Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasanii ni watu wa kutafuta kick tu, kwani ni mara ya kwanza kwa Haji kuongea utumbo? Tatizo ni kuwa jamii ya Kitanzania ni ya kijinga sana, watu wanapenda ujinga zaidi ya vitu vya maana. Shule ni muhimu sana jamani.Wahenga wanasema mapenzi ni kikohozi hakiwezi kufichika .
Inaonekana Zainabu fundi sana naona ndugu yetu Haji Manara kakolea na penzi analopewa na Zai mpaka kaamua kuvunja kiapo chake cha kutooa tena mpaka anaingia kaburini.
Halafu imekuwa ghafla sana aisee hata miezi mitatu haijaisha Bugati kama Bugati kapagawa mpaka anatangaza ndoa 😂😂😂😂😂😂😂sisi yetu macho bwana.
Tunangojea mualiko twende tukale ubwabwa huku tunaweka notification on maana lolote linaweza kutokea kati yao maana wamekutana pipa na mfuniko halafu wote wapenda kiki 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
View attachment 2839517
Ila JB naye mnafki 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
View attachment 2839520View attachment 2839524
Yaan hawa watakuja zalilishana vibaya hahaha hadi nacheka in advance ila tuseme manara tabia mbaya haielezeki wanawake wooote anao oa wanaenda hajitathminiPenzi la mihemuko, penzi liso na msingi wa mapenzi!
Yanaishaga vibaya haya?
Stori za kiume ni zipi niwe nazileta?Huyu Hance ni demu? Mwanaume unaletaje stori za kike kike toka Insta humu
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] wahuni sio watu wazuri!
Una uhakika km ni dume mjombaIngependeza hizi stori wazilete kina cocastic , dume zima kupost umbea umbea haipendezi
Unamuliza nani sasa! We Mpelekee mzigo akauzagamue ili uje utusimulie sisiCHAI
nje ya mada;hivi huyo jamaa hua ana nguvu za kuwazagamua ipasavo hao watafuta umaarufu?
Una laaana ya wazazi wakoUnamuliza nani sasa! We Mpelekee mzigo akauzagamue ili uje utusimulie sisi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Manara hawezi kupindua kwa Rushyhii inanifanya nikumbuke alivo muambia Rushaina kwamba “nikiongea Rushaina utarudi singida😅🤣🤣