JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Wala hawa kukosoea walikua sahihiNiliandika humu Mei 6 wajinga wakaniita mjinga
angekuona Mpwayungu Village angeshatia mguu all in all safi kabisa mwalimu kwa kuwafundisha wanetuAnaliaga huyu Yanga ikifungwa.....same tu me wanafunzi wangu wakishindwa kuperform vyema hesabu za Kwa paper 🤸🤸🤸🤸
Mpwayungu mwalimu mwenzangu yule,hareply ovyo comments zangu.....angekuona Mpwayungu angeshatia mguu naona kapigwa Ban safi kabisa mwalimu
Soma ulivyoandika bro!Wala hawa kukosoea walikua sahihi
Yaani misimu miwili mfululizo amewapelekea moto wapinzani wake!Machale kumdesa anajua fika msimu ujao ni majanga tu na msimu wa bahati ulikuwa ni huu
You are not serious.Anguko la uto laja. Na anaweza sepa na Mayele, Dickson Job na hata Diarra.
Na wa misimu 4 ya kubeba ndoo back2back wasemaje bloangu?Yaani misimu miwili mfululizo amewapelekea moto wapinzani wake! Halafu machale yamcheze msimu ambao kikosi kiko katika kilele chake cha mafanikio!!
Kabla ya hiyo misimu 4, Yanga pia alichukua misimu 3 mfululizo.Na wa misimu 4 ya kubeba ndoo back2back wasemaje bloangu?
Machale kumdesa kimataifa achna na hii ligi yko mtu akishnda mechi moja anatoka mkiani mpaka nafasi ya tatu, mkivuka hata makundi nyinyi klabu bingwa Niko nimekaa pale nikisubiri kuitwa umbwaYaani misimu miwili mfululizo amewapelekea moto wapinzani wake! Halafu machale yamcheze msimu ambao kikosi kiko katika kilele chake cha mafanikio!!