Hatimaye Haji Manara atangaza ndoa rasmi na ZaiyLissa. Mastaa kibao akiwemo JB wameunga mkono

Na nyie akina dada mnatujazia tu server na stories zenu za kimbea. Inachosha sana. Humu wangekuwa wanaume wengi hata hizi threads zisingekuwepo za hovyo hovyo. Mi nlidhani wewe member ndo unaolewa. Kumbe mwenzio? Huyo haji anashughulika na nini mpaka unamleta huku utadhani wote tunamfaham
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…