Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chizi kapewa runguWalizoea huyu ni Magufuli
Kama soda basi imeingiliwa na Gongo
Mbona watatulia tu!
Si lissu ameshakuambia hiyo mikataba haitenguliki mpaka iishe?Bila shaka hujielewi majira yanavyoenda,mikataba ndiyo lissu anawakumbushia wakati mkisema ndiyoooooooooo,,,kwa sasa mmebanwa nayo mpaka mmetoa macho kodo,,aibu yenuuu, ,Mungu ibariki chadema itengue mikataba tuachane na longo longo,
Na hayajawahi kumwacha mtu salama.Duuuuhhh!!
Makanikia yameshika majukwaa sana
Hapana mkuu, hakuna mkataba usiokuwa na kipengele cha namna ya kuuvunja. Inawezekana gharama ya kuvunja ikawa kubwa lakini mkataba wowote unaweza kuvunjwa.Si lissu ameshakuambia hiyo mikataba haitenguliki mpaka iishe?
Nimecheka sana .Kitengo cha propaganda cha Lumumba kipo kazini.