Laki Si Pesa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2018
- 5,085
- 9,022
Hehehe, nifa bana , kuna kitu nimekumbukaPenzi la mihemuko, penzi liso na msingi wa mapenzi!
Yanaishaga vibaya haya?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hehehe, nifa bana , kuna kitu nimekumbukaPenzi la mihemuko, penzi liso na msingi wa mapenzi!
Yanaishaga vibaya haya?
Nini hichoooo?Hehehe, nifa bana , kuna kitu nimekumbuka
Huyo binti wa shinyanga kabla ya kuolewa Manara alikuwa anamfurahisha? Si angegoma kabla hajaolewa?sidhani kama ni tapeli wa mapenzi, anavamia mizigo asiyoiweza, sasa kama kale katoto shombe ka shinyanga kalikomwaibisha, kalisema wazi kabisa kwamba kenyewe bado umri mdogo kanahitaji kufurahishwa, meaning, kanahitaji kupewa shoo za kueleweka. si mnaenda kujiaibisha tu huko? meaning jamaa hakukidhi viwango akaona hafurahii maisha.
Mwaka mbali hivyooo!!!?Vina mda kwani, hiyo ndoa ikimaliza mwaka mniite kunguni,,,,,,,,
Nimekumbuka tu penzi la mdada mmoja hivi, lilikuwa na mbwembwe mitandaoni hivi hivi, likafa kifo kibaya, sasa ivi mdaada wa watu amejifunza, mahusiano yake hayaaniki tena mitandaoni, akili imemkaa sawa, ametulia zake anaenjoy maisha.Nini hichoooo?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] wahuni sio watu wazuri!Nimekumbuka tu penzi la mdada mmoja hivi, lilikuwa na mbwembwe mitandaoni hivi hivi, likafa kifo kibaya, sasa ivi mdaada wa watu amejifunza, mahusiano yake hayaaniki tena mitandaoni, akili imemkaa sawa, ametulia zake anaenjoy maisha.
Awataje tu mama Fatma na mama Hamida au sio 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mwambieni Manara wenu aache kumtaja taja MKE wangu mamaG[emoji34]
Unatakiwa ukaisafisheHivi ukiibiwa unairudishaje mpendwa?
Itakuwa typing error.Sijaelewa unamaanisha nini weka vizuri sentensi yako
😂😂😂😂😂😂😂😂Wapumbavu wawili wamekutana...
Nihurumie na mimi basi?😂Wanawake kweli wana huruma!!😄
Nani anajua?CHAI
nje ya mada;hivi huyo jamaa hua ana nguvu za kuwazagamua ipasavo hao watafuta umaarufu?