Hatimaye kwa Mkapa kumejaa, naliona vibe la mashabiki wa wydad Casablanca na Rajacasablanca ndani ya Mkapa stadium

Halafu mfungwe
 
Mnajifanyaga wajuaji na hamjui USM Alger walisha tuma ombi la tickets waka orodhesha idadi ya watu wanao kuja nao , unavyo ropoka humu ulitaka Yanga ikutajie majina ya watu na timu zao?
Unaonekana una uwezo mdogo sana wa uelewa,yani umekurupuka kama Kuku aliyekatwa kichwa kisha akaachiwa ghafla,hebu soma tena comment yangu niliyomquote mleta mada,

Halafu comment niliyomquote mleta mada ni swali,au hujui maana ya question mark?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…