Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera zao kwa kubariki ndoa...
Sijakuwekea weweMkuu, sababu ya kuweka hiyo picha ni nini ? Sijaona kama inauhusiano wowote na kinachozungumzwa au kujadiliwa.
Sijakuwekea wewe
Hatuangalii hiyo Channel ili kukwepa laana ya Mungu, kwani hakuna channel nyingine wanayoonyesha?Fungueni TBC kanumba ana hojiwa
Unamjua chatonian au unamsikia tu[emoji1]Mniombee na mimi nataka kutia nia kwa Mh. DC mmojawapo na mrembo sana wa moja ya Wilaya za Mkoa jirani na Jiji maarufu nchini.
Mtihani utakuwa pale tu nitakapo takiwa kuwa kada wa kile chama kikongwe na nisicho kipenda kutoka moyoni.
Dah! Unaweza ukashangaa uko mikononi mwa Dpp kwa kesi ya uhujumu uchumu huku ukiwa ni dereva tu wa bajaji!!😂😂Unamjua chatonian au unamsikia tu[emoji1]
Huku mwenzake anaendeleza ukuwadiGood news,kahangaika hatimaye kamuona huyo ndio wife material kwake,huyu maana yake ni kuwa ana kitu ambacho wengine wote aliokutana nao hawana...