Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwenye hili hata mimi mchukia ccm kindakikandaki nakukataa. umekuza tu mambo. adui yetu mkuu ccm na sio zanzibar.Timu inayotokea Tanganyika unataka mechi yao ipelekwe Nchi nyingine ili kuzuia mashabiki wa mikoa mingine kuhudhuria kwa faida ya nani?
View attachment 3078359
Ww nae ndo wale walejibu hoja ili tuone upumbav wake lasivyo ww ndo mpumbav
Utakuwa umelogwaHakuna taifa linaitwa Tanganyika shame
Huyo mjinga nishampiga tofali kitambojibu hoja ili tuone upumbav wake lasivyo ww ndo mpumbav
Ajiuzulu ili awe chawa kama Dotto MagariAnajipendekeza kwa mother
Hicho kitofali mbona hakifanyi kazi mana bado naona upuuzi unaoandika.Huyo mjinga nishampiga tofali kitambo
Wewe ndiye uliyefungwa akili, (closed minded), ina maana hujui kama uwanja wa mkapa unakarabatiwaTimu inayotokea Tanganyika unataka mechi yao ipelekwe Nchi nyingine ili kuzuia mashabiki wa mikoa mingine kuhudhuria kwa faida ya nani?
View attachment 3078359
Acha visingizio vya kijingaWewe ndiye uliyefungwa akili, (closed minded), ina maana hujui kama uwanja wa mkapa unakarabatiwa
Tunaishi kwenye jamii zilizofungwa akili, (closed minded), swali fikirishi je Vitali'o kuchagua uwanja wa Azam complex ilikuwa ni ulevi wa madaraka?, Pia kuna wengine watatumia uwanja huohuo kama wa nyumbani nao watakuwa ni walevi wa madarakaMbona haushangai timu za nje kutumia uwanja wa Azam FC kuwa uwanja wao wa nyumbani?
Acha ujinga, hujui matatizo ya Vitalo ?Tunaishi kwenye jamii zilizofungwa akili, (closed minded), swali fikirishi je Vitali'o kuchagua uwanja wa Azam complex ilikuwa ni ulevi wa madaraka?, Pia kuna wengine watatumia uwanja huohuo kama wa nyumbani nao watakuwa ni walevi wa madaraka
Mkiingia madarakani mwaka 2115 mtaunda Ufipa FC iwe inacheza mechi zake huko Machame. Ila kwa sasa tulizeni mizuka.Sababu za huo ujinga ni zipi? Halafu uliona wapi Timu za Tanganyika zikachezea michuano ya CAF nchini Zanzibar, kwa lipi?
kama huna akili bora ukae kimya usiandike upumbavu wako tupo sisi wengine tunao chukia ujingaTunaishi kwenye jamii zilizofungwa akili, (closed minded), swali fikirishi je Vitali'o kuchagua uwanja wa Azam complex ilikuwa ni ulevi wa madaraka?, Pia kuna wengine watatumia uwanja huohuo kama wa nyumbani nao watakuwa ni walevi wa madaraka
Kuchelewa kujua siyo ujinga lakini kutotaka kujua,(kujifunza), ndiyo ujinga , competitions has nothing to do with the problems of participantsAcha ujinga, hujui matatizo ya Vitalo ?
Soma na kukielewa nilichokiandika ili usiwe mjinga yaani mvivu wa kufikiri, (lazy thinker), from the beginning of this threadkama huna akili bora ukae kimya usiandike upumbavu wako tupo sisi wengine tunao chukia ujinga
Labda wewe nduguUtakuwa umelogwa
Kuliko watu wa pwani ambao wanadharau na wanadhani wanajua Kila kitu?Siku cdm ikichukua hii itatugawanya vipande vipande,cdm ni wadini na wabaguzi wa kikanda vibaya mno!
Chifu, acha mambo mengine yapite! Ikiwa Timu za Unguja zimehamishia mechi kwa waarabu "wenzao", seuze Uto kuhamishia mechi ZNZ?Michuano ya Caf ni ya Muungano?