Hatimaye Haji Manara atangaza ndoa rasmi na ZaiyLissa. Mastaa kibao akiwemo JB wameunga mkono

Hatimaye Haji Manara atangaza ndoa rasmi na ZaiyLissa. Mastaa kibao akiwemo JB wameunga mkono

sidhani kama ni tapeli wa mapenzi, anavamia mizigo asiyoiweza, sasa kama kale katoto shombe ka shinyanga kalikomwaibisha, kalisema wazi kabisa kwamba kenyewe bado umri mdogo kanahitaji kufurahishwa, meaning, kanahitaji kupewa shoo za kueleweka. si mnaenda kujiaibisha tu huko? meaning jamaa hakukidhi viwango akaona hafurahii maisha.
Huyo binti wa shinyanga kabla ya kuolewa Manara alikuwa anamfurahisha? Si angegoma kabla hajaolewa?
 
Back
Top Bottom