumwelezea Vizuri Rais Samia kwa Umma basi ni Kafulila

Hamu yangu RCs waige mazuri ya Kafulila hasa kusema mazuri ya Rais wetu na Serikali anayoiongoza.

Hebu angalia hii ni kazi ya Rais Samia kwa mkoa mmoja tu Simiyu ,

Yule anayebisha Rais Samia kiboko yao anashida kubwa ya akili
Kwa hiyo yote hayo kafanya Samia ndani ya mwaka mmoja?
 
Ivi kweli, Kafulila ni maneno matupu?

1. Kuvunja mkataba na CHICCO baada ya kuteengeneza barabara chini ya kiwango na kuokoa fedha za serikali 15bilioni ni maneno matupu haya?

2. Ivi kweli kuzui michomoko iliyoua maelfu Tanzania ni maneno matupu?

3. Ivi kweli Kuongeza bei ya pamba toka 800/kg mpaka 1,800/kg haya ni maneno matupu?

4. Ivi kweli kukamata wezi wa Pamba na kuwafunga na wengine kujinyonga ni haya ni maneno matupu?

5. Kumnyang'anya kada wa CCM yaani MNEC soko la madini alilolimiliki kinyume cha sheria haya ni maneno matupu?

Let's be serious guys Kafulila ni asset kwa Taifa letu,


Ova.
Pamoja na hayo yote katumbuliwa
Lazima asifie anaweza kukumbukwa siku zijazo
 
Kafulila Ni mchumia tumbo tuu.. alichokuala kimemtosha apishe wengine. Sipendi kiongozi anayependa kusifia tuuu, ujue mwizi au ajiamini ktk nafasi yake. Muda SI mrefu utamwona ktk matv kumsifia mama. Mama apendi kusifiwa anataka kazi.
 
Back
Top Bottom