Ile Baraghashia nayo kaweka Msalaba mfukoni. Eti anakula Samaki wa kukaanga Ferry. Ubunge Noma siimini Mlokokole Mfufua Wafu anaweza kujishusha Hindi hiiHii michezo Gwajima anayoicheza haitamsaidia kupata kitu jimboni Kawe, huku ni mjini, hii michezo akajaribu majimbo ya vijijini huko.
Tabia ya Gwajima imenifanya nimfahamu vizuri, kumbe kuna wakati anaweza kuliweka neno la Mungu pembeni kwa ajili ya manufaa yake binafsi, na zaidi, yupo tayari kuongea uongo wowote akiwa kwenye madhabahu yake kwa ajili ya manufaa yake binafsi.
Sasa dhamira inamshtaki anaishi kwa tabu mpaka mwili wake umepungua.
Wamekosea sana kumchagua huyu. Baba wa taifa alishatoa mfano wa waziri au naibu waziri mmoja huko uingereza alikutwa na kashfa ya kutafuta dada poa mtaani. Aliandika barua ya kujiuzulu na waziri mkuu hakujisumbua kumjibu. Huku kwetu wangekuwa wanafuata ethics hawakupashwa hata kulijadili jina sembuse kuteuliwa kugombea. Kumbuka picha hata kama ni ya kudhaniwa tu na dada mmoja.Ile Baraghashia nayo kaweka Msalaba mfukoni. Eti anakula Samaki wa kukaanga Ferry. Ubunge Noma siimini Mlokokole Mfufua Wafu anaweza kujishusha Hindi hii
Kwani na wao walishapatana lini? Gwajima na Makonda.Gwajima na Makonda wanafanana sana kwenye ukosefu wa aibu
Lini alisema amehama chadema. Sikuwahi kufahamu hili. Kumbe jamaa alishakuwa kamanda..aisee. Magu hajatutendea haki wana CCM Kawe.Sijawahi maisha yangu yote kumtukana Pengo zaidi ya kumsifia
Huyo mzee ukitaka kugombea akikuwekea mkono wa haraka au kukutamkia neno lolote la heri lazima kushinda...
Sasa hivi analamba matapishi yake, huyu jamaa akishinda nahama dunia hii.Video :
Wewe mtu kuna wakati nakuelewa sana japo wakati mwingine unaniangusha.Uwezo wako wakufikiri ni mkubwa sana hebu toka uko gizani uliko ili huo uwezo ulionao uutumie kusaidia jamii kubwa ya watz walio kwenye lindi kubwa la ujinga, maradhi na umaskini.Gwajima na Makonda wanafanana sana kwenye ukosefu wa aibu
Video :
Ampeleke na Bakwata nako ili akafute ile kauli ya kubadili misikiti kuwa makanisaView attachment 1577759
Kumbe Makonda ndiye alikuwa anawapatanisha Pengo na Gwajima!
Ruwa'ichi ni cardinal tangu lini?Kiwango cha juu cha upotoshaji, Cardinal Jude Thaddaeus Ruwa'ichi ana tamani awe Cardinal emeritus of Dar es salaam...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kweli Takatifu na La MitumeKanisa Moja Takatifu Katoliki La Mitume la Kimisionari linaupa kipaumbele Msamaha. Msamaha hujenga Upendo.
Biblia inalazimisha alikosewa ndo apambane kutafuta kumsamehe aliyemkoseaHapa kuna maswali yatubidi kujiuliza..
Biblia inalazimisha alikosewa ndo apambane kutafuta kumsamehe mkosaji. Kwa hiyo yeyote hapo ana wajibu huo.Hapa kuna maswali yatubidi kujiuliza...
Je ni Makonda ndiye anawapatanisha Gwajima na Pengo? Au Gwajima ndiye anawapatanisha Pengo na Makonda? Au Pengo ndiye anawapatanisha Makonda na Gwajima?...
Umeona eennhh?!!!,Sasa hivi wanajifanya ni wana kondoo safi.Eeeeeeh! Teteteteh! Mwanasiasa mmh! Hawanaga aibu kabisa
Ile aliyomtukana Kardinali Pengo?Mwenye ile video ya gwaji apakie tujikumbushe
Teh!teh!,teh!,Hiyo inaitwa Political propaganda.Wanataka kuonekana kuwa ni wema.Nadhani hakuna majamaa matapeli kama haya mawili aisee