Hatimaye FRELIMO iko matatani, mwisho wake umefika!

Hatimaye FRELIMO iko matatani, mwisho wake umefika!

Kwa wanaofuatilia siasa za Mozambique, hali ni mbaya kwa chama tawala cha Frelimo pamoja na serikali iliyoko madarakani. Baada ya uchaguzi kuisha na serikali kujitangaza kushinda kwa wastani wa asilimia sabini, wananchi wameikata, wakiongozwa na kiongozi wa upinzani Venancio Mondlane.

Kinachotokea sasa hivi ni kwamba huyu kiongozi wa upinzani ndiye mwenye nguvu na sauti kuliko serikali; yeye ndiye anayeamuru nini kifanyike. Anaratibu maandamano akiwa mafichoni, baada ya kukimbia nchi kufuatia mauaji ya wakili wake.

Hali si shwali. Mfano jana, ameamrisha kufanyika maandamano kwa siku tatu bila kupumzika, akilenga bandari kufungwa pamoja na mipaka. Kumeitikiwa kwa muitikio mkubwa katika miji yote mikubwa ya Maputo, Beira, na Nampula pamoja na miji mingine midogo, huku karibu watu 40 wakiwa wameuwawa na polisi.

Inchi inaongozwa na mtu aliyeko mafichoni, huku Rais Nyusi akiwa hana sauti. Ukiona mwenzako ananyolewa.

Soma, Pia: Yanayojiri kwenye Uchaguzi Mkuu wa Msumbiji: FRELIMO (Chama rafiki ya CCM) kushinda Uchaguzi 09 Oktoba?
Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana!
 
Tokea wamnyime nyadhifa gani sijui pale jijini halaf wakaja wakafuta matokeo wakamrejeshea nyadhifa yake lile lilikua kosa la kimkakati tayari jamaa kaishaona sirikali haina msimamo na inatetemeka kirahisi sasa na urahisi watautoa tu ni suala la muda tu
 
Kwa wanaofuatilia siasa za Mozambique, hali ni mbaya kwa chama tawala cha Frelimo pamoja na serikali iliyoko madarakani. Baada ya uchaguzi kuisha na serikali kujitangaza kushinda kwa wastani wa asilimia sabini, wananchi wameikata, wakiongozwa na kiongozi wa upinzani Venancio Mondlane.

Kinachotokea sasa hivi ni kwamba huyu kiongozi wa upinzani ndiye mwenye nguvu na sauti kuliko serikali; yeye ndiye anayeamuru nini kifanyike. Anaratibu maandamano akiwa mafichoni, baada ya kukimbia nchi kufuatia mauaji ya wakili wake.

Hali si shwali. Mfano jana, ameamrisha kufanyika maandamano kwa siku tatu bila kupumzika, akilenga bandari kufungwa pamoja na mipaka. Kumeitikiwa kwa muitikio mkubwa katika miji yote mikubwa ya Maputo, Beira, na Nampula pamoja na miji mingine midogo, huku karibu watu 40 wakiwa wameuwawa na polisi.

Inchi inaongozwa na mtu aliyeko mafichoni, huku Rais Nyusi akiwa hana sauti. Ukiona mwenzako ananyolewa.

Soma, Pia: Yanayojiri kwenye Uchaguzi Mkuu wa Msumbiji: FRELIMO (Chama rafiki ya CCM) kushinda Uchaguzi 09 Oktoba?
Jzui wamesimamshaaa malori yanapeleka makaa ya mawe nje jamaaa konyoo nampenda anajiamini siku 3 gov hoi

Kuna kuchokqa na kuchoshanqa

Ameshauriwa akae naee waunde serikali ya mpito kagoma

Watavuna walichopanda
 
Yaani mi
Hapa tunazungumzia kwa jirani bro.. Jirani mwenye ukaribu sana na ccm😀
Yaani kila mwananchi kawageuka,maana hii inchi maisha ni magumu sana lakini Viongozi wanaishi kama wako peponi,huduma ya Afya mbaya,Elimu ndiyo usisema kama siyo mwanachama wa Frelimo huwezi kupata kazi labda uhonge
Naona wanavuna walichokipanda kila mtu hawapende ingawa ni ngumu kwa sisi wageni hatujui hatima yetu itakuwaje maana walikuwa wanatubeba sana
 
Msumbiji ni moja ya nchi tatu masikini zaidi duniani.Hao FRELIMO uongozi na maendeleo vimewashinda kabisa huko.Wakae pembeni.
Tatizo wanapenda sana rushwa na wavivu.kuna sehemu ndani ya Mozambique inatumika shilingi ya Tanzania na wanaongea kiswahili na kalibu raia wa maeneo husika ni wa makabila tofautitofauti kutoka Tanzania
Yaani unakutana na wachimbaji madini, wanunuzi wa dhahabu mama ntilie mpaka machangudoa,lakini wao wako kimya wanachoitaji mnawapa rushwa na maisha yanaendelea na hayo maneneo yako poa yanahuduma zote
 
H
Kwa wanaofuatilia siasa za Mozambique, hali ni mbaya kwa chama tawala cha Frelimo pamoja na serikali iliyoko madarakani. Baada ya uchaguzi kuisha na serikali kujitangaza kushinda kwa wastani wa asilimia sabini, wananchi wameikata, wakiongozwa na kiongozi wa upinzani Venancio Mondlane.

Kinachotokea sasa hivi ni kwamba huyu kiongozi wa upinzani ndiye mwenye nguvu na sauti kuliko serikali; yeye ndiye anayeamuru nini kifanyike. Anaratibu maandamano akiwa mafichoni, baada ya kukimbia nchi kufuatia mauaji ya wakili wake.

Hali si shwali. Mfano jana, ameamrisha kufanyika maandamano kwa siku tatu bila kupumzika, akilenga bandari kufungwa pamoja na mipaka. Kumeitikiwa kwa muitikio mkubwa katika miji yote mikubwa ya Maputo, Beira, na Nampula pamoja na miji mingine midogo, huku karibu watu 40 wakiwa wameuwawa na polisi.

Inchi inaongozwa na mtu aliyeko mafichoni, huku Rais Nyusi akiwa hana sauti. Ukiona mwenzako ananyolewa.

Soma, Pia: Yanayojiri kwenye Uchaguzi Mkuu wa Msumbiji: FRELIMO (Chama rafiki ya CCM) kushinda Uchaguzi 09 Oktoba?
Hapa ndo mjue siasa za ki Frica ni upuuzi sentence ina sema hivi kiongozi wa upinzani anaamulu maandamano huku akuwa mafichoni alikokimbilia baada ya kuuawa kwa aliyekuwa mqasheria wake maana yake yeye anapenda kuishi ataki kufa au kuumizwa kulemazwa lkn anaotaka kuwatawala ana waamulu waandamane ili??alafu wakifanikisha hayo maandamano kwa kuumizwa na kulemazwa atakuja kumtawala Nani? Na kwanini nayeye asije kuandamana Kama watu wengine Kama akiumizwa ionekane kaumizwa au kafa kwa kutetea haki za watu wake?
 
Yaani Frelimo ndiyo basi tena,Mungu atuepushe waache kiburi ili kunusuru maisha ya wanaichi,
Viongozi wamejifungia ndani wamebaki kuwatuma polisi kwenda kupiga raia,lakini polisi bado wao kwa wao wanasigana wengine wanasema hawa raia tunaowauwa tunaishi nao na ni ndugu zetu itakuwaje tukiludi majumbani kwetu?
Baadhi ya raia wanawanoti polisi wanaouwa waandamanaji na wanawafwata majumbani kwao kwenda kuwachomea nyumba zao,yaani yanayoendelea huku yanatisha
Lakin suluhisho ni lipi huko Msumbiji?je wataenda Kwa second run off au nini kitatokea?
 
Kwa wanaofuatilia siasa za Mozambique, hali ni mbaya kwa chama tawala cha Frelimo pamoja na serikali iliyoko madarakani. Baada ya uchaguzi kuisha na serikali kujitangaza kushinda kwa wastani wa asilimia sabini, wananchi wameikata, wakiongozwa na kiongozi wa upinzani Venancio Mondlane.

Kinachotokea sasa hivi ni kwamba huyu kiongozi wa upinzani ndiye mwenye nguvu na sauti kuliko serikali; yeye ndiye anayeamuru nini kifanyike. Anaratibu maandamano akiwa mafichoni, baada ya kukimbia nchi kufuatia mauaji ya wakili wake.

Hali si shwali. Mfano jana, ameamrisha kufanyika maandamano kwa siku tatu bila kupumzika, akilenga bandari kufungwa pamoja na mipaka. Kumeitikiwa kwa muitikio mkubwa katika miji yote mikubwa ya Maputo, Beira, na Nampula pamoja na miji mingine midogo, huku karibu watu 40 wakiwa wameuwawa na polisi.

Inchi inaongozwa na mtu aliyeko mafichoni, huku Rais Nyusi akiwa hana sauti. Ukiona mwenzako ananyolewa.

Soma, Pia: Yanayojiri kwenye Uchaguzi Mkuu wa Msumbiji: FRELIMO (Chama rafiki ya CCM) kushinda Uchaguzi 09 Oktoba?
Kuna baadhi ya vyama vinavyojiita vya ukombozi Africa sasa hivi vimepoteza mvuto kwa sababu ya kutizingatia matakwa ya wananchi wao. Tuna ka kujifunza kama tunataka kuendelea kuishi kwa amani na upendo.
 
Back
Top Bottom