Hatimaye HAMAS yakiri kuuawa kwa makamanda wake watatu waliouliwa ndani ya handaki


Elimu ya madrassa ni useless sana, Gaza imesambaratishwa na kufanywa shamba, majengo 56,000 hala mateka mnarudisha, halafu mazombi yenu yameuawa zaidi ya 15,000....sijawahi kuona watu useless kama nyie, siku nyingine msifanye shobo kwa Myahudi, yule hupiga sio mchezo....na Mungu wake ana nguvu kuliko huyo wenu aliyepiga kona na kukimbia.
 
Labda wataalam waje wanielimishe ni kitu gani mlichopata kwenye huu uchokozi, mumeishia kurejesha mateka na Gaza imesambaratishwa, elimu ya madrassa shida sana.
Elimu ya madrsa ni mpango mzima.
Sijamuona mtu baada ya kufa akavishwa na kuswaliwa na vyama vya siasa au club za music
 
Tatizo kubwa unaandika bila kujua sababu. Sababu ya Israel kukubali ni hizi
1. Miongoni mwa wanaoshikiliwa mateka na Hamas ni wamarekani, wajerumani, France uingereza na baadhi ya nchi za asia.
Hao wa magharibi ni waungaji mkono wa Israel, hivyo wamemuomba Israel afanye mkataba ili raia wao wasiuwawe kwenye mashimo wanakishikiliwa. Israel alikuwa hana chaguo ilikuwa kukubali ombi la washirika wake.
Hata hivyo katika idadi ya wanaoachia.na Hamas wa Marekani hawamo mpaka muda huu, na hiyo siyo kwa bahati mbaya , ni mkakati wa Hamas ili waje na madai ya mkataba mwingine kwa kuongeza madai.
Ila baada ya siku ya kesho utasikia.ninachokuambia
 
Naona unahangaika sana tu. 2025 haiko mbali kesi za ugaidi kwa viongozi wa chadema zitarudi. Ya Gaza tutayasahau yatakuja haya
 
Mkuu Pande zote zimepata hasara! IDF imepoteza askari wengi kuliko unavyofikiri! Ingawa ni Ukweli usiopingika kuwa Hamasi wamepata kipigo ambacho kimegarimu askari na makamanda wengi!

Oya! Ukipata fursa pitia picha za Gaza uniambie nini utakiona pale, utadhani wamepigwa nyuklia, halafu wamepoteza watu zaidi ya 15,000 na raia wake wanateseka kwa kutegemea misaada, sasa hapo kwa mtu mwenye akili mlikua mnategemea nini haswa....
 
Elimu ya madrsa ni mpango mzima.
Sijamuona mtu baada ya kufa akavishwa na kuswaliwa na vyama vya siasa au club za music

Haina chochote zaidi ya kuvaa mikanzu tu, yaani huwa mnachekesha sana....
 
Hiyo taarifa ni kweli kabisa, nimeiona Aljazeera...kituo huru kwenye kutoa habari.
Aljazira wako based sana na Hamas, wanaonyesha vipicha vya watoto, waliojeruhiwa na kulia lakini picha za wakubwa hawaonyeshi
 
Oya! Ukipata fursa pitia picha za Gaza uniambie nini utakiona pale, utadhani wamepigwa nyuklia, halafu wamepoteza watu zaidi ya 15,000 na raia wake wanateseka kwa kutegemea misaada, sasa hapo kwa mtu mwenye akili mlikua mnategemea nini haswa....
Kwenye nchi za kiarabu hela haijawahi kuwa tatizo , gaza itajengwa ndani ya dakika sifuri, waulize waliyoenda qatar world cup walivyokuwa wanashangaa kufuru ya pesa
 
Tulia dawa iingie acha kupaparika
 
Kwenye nchi za kiarabu hela haijawahi kuwa tatizo , gaza itajengwa ndani ya dakika sifuri, waulize waliyoenda qatar world cup walivyokuwa wanashangaa kufuru ya pesa

je hayo mazombi yenu zaidi ya 15,000 mtayafufua? Na usisahau bado kipigo kiko pale pale, yaani nimejaribu kujiuliza mara mia naishia kucheka tu, nyie watu zaidi ya kuvaa mikanzu mna nini kingine mnachoweza...maana hata hizo hela za uarabuni ilikua kwa elimu ya mzungu kugundua mafuta.
 
Oya! Ukipata fursa pitia picha za Gaza uniambie nini utakiona pale, utadhani wamepigwa nyuklia, halafu wamepoteza watu zaidi ya 15,000 na raia wake wanateseka kwa kutegemea misaada, sasa hapo kwa mtu mwenye akili mlikua mnategemea nini haswa....
 

Attachments

  • IMG_6767.jpeg
    48 KB · Views: 2
Hao wazungu wenyewe hadi leo wanaenda kushangaa pyramids na kujiuliza zilijiengwa vipi kipindi amabpo hakuna mitambo na macrane
 
Hujui kwamba muarabu ndio alianza civilization hapa duniani ndio maana nasema tatizo lako ni elimu huna unavhojua zaidi ya unacholishwa na wachungaji wa mbagala na movie, earliest civilization on earth ilianza midfle east na sio ulaya
 

Attachments

  • Screenshot_20231126-164603_Chrome.jpg
    79.6 KB · Views: 3
Bado wale wanabwia Gahawa kule Qatar [emoji1203] wawafuate wakalipue hao panya buku wakawahi bikra zao peponi.
 
Kuna watu wajinga sana kwa hiyo hapa ni kama ushabiki wa mpira hamas na Israel nani kampiga mwenzake mnasikia raha? Kama mna mahaba namna hiyo si mngekwenda kujiandikisha mamluki mkawapiganie wapendwa wenu mstari wa mbele
 
Ukitaka juwa balaa la mossad waulize Manazi wa Ugerman kiasi serikali ya Genrma ilifika mahali na kusema poo kwa Israel maana hakuna alie Baki hai hata leo..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…