Sahih kbsaaaIngependeza hizi stori wazilete kina cocastic , dume zima kupost umbea umbea haipendezi
Majibu huwa yanakera alitegemea ungemjibu ovyo ππSawa
Acha kujichekesha mtoto wa kiume, vipi kama sikutarajia jibu lolote kutoka kwake!? Je unafaham kama baada ya hiyo reply ameniripoti Kwa reply niliyoitoa kwenye Uzi mwengine kabisa ambao haumuhusu kabisa!?Haya
Majibu huwa yanakera alitegemea ungemjibu ovyo [emoji23][emoji23]
Leo umeongea kitu cha tofauti zaidi kwenye jukwaa hili. Una upeo wa mbali. Napata mashaka nami pia.Ndoa za kafara hizo...
Anaiba nyota za wanawake anazitumia...
Aya Dogo.Acha kujichekesha mtoto wa kiume, vipi kama sikutarajia jibu lolote kutoka kwake!? Je unafaham kama baada ya hiyo reply ameniripoti Kwa reply niliyoitoa kwenye Uzi mwengine kabisa ambao haumuhusu kabisa!?
Hapa sasa.....!!! Tuyasikiayo kitaa mmmmCHAI
nje ya mada;hivi huyo jamaa hua ana nguvu za kuwazagamua ipasavo hao watafuta umaarufu?
π π π πIla wanawake wana roho ngumu,
Niishie hapa, ngoja niagize nguruwe
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£AiseeNdoa za kafara hizo...
Anaiba nyota za wanawake anazitumia...
Wanazingatia maokoto ππππππππWanawake kweli wana huruma!!π
Hayo mambo ya sirini mkuu, Mimi na wewe hatuwezi kuyajua japo tetesi za chinichini jamaa goi goi.CHAI
nje ya mada;hivi huyo jamaa hua ana nguvu za kuwazagamua ipasavo hao watafuta umaarufu?
Safari hii kapatikana ,kakutana na mtoto wa mjini haswaaaaKwa wazazi wenye uelewa mpana hawezi katu kumuoszesha bint Yao haji
Haji Ni tapeli wa mapenzi
ππππππππHaya
Majibu huwa yanakera alitegemea ungemjibu ovyo ππ