Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Amekuwa mdogo kama piriton.Yeye na makonda washauri wao sijui kina Nani Mnyeti kagombea kwao na atashinda, hafu gwajima kumbe ni mweupe hivi siasa imezalilisha utu wake Sana, na kawe hashindi labda atangazwe kinguvu
Mkuu mimi pia nimeendelea kuona ulichokiona, huyu mtu si wa kawaida, msema ukweli ni mpenzi wa Mungu, "Hakuna mwanaume wala mwanamke awae yote ktk nchi hii kwa sasa mwenye ubavu wa kumtwanga Magufuli maneno machungu kiasi hicho! Iwe ni wakati wa kampeni ama usio wa kampeni.Nimeona ni Kwa nini MUNGU aliona ni vyema amuepushe Lissu na kifo huyu MTU ni habari nyingine.
Wameamua kupatana haoBiashara yake haina wanunuzi siku hizi, huyo huyo Gwajima alituhumiwa kuwa muuza sembe na Makonda lkn leo hii wapo pamoja
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee wa watu pamoja na kuugua anatumiwa kisiasaHapa Bashite, pale Gwajima....balaa tupu.
Huyu askofu ndiye yule aliyeulizwa amekula maharagwe ya wapi au?
Movie kali sana.
Asante kwa Madini MkuuUmenena vyema. Lakini yale maneno ya kashfa aliyoyasema hapo awali siyo yanayomtesa. Ingekuwa hivyo angekwisha omba radhi kitambo. Kinachomtesa ni hiki kilochopo mbele yake, anaona kabisa jahazi linazama na linakwenda mrama naye anajaribu kuliokoa. Asisahau pia kuwaangukia na wale aliotaka kubadiri Madrasa zao kuwa Sunday School.
Sijawahi maisha yangu yote kumtukana Pengo zaidi ya kumsifia
Hivi wafuasi wa kanisa lake wote ni Wana ccm?? Halafu ikumbukwe 2015 huyu the so called Bishop alikuwa anaombea mikutano ya chadema! Binafsi namuogopa sana Gwajiboy!!Makonda ana akili kuliko gwajima, na huyo gwajima kanisa linakufa kakimbilia kwenye siasa Mungu hamfichi mnafiki
Silipendi hilo jamaa tangu liliposaliti maaskofu kwa vipande thelathini vya ccm...... sasa nimethibitisha pasi na shaka Kardinali Pengo alikuwa na kadi since then! He wasn't neutral as he was supposed to be but, rather, was not only politically affiliated but also morally and materially supported the party. He is, as he was, actively supporting the party.
Gwajima ni ndumilakuwili tu sijui ilikuwaje ccm wakamchagua na kumwacha yule kijana aliyeshinda kura za maoni sasa matokeo yake watu inabidi tu wamchague mdee Tena. Gwajima ni kirusi hatari Ngoja magufuli msukuma mwenzake amalize mda wake atarudi upinzani gwajima ni tapeli lilo chini ya mwavuli wa diniHivi wafuasi wa kanisa lake wote ni Wana ccm?? Halafu ikumbukwe 2015 huyu the so called Bishop alikuwa anaombea mikutano ya chadema! Binafsi namuogopa sana Gwajiboy!!
Chezea gwajima ujue kilekichwa acha tu,,halima aangalie sana yaaniDuh mtu anakula matapishi yake shame
Wewe na kaka yako Gwajima mlimtukana sana nyieSijawahi maisha yangu yote kumtukana Pengo zaidi ya kumsifia
Huyo mzee ukitaka kugombea akikuwekea mkono wa haraka au kukutamkia neno lolote la heri lazima kushinda
Ndio maana CCM haijawahi dharau huyo Kardinali zaidi ya kuheshimu tofauti na Chadema
Gwajima alimtukana kardinali Pengo alipokuwa Chadema Kitivo Cha matusi Tanzania kaja CCM kaujua ukweli kuwa kuna wazee hawatukanwi au kudharauliwa hata siku moja ikiwemo huyo Kardinali Pengo kaenda kumuona
Huyo ni mzee mzito sio wa kuchezea wala kudharau
Kazoea kuwadanganya kondoo wake maana hata akiwadanganya hawawezi kumuuliza au kumwambia kitu.Gwajima mweupe Sana aisee nimeona clip akiulizwa maswali na yule babu mpaka ali sweart sana
Wale tuliokuwa tunashadadia ugomvi yatushuke sasa! Ukiona ndugu wanagombana kashike jembe ulime! Hao wote Ccm chama dume! Ndo wameshaunganisha nguvu, chandimu na halima mjipange!MAKONDA, GWAJIMA USO KWA USO KWA KARDINALI PENGO
Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Paul Makonda pamoja na Mgombea wa Ubunge Jimbo la Kawe Askofu Gwajima kwa pamoja wamemtembelea Kadrinali Pengo mapema leo.
View attachment 1577160
View attachment 1577080
View attachment 1577083
Lissu ni habari nyingine kabisa maana hata sasa ameweza kumteka Jiwe awache kunadi alivyo nunua ndege na kujenga madaraja sasa hivi kila mkutano ni kumjibu Lissu tu.Mkuu mimi pia nimeendelea kuona ulichokiona, huyu mtu si wa kawaida, msema ukweli ni mpenzi wa Mungu, "Hakuna mwanaume wala mwanamke awae yote ktk nchi hii kwa sasa mwenye ubavu wa kumtwanga Magufuli maneno machungu kiasi hicho! Iwe ni wakati wa kampeni ama usio wa kampeni.
Tulimuonya Gwajima kuwa dini na siasa kuna tofauti kubwa lkn mataga wakatupuuzaDuh mtu anakula matapishi yake shame
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Gwajima na Makonda wanafanana sana kwenye ukosefu wa aibu
Kwani Pengo ni nani kwa sasa?MAKONDA, GWAJIMA USO KWA USO KWA KARDINALI PENGO
Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Paul Makonda pamoja na Mgombea wa Ubunge Jimbo la Kawe Askofu Gwajima kwa pamoja wamemtembelea Kadrinali Pengo mapema leo.
View attachment 1577160
View attachment 1577080
View attachment 1577083