Uchaguzi 2020 Hatimaye Gwajima, Pengo na Makonda Wamekutana Pamoja kwa furaha kubwa

Uchaguzi 2020 Hatimaye Gwajima, Pengo na Makonda Wamekutana Pamoja kwa furaha kubwa

Hii michezo Gwajima anayoicheza haitamsaidia kupata kitu jimboni Kawe, huku ni mjini, hii michezo akajaribu majimbo ya vijijini huko.

Tabia ya Gwajima imenifanya nimfahamu vizuri, kumbe kuna wakati anaweza kuliweka neno la Mungu pembeni kwa ajili ya manufaa yake binafsi, na zaidi, yupo tayari kuongea uongo wowote akiwa kwenye madhabahu yake kwa ajili ya manufaa yake binafsi.

Sasa dhamira inamshtaki anaishi kwa tabu mpaka mwili wake umepungua.
Ile Baraghashia nayo kaweka Msalaba mfukoni. Eti anakula Samaki wa kukaanga Ferry. Ubunge Noma siimini Mlokokole Mfufua Wafu anaweza kujishusha Hindi hii
 
Ile Baraghashia nayo kaweka Msalaba mfukoni. Eti anakula Samaki wa kukaanga Ferry. Ubunge Noma siimini Mlokokole Mfufua Wafu anaweza kujishusha Hindi hii
Wamekosea sana kumchagua huyu. Baba wa taifa alishatoa mfano wa waziri au naibu waziri mmoja huko uingereza alikutwa na kashfa ya kutafuta dada poa mtaani. Aliandika barua ya kujiuzulu na waziri mkuu hakujisumbua kumjibu. Huku kwetu wangekuwa wanafuata ethics hawakupashwa hata kulijadili jina sembuse kuteuliwa kugombea. Kumbuka picha hata kama ni ya kudhaniwa tu na dada mmoja.
 
Sijawahi maisha yangu yote kumtukana Pengo zaidi ya kumsifia

Huyo mzee ukitaka kugombea akikuwekea mkono wa haraka au kukutamkia neno lolote la heri lazima kushinda...
Lini alisema amehama chadema. Sikuwahi kufahamu hili. Kumbe jamaa alishakuwa kamanda..aisee. Magu hajatutendea haki wana CCM Kawe.
 
pengo, makonda , gwajima.jpg

Hapa kuna maswali yatubidi kujiuliza...
Je ni Makonda ndiye anawapatanisha Gwajima na Pengo? Au Gwajima ndiye anawapatanisha Pengo na Makonda? Au Pengo ndiye anawapatanisha Makonda na Gwajima?

Katika kujibu yafaa tujikumbushe machache kuhusu huu utatu;

Makonda aliwahi kumtuhumu Pengo kuhusiana na biashara ya madawa! Gwajima aliwahi kumtuhumu Pengo na kumtukana matusi mazito!
Makonda aliwahi kumtuhumu Gwajima kwa ufuska na madawa! Gwajima aliwahi kumshukia Makonda kuhusu dharau na la vyeti feki!
 
Gwajima na Makonda wanafanana sana kwenye ukosefu wa aibu
Wewe mtu kuna wakati nakuelewa sana japo wakati mwingine unaniangusha.Uwezo wako wakufikiri ni mkubwa sana hebu toka uko gizani uliko ili huo uwezo ulionao uutumie kusaidia jamii kubwa ya watz walio kwenye lindi kubwa la ujinga, maradhi na umaskini.
 
Hapa kuna maswali yatubidi kujiuliza...

Je ni Makonda ndiye anawapatanisha Gwajima na Pengo? Au Gwajima ndiye anawapatanisha Pengo na Makonda? Au Pengo ndiye anawapatanisha Makonda na Gwajima?...
Biblia inalazimisha alikosewa ndo apambane kutafuta kumsamehe mkosaji. Kwa hiyo yeyote hapo ana wajibu huo.
 
Back
Top Bottom