Hongera sana Dua ya Dr cheni imeenda sawa maana juzi kwenye kipindi cha Star Tv aliombea hiyo ndoa ifungwe haraka.
Hapana niliona tu Majizo alipost kwenye insta akionyesha parking lot tu ya ofisi.Umeiona ofisi alojenga majizo?
Yaah hapo wamebariki tuHongera zao kwa kubariki ndoa...