Atasema umemtukana....[emoji23] [emoji23]Hongera umepata nyama pori ila mambo kama haya wanaume wa Dar,mnawapta point tatu nzima wanaume wa mikoani,yaani kicheche anakutisha hadi unamuita mshikaji wako akusaidie! Chaaa,eti vita ilikuwa kali! Wewe ,na kicheche? Sisi huku dogo tu wa shule ya msingi anapambana na simba dume,Khaaa!
Ila jamaa hawa ni tatizo.Vita na kicheche!Atasema umemtukana....[emoji23] [emoji23]
Huyu mwanaume wa Daslam kanifanya nimecheka sana leo......[emoji12] [emoji12] [emoji12]Ila jamaa hawa ni tatizo.Vita na kicheche!
Adui yako mwombee njaa..! Nakupenda sana si kwasababu ya chochote zaidi ya kuwa adui wangu kwa upande wako..!nilidhani ni mwanamke nilishakuandalia matusi.
Adui yako mwombee njaa..! Nakupenda sana si kwasababu ya chochote zaidi ya kuwa adui wangu kwa upande wako..!nilidhani ni mwanamke nilishakuandalia matusi.
Kwa sababu huyo mshikaji uliyemwua anauwezo wa kufanya mapenzi mpaka mara 26 kwa siku mojaTwambie mkuu..
eti kumrushia kicheche teke na yeye akajikojolea kwa woga ahaaaHuyu mwanaume wa Daslam kanifanya nimecheka sana leo......[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Mkuu kweli unawatambua vyema, maana hapa home kweli migebuka imejaa kwa firiji, tunaletewa kutoka kigoma na dagaa wa kigoma wamejaa kweli.Huyu kicheche hatari sana atakua anapenda kula migebuka pia; aina ya hawa vicheche wengi wanapatikana kule mwisho wa reli; Kigoma.
Ila afadhali umejitahidi umemuua maana hao watoto wataogopa hawatarudi tena.Vicheche hatari.
SijuiUnajua kwanini mwanamke malaya anaitwa kicheche?
Mbaya zaidi eti anasema "vita ilikua kali sana"....... hahaahaaaaa, kweli nimecheka sana baada ya kutumia akili nyingi na kusoma kwa makini.... kumbe upupumtupueti kumrushia kicheche teke na yeye akajikojolea kwa woga ahaaa