Musoma Yetu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2016
- 2,633
- 2,297
Lete picha tuone alivyokimbia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lissu akikimbia tutawakagua ccm huenda mnalipana kisirisiri kama kule DodomaHata Lissu atakimbia nchi tu. Time will tell.
Serikali hii hamna ukanjanja.
Lisu alikuwa anapigania tumbo lake tu...ndio maana sasa hivi akataka kuendeleza usaliti kwa ajili ya tumbo lake tuHivi ktk sakata la mchanga mkosefu ni Lisu au viongozi wa serikali waliogawa madini yetu bure kwa wazungu ??!! Au nia ni nini?!
Lisu amepigania raslimali za nchi hii kwa maisha yake ya usomi, hawa wengine walikuwemo ndani ya baraza la mawaziri waliogawa madini yetu.
Kama huyu kaacha kazi na kukimbia nchini CCM na genge lao wanasubiri nini kuachia ngazi na kwenda kuomba hifadhi segerea?.Hatimaye General Manager wa MGODI wa ACACIA BULYANHULU Bw Graham ameacha kazi katika mgodi huo na kukimbia nchi
Kama wewe unavyopigania bk7 fc Lumumba kwa gharama yoyote[emoji23] [emoji40]Lisu alikuwa anapigania tumbo lake tu...ndio maana sasa hivi akataka kuendeleza usaliti kwa ajili ya tumbo lake tu
Lisu akimbie nchi? Kwa kosa gani au ana tuhuma gani za kufanya akimbie nchi? Kama alimwita JPM Dikteta uchwara na hakukimbia leo atakimbizwa na nini hasa?!?!Hata Lissu atakimbia nchi tu. Time will tell.
Serikali hii hamna ukanjanja.
Tunashkuru kama kakimbia nchi na kwa maana hiyo mgodi mali yetu,Alhamdullilah.Hatimaye General Manager wa MGODI wa ACACIA BULYANHULU Bw Graham ameacha kazi katika mgodi huo na kukimbia nchi. Hili limetokea masaa machache baada ya kutangazwa kuwa kamati ya Rais ya wachumi na wanasheria inatarajia kukabidhi ripoti yao kuhusu uchunguzi wa mchanga wa dhahabu (Makinikia) mapema Jumatatu ijayo jizi limeona libwage manyanga.
My Take: Kumbe ndiyo maana mtetezi wa wezi wa madini TUNDU alikuwa akiwapigia wezi hao na kuwaomba taarifa ili aweze kuwatetea. Ninatamani Sokoine angekuwa hai leo TUNDU ungeelewa maana ya uzalendo kwa vitendo.
Wakati huohuo Waziri mkuu Kassim Majaliwa amemsimamisha Kazi mkurugenzi wa uthibiti wa huduma za nishati na maji (EWURA) Bw Felix Ngamlagos.
"Kazi hii nilipewa na Mungu sikupewa na mtu yeyote, nipo tayari kutoa sadaka mwili wangu kwa ajili ya watanzania wanyonge"-----Rais John Pombe Magufuli.
Mungu mlinde Rais John Pombe Magufuli huyu ni mzalendo halisi.
Remy Cameroon
[HASHTAG]#AhmedNgereza[/HASHTAG]
Ni serious business kwa pande zote mbili, tambua hilo.Kuna watu mnachukulia poa sana vitu ambavyo ni serious...Hii game siyo ya kuzungusha mikono...ni serious business
Broo pindi ccm yanaingia mikataba ya kijinga lissu alikuwa nani tanzania hii acheni unafikKuna watu mnachukulia poa sana vitu ambavyo ni serious...Hii game siyo ya kuzungusha mikono...ni serious business
Ni serious kama kupiga push up!Kuna watu mnachukulia poa sana vitu ambavyo ni serious...Hii game siyo ya kuzungusha mikono...ni serious business
Hatutaki ujinga wenu,kama huyo meneja ni mwizi wa madini yetu kwa nn mmemuacha akimbie?Lisu alikuwa anapigania tumbo lake tu...ndio maana sasa hivi akataka kuendeleza usaliti kwa ajili ya tumbo lake tu
Hatutaki ujinga wenu,kama huyo meneja ni mwizi wa madini yetu kwa nn mmemuacha akimbie?Lisu alikuwa anapigania tumbo lake tu...ndio maana sasa hivi akataka kuendeleza usaliti kwa ajili ya tumbo lake tu
Mungekuwa na akili hata robo tu alizo nazo Lisu mungemsikiliza tangu mapema alipo kuwa anapinga kutokusaini mikataba mibovu hata upuuzi huu mnaohangaika nao msingekuwa mnahangaika nao.My Take: Kumbe ndiyo maana mtetezi wa wezi wa madini TUNDU alikuwa akiwapigia wezi hao na kuwaomba taarifa ili aweze kuwatetea. Ninatamani Sokoine angekuwa hai leo TUNDU ungeelewa maana ya uzalendo kwa vitendo.