Tetesi: Hatimaye general manager Wa acacia akimbia nchi

Tetesi: Hatimaye general manager Wa acacia akimbia nchi

Lisu si alileta propaganda kuwa wamefungua kesi mahakama ya kimataifa? Kumbe wanakimbia, huyu lisu muongo na mpotoshaji wa jamii, nimemdharau sana
 
Kumekucha, Lissu aende kumtetea mahakamani..
Ndio, aende maana ndiye aliyesimamia kuingia mikataba mibovu ya madini. Ndiye aliyeshinikiza wabunge wa CHADEMA watutungie na kuzipitisha sheria mbovu za madini kwa vishindo vya ndiyooooooooooo vilivyozifunika sauti za wapinzani wako CCM. Huyuhuyu Lisu Ndiye anayeficha mikataba ya madini isitoke hadharani. Aende tu mahakamani akawateteee. Aachane na sisi wazalendo wa CCM. Na akome kabisa kuwasema akina mtemi Chenge kuwa ndio waliandaa mikataba hiyo. Hiyo mikataba imeandaliwa katika utawala wa CHADEMA chini ya rais wako Lowasa na baraza lake la mawaziri, wala CCM haihusiki ng'o!
 
Hii imetokea SAA chache kabla ya uwasilishwaji wa report.

185cc562d5a5b1cca48daf57c87d63bf.jpg
 
Unafuatilia habari za udaku na kututangazia? Muwe mnaleta valid sources sio kila kitu kilichokua posted online unabeba. Grow up.
 
kaondoka huku ametorosha kontena 44,770 za 20ft trilioni 108 ya dhahabu tu wakati silver bilioni 378, nyingine trilln 2 copper, sulpher bilion 2.7 Iron bilion 398.2 duh hazirudi bora kakimbia mwizi kabisa huyu angetulipa hata 50% - 50% kuliko mrahaba wa 3%
 
Aiseee shida sanaa. Kama GM wa ACACIA kakimbia nchi nani anabaki kujibu maswali ya wengi ya watanzania
 
Et jizi hilo likakmbia nmecheka kweli....

Chadema 70% sio watanzania mbona achana nao
 
Hatimaye General Manager wa MGODI wa ACACIA BULYANHULU Bw Graham ameacha kazi katika mgodi huo na kukimbia nchi. Hili limetokea masaa machache baada ya kutangazwa kuwa kamati ya Rais ya wachumi na wanasheria inatarajia kukabidhi ripoti yao kuhusu uchunguzi wa mchanga wa dhahabu (Makinikia) mapema Jumatatu ijayo jizi limeona libwage manyanga.

My Take: Kumbe ndiyo maana mtetezi wa wezi wa madini TUNDU alikuwa akiwapigia wezi hao na kuwaomba taarifa ili aweze kuwatetea. Ninatamani Sokoine angekuwa hai leo TUNDU ungeelewa maana ya uzalendo kwa vitendo.

Wakati huohuo Waziri mkuu Kassim Majaliwa amemsimamisha Kazi mkurugenzi wa uthibiti wa huduma za nishati na maji (EWURA) Bw Felix Ngamlagos.

"Kazi hii nilipewa na Mungu sikupewa na mtu yeyote, nipo tayari kutoa sadaka mwili wangu kwa ajili ya watanzania wanyonge"-----Rais John Pombe Magufuli.

Mungu mlinde Rais John Pombe Magufuli huyu ni mzalendo halisi.

Remy Cameroon
[HASHTAG]#AhmedNgereza[/HASHTAG]
Jamaa ameona tsunami linalikuja!
 
Back
Top Bottom