Tetesi: Hatimaye general manager Wa acacia akimbia nchi

Tetesi: Hatimaye general manager Wa acacia akimbia nchi

Naliona Azimio la Arusha lazaliwa upya,lakini ili lifanikiwe inatakiwa Culture Revolution,ndio twende sawa.
 
Mtoa uzi huu nahisi leo amekula futari ya maharage kamix na nyanya chungu tumpe pole
 
Hatimaye General Manager wa MGODI wa ACACIA BULYANHULU Bw Graham ameacha kazi katika mgodi huo na kukimbia nchi. Hili limetokea masaa machache baada ya kutangazwa kuwa kamati ya Rais ya wachumi na wanasheria inatarajia kukabidhi ripoti yao kuhusu uchunguzi wa mchanga wa dhahabu (Makinikia) mapema Jumatatu ijayo jizi limeona libwage manyanga.

My Take: Kumbe ndiyo maana mtetezi wa wezi wa madini TUNDU alikuwa akiwapigia wezi hao na kuwaomba taarifa ili aweze kuwatetea. Ninatamani Sokoine angekuwa hai leo TUNDU ungeelewa maana ya uzalendo kwa vitendo.

Wakati huohuo Waziri mkuu Kassim Majaliwa amemsimamisha Kazi mkurugenzi wa uthibiti wa huduma za nishati na maji (EWURA) Bw Felix Ngamlagos.

"Kazi hii nilipewa na Mungu sikupewa na mtu yeyote, nipo tayari kutoa sadaka mwili wangu kwa ajili ya watanzania wanyonge"-----Rais John Pombe Magufuli.

Mungu mlinde Rais John Pombe Magufuli huyu ni mzalendo halisi.

Remy Cameroon
[HASHTAG]#AhmedNgereza[/HASHTAG]
Mzalendo halisi hawezi KUDHULUMU fedha za msiba.
 
Hatimaye General Manager wa MGODI wa ACACIA BULYANHULU Bw Graham ameacha kazi katika mgodi huo na kukimbia nchi. Hili limetokea masaa machache baada ya kutangazwa kuwa kamati ya Rais ya wachumi na wanasheria inatarajia kukabidhi ripoti yao kuhusu uchunguzi wa mchanga wa dhahabu (Makinikia) mapema Jumatatu ijayo jizi limeona libwage manyanga.

My Take: Kumbe ndiyo maana mtetezi wa wezi wa madini TUNDU alikuwa akiwapigia wezi hao na kuwaomba taarifa ili aweze kuwatetea. Ninatamani Sokoine angekuwa hai leo TUNDU ungeelewa maana ya uzalendo kwa vitendo.

Remy Cameroon
[HASHTAG]#AhmedNgereza[/HASHTAG]

Tukisema watu kama hawa wanyongwe, tunapigwa banned, hamna maneno mengine ya kutumia sasa!!!!!
 
Alipaa na ndege zinazobeba mchanga Wa makanikia toka mgodini au alikuwa kuondokea hapa njia panda ya ulaya.(airport -kipawa).
 
"Kazi hii nilipewa na Mungu sikupewa na mtu yeyote, nipo tayari kutoa sadaka mwili wangu kwa ajili ya watanzania wanyonge"-----Rais John Pombe Magufuli.

Hivi ni wanyonge gani hawa? Kipi hasa kilichoboreka kwa wanyonge hadi sasa?
 
Kitengo cha propaganda cha Lumumba kipo kazini.
Lazima mfe nyie wanafiki, Mungu alishasema Tz lazima ikombolewe toka kwa makupe kama ninyi. Na ndiyo maana kifo ni lazima kama hamtabadilika, na hata Mungu aliwaangamiza watu waovu wote kabla ya kufika nchi ya ahadi. Na kuhakikishia wewe na wenzanko waovu mnaoshabikia tuibiwe mtakufaaaaaaaaa.
 
Angevumilia mpaka kesho tusikilize ripoti kwa pamoja ndo akimbie

Inasemekana Polisi wakikaribia eneo ukiwaona kisha unaanza kukimbia wao lazima wakufukuze kwani wanajua lazima unahusika na uhalifu na unalijua hilo. Huyu bwana kama kweli amekimbia kabla ya taarifa ya pili kutoka inashiria kuwa kuna jambo si zuri kwake naye analijua. Lazima atafuatiliwa tu. Akikamatwa swali la kwanza atakaloulizwa ni: "Kwa nini ulikimbia? Tuambie!"
 
LISU BALA YAANI HILI LICCM NA VIBARAKA VYAKE WANAPOSIKIA NENO"LISU"TUMBO LA MIKATABA MIBOVU LINAANZA
 
Meneja Mkuu wa mgodi wa madini ya dhahabu Bulyanhulu ndugu Graham Crew ameacha kazi.
Chanzo kimeeleza Gazeti la "the Guardian " kuwa ni kweli kuwa Meneja ameacha kazi lakini hakuweza kusema kama hiyo inahusiana na ripoti ya makinikia (mineral concentrate) .
Uongozi wa Acacia hawakuweza kupatikana ili kuthibitisha habari hii.
Ikumbukwe kuwa Acacia tanzania wameshatoa onyo kuwa itawalazimu kusitisha Shughuli zake katika mgodi wa Bulyanhulu kama suala la kusafirisha makinikia halitapatiwa ufumbuzi.

Source : The Guardian Monday 12 June 2017
 
Kwani aliajiriwa na serikali...?
utaona mijitu ya hovyo itakavyoshabikia taarifa hii
na hapo ndipo ripoti ya twaweza kuhusu kila watanzania wanne inapokuwa na nguvu
 
Ha!ha macho yote yako hapa
IMG_20170523_152215_352.JPG
 
Back
Top Bottom