Tetesi: Hatimaye general manager Wa acacia akimbia nchi

Tetesi: Hatimaye general manager Wa acacia akimbia nchi

Umeleta taarifa au umbea.Ficha maladhi basi hata kidogo we unaelewa nin kuhusu mikataba ya madini acheni utoto asee watu wanawageuza wananchi kama mpira wa kuchezea afu unaleta propaganda.
Mjumbe mara nyingi auwawi[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Hatimaye General Manager wa MGODI wa ACACIA BULYANHULU Bw Graham ameacha kazi katika mgodi huo na kukimbia nchi. Hili limetokea masaa machache baada ya kutangazwa kuwa kamati ya Rais ya wachumi na wanasheria inatarajia kukabidhi ripoti yao kuhusu uchunguzi wa mchanga wa dhahabu (Makinikia) mapema Jumatatu ijayo jizi limeona libwage manyanga.

My Take: Kumbe ndiyo maana mtetezi wa wezi wa madini TUNDU alikuwa akiwapigia wezi hao na kuwaomba taarifa ili aweze kuwatetea. Ninatamani Sokoine angekuwa hai leo TUNDU ungeelewa maana ya uzalendo kwa vitendo.

Wakati huohuo Waziri mkuu Kassim Majaliwa amemsimamisha Kazi mkurugenzi wa uthibiti wa huduma za nishati na maji (EWURA) Bw Felix Ngamlagos.

"Kazi hii nilipewa na Mungu sikupewa na mtu yeyote, nipo tayari kutoa sadaka mwili wangu kwa ajili ya watanzania wanyonge"-----Rais John Pombe Magufuli.

Mungu mlinde Rais John Pombe Magufuli huyu ni mzalendo halisi.

Remy Cameroon
[HASHTAG]#AhmedNgereza[/HASHTAG]
Bila shaka hujielewi majira yanavyoenda,mikataba ndiyo lissu anawakumbushia wakati mkisema ndiyoooooooooo,,,kwa sasa mmebanwa nayo mpaka mmetoa macho kodo,,aibu yenuuu, ,Mungu ibariki chadema itengue mikataba tuachane na longo longo,
 
Lisu akimbie nchi? Kwa kosa gani au ana tuhuma gani za kufanya akimbie nchi? Kama alimwita JPM Dikteta uchwara na hakukimbia leo atakimbizwa na nini hasa?!?!
Amekula hela za accacia bila kuwasaidia upinzani wa bongo njaa tupu,,mbona lowasa haongelei kuhusu hili sakata!?
 
Kuna watu mnachukulia poa sana vitu ambavyo ni serious...Hii game siyo ya kuzungusha mikono...ni serious business

Kama hii issue ni serious MWIZI WAKO ANATOROKAJE NDANI YA MJENGO WAKO HUKU SECURITY SYSTEM IKO KILA GADO KONA ZOTE au kasepa na UNGO[emoji38][emoji38]
 
Enzi hizo si hatukuwa na uelewa kwa sasa tunaweledi wa kuelewa tunaona lisu ni mtetezi wa wezi,,
Kutojua siyo an excuse ya kuwajibika. Na viongozi waliopita all most wote ni PhD holder isipokuwa Mwinyi. Kwa hiyo huwezi kudai hamkuwa na uelewa.
 
Meneja kakimbia kabla hatujamchomeka vijiti kwenye makalio.....pumbavu sana huyu mtu katuachaia familia yetu walemavu wawili.
Nahamishia hasira kwa Katundu Kalisu kuanzia leo!
 
Hatimaye General Manager wa MGODI wa ACACIA BULYANHULU Bw Graham ameacha kazi katika mgodi huo na kukimbia nchi. Hili limetokea masaa machache baada ya kutangazwa kuwa kamati ya Rais ya wachumi na wanasheria inatarajia kukabidhi ripoti yao kuhusu uchunguzi wa mchanga wa dhahabu (Makinikia) mapema Jumatatu ijayo jizi limeona libwage manyanga.

My Take: Kumbe ndiyo maana mtetezi wa wezi wa madini TUNDU alikuwa akiwapigia wezi hao na kuwaomba taarifa ili aweze kuwatetea. Ninatamani Sokoine angekuwa hai leo TUNDU ungeelewa maana ya uzalendo kwa vitendo.

Wakati huohuo Waziri mkuu Kassim Majaliwa amemsimamisha Kazi mkurugenzi wa uthibiti wa huduma za nishati na maji (EWURA) Bw Felix Ngamlagos.

"Kazi hii nilipewa na Mungu sikupewa na mtu yeyote, nipo tayari kutoa sadaka mwili wangu kwa ajili ya watanzania wanyonge"-----Rais John Pombe Magufuli.

Mungu mlinde Rais John Pombe Magufuli huyu ni mzalendo halisi.

Remy Cameroon
[HASHTAG]#AhmedNgereza[/HASHTAG]


Atakuwa amechukua tahadhari za kawaida. Waswahili msije mkamtia ndani au kumnyanganya passport. Hata wakati ule mlinzi wa afrika kusini alipomtwanga risasi lile jambazi lililojaribu kuteka mzigo wa dhahabu GGM, naye alichukua tahad hari hizohizo. Waswahili hatuaminiki kufanya maamuzi ya busara.
 
Hatimaye General Manager wa MGODI wa ACACIA BULYANHULU Bw Graham ameacha kazi katika mgodi huo na kukimbia nchi. Hili limetokea masaa machache baada ya kutangazwa kuwa kamati ya Rais ya wachumi na wanasheria inatarajia kukabidhi ripoti yao kuhusu uchunguzi wa mchanga wa dhahabu (Makinikia) mapema Jumatatu ijayo jizi limeona libwage manyanga.

My Take: Kumbe ndiyo maana mtetezi wa wezi wa madini TUNDU alikuwa akiwapigia wezi hao na kuwaomba taarifa ili aweze kuwatetea. Ninatamani Sokoine angekuwa hai leo TUNDU ungeelewa maana ya uzalendo kwa vitendo.

Wakati huohuo Waziri mkuu Kassim Majaliwa amemsimamisha Kazi mkurugenzi wa uthibiti wa huduma za nishati na maji (EWURA) Bw Felix Ngamlagos.

"Kazi hii nilipewa na Mungu sikupewa na mtu yeyote, nipo tayari kutoa sadaka mwili wangu kwa ajili ya watanzania wanyonge"-----Rais John Pombe Magufuli.

Mungu mlinde Rais John Pombe Magufuli huyu ni mzalendo halisi.

Remy Cameroon
[HASHTAG]#AhmedNgereza[/HASHTAG]
TAKATAKA!!
 
Tutasiikia mengi mwaka huu!!

Hebu twende kwa staili ile ile ya uwasilishaji wa mada!!!

Kwahiyo serikali ya Mtukufu Rais John Pombe Magufuli imemwacha mwizi aliyekuwa ana-facilitate wizi madini yetu aikimbie nchi?!

Na huyo Kassimu Majaliwa amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa EWURA; taasisi yenye wajibu wa kutoa leseni kwa kampuni ya kifisadi inayolelewa na serikali ya chama cha Mtukufu Rais John Magufuli kwa zaidi ya miaka 20 hivi sasa!!!

Hivi kuna mtu anayeweza kunieleza tofauti iliyopo?! Manake ninachokiona hapa ni x na X lakini zote ni eksi!!!
labda kwenye lori la jpm umeangalia nyuma. kama hutazami mbele huwezi elewa.
 
Hatimaye General Manager wa MGODI wa ACACIA BULYANHULU Bw Graham ameacha kazi katika mgodi huo na kukimbia nchi. Hili limetokea masaa machache baada ya kutangazwa kuwa kamati ya Rais ya wachumi na wanasheria inatarajia kukabidhi ripoti yao kuhusu uchunguzi wa mchanga wa dhahabu (Makinikia) mapema Jumatatu ijayo jizi limeona libwage manyanga.

My Take: Kumbe ndiyo maana mtetezi wa wezi wa madini TUNDU alikuwa akiwapigia wezi hao na kuwaomba taarifa ili aweze kuwatetea. Ninatamani Sokoine angekuwa hai leo TUNDU ungeelewa maana ya uzalendo kwa vitendo.

Wakati huohuo Waziri mkuu Kassim Majaliwa amemsimamisha Kazi mkurugenzi wa uthibiti wa huduma za nishati na maji (EWURA) Bw Felix Ngamlagos.

"Kazi hii nilipewa na Mungu sikupewa na mtu yeyote, nipo tayari kutoa sadaka mwili wangu kwa ajili ya watanzania wanyonge"-----Rais John Pombe Magufuli.

Mungu mlinde Rais John Pombe Magufuli huyu ni mzalendo halisi.

Remy Cameroon
[HASHTAG]#AhmedNgereza[/HASHTAG]
Memeja wa Mgodi ni muajiriwa tu hajui habari ya mikataba. Na Bulyanhulu imekuwa pamoja na migodi mingine mameneja wamekuwa wakiacha kazi wengi tu jambo ambalo ni la kawaida kwenye ajira, baadhi ya mameneja waliopita pale ni pamoja na Neil Witeker,Grant Piece, Michael Mracek,Bi Mechel na wengine wengi
 
Walizoea huyu ni Magufuli
Kama soda basi imeingiliwa na Gongo
Mbona watatulia tu!
 
Back
Top Bottom