and 300
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 26,398
- 36,406
Lulu hongeraDuuuuh sio mchezo aiseee!! Safi sana! Kabakiza kujenga nyumba ya maana tu...Maana Mbweni kajenga Servant kota.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lulu hongeraDuuuuh sio mchezo aiseee!! Safi sana! Kabakiza kujenga nyumba ya maana tu...Maana Mbweni kajenga Servant kota.
Majizo baba yake alikuwa mganga wa kienyeji!Kademu kameroga mpaka kameolewa katulie sasa kaache mapepe
Kuna mtu kanotice kitu Kama Mimi hapa
Acha maswali ya utopolo wewe kaka. Hujaenda shule?Kwani Mama Kanumba anasemaje?
Wewe umeenda shule gani kwa mfano?Acha maswali ya utopolo wewe kaka. Hujaenda shule?
Shaaban Robert, then UDSM, then Reading University (UK) for MastersWewe umeenda shule gani kwa mfano?
Hivi haya mapesa hawa wenzetu wanaya make aje??!dah!!.. Acha tuendelee kupambana
K inayobanaGood news,kahangaika hatimaye kamuona huyo ndio wife material kwake,huyu maana yake ni kuwa ana kitu ambacho wengine wote aliokutana nao hawana...
Nmecheka mkuu,ila dunia ina mambo .wanakuja kukukamata na bunduki za kivita ,wakati hata kuiona bastola hujawahi[emoji16][emoji16]Dah! Unaweza ukashangaa uko mikononi mwa Dpp kwa kesi ya uhujumu uchumu huku ukiwa ni dereva tu wa bajaji!![emoji23][emoji23]
Kademu kameroga mpaka kameolewa katulie sasa kaache mapepe
Majirani wana mighorofa nini?Duuuuh sio mchezo aiseee!! Safi sana! Kabakiza kujenga nyumba ya maana tu...Maana Mbweni kajenga Servant kota.