Hatimaye Haji Manara atangaza ndoa rasmi na ZaiyLissa. Mastaa kibao akiwemo JB wameunga mkono

Wasanii ni watu wa kutafuta kick tu, kwani ni mara ya kwanza kwa Haji kuongea utumbo? Tatizo ni kuwa jamii ya Kitanzania ni ya kijinga sana, watu wanapenda ujinga zaidi ya vitu vya maana. Shule ni muhimu sana jamani.
 
Kelele zote za manara akipiga tako 3 kishamwaga.,
Baada ya hapo vyombo havipigi tena muzic hadi baada ya week..
Ana kazi ya kuwaolea wenzie.

Ndoa inataka uvunje kazi ufanye kazi ili kudumisha ndoa yako.

Kama hyo ndoa itavuka mwaka 1 haijavunjika nipigwe ban humu ndani milele
 
Uzuri ni kwamba hata akitaka kuficha kuhus yeye kuliwa, akikolezwa na boss anajisahau km yeye n mume wa mtu, anaishia kubaki single.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kazi ipoo
 
Bugati kula chuma hicho, usiachie hii pisi.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…