ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,040
- 7,303
Sio lazima watumishi wote kulipwa kwa kikokotoo kimoja. Wanaweza kupewa options kila mti achague kilingana na circumstances zake. Unaweza kuweka options tatu;
1. No lump sum. Mtu analipwa pesa ya mwezi tu kwa kiasi kinachokaribiana na mshahara aliokuwa analipwa.
2. Lump sum 25% , kinachobaki analipwa monthly.
3. 40% lump sum, kinachobaki analipwa monthly.
Watu wanatofautiana circumstances, kwahiyo kukiwa na namna moja tu ya malipo, wapo watakaoathirika. Hali hiyo inaepukika kwa kuwapa options.
1. No lump sum. Mtu analipwa pesa ya mwezi tu kwa kiasi kinachokaribiana na mshahara aliokuwa analipwa.
2. Lump sum 25% , kinachobaki analipwa monthly.
3. 40% lump sum, kinachobaki analipwa monthly.
Watu wanatofautiana circumstances, kwahiyo kukiwa na namna moja tu ya malipo, wapo watakaoathirika. Hali hiyo inaepukika kwa kuwapa options.