Hatimaye kwa Mkapa kumejaa, naliona vibe la mashabiki wa wydad Casablanca na Rajacasablanca ndani ya Mkapa stadium

Hatimaye kwa Mkapa kumejaa, naliona vibe la mashabiki wa wydad Casablanca na Rajacasablanca ndani ya Mkapa stadium

nilisikia kwenye vyombo cha habari serikali imetoa ndege kupeleka mashabiki kwa ajili ya final nikajua wanacheza nje ya TZ, mimi siomfuatiliaji sana wa Mpira ila nimekua na furaha yanga kutuwakilisha Vizuri Tanzania nimeuliza tu baada ya kusikia habari za kwa mkapa tena fainali kesho
Fainali ni home and away.
 
kwa hiyo kuna fainali itachezwa nyumbani kwa usm alger
Ndio maana yake, Yanga wanatakiwa kumalizana na hawa Waarabu kesho kwa Mkapa.

Ulaya fainali ni moja kwa sababu mashabiki wa ulaya wanajimudu kiuchumi, wana uwezo wa kusafiri nchi yoyote kuisuport timu yao hivyo fainali ya UEFA ni moja na inachezwa kwenye neutral ground.

CAF waliiga huo mfumo lakini kwa Africa ni ngumu hautekelezeki, na hata ukilazimisha huo mfumo utakuja kukuta fainali INA mashabiki wachache na kupoteza hata maana halisi ya fainali.
 
Ndio maana yake, Yanga wanatakiwa kumalizana na hawa Waarabu kesho kwa Mkapa.

Ulaya fainali ni moja kwa sababu mashabiki wa ulaya wanajimudu kiuchumi, wana uwezo wa kusafiri nchi yoyote kuisuport timu yao hivyo fainali ya UEFA ni moja na inachezwa kwenye neutral ground.

CAF waliiga huo mfumo lakini kwa Africa ni ngumu hautekelezeki, na hata ukilazimisha huo mfumo utakuja kukuta fainali INA mashabiki wachache na kupoteza hata maana halisi ya fainali.
hapo sasa nimeelewa mkuu
 
Siyo wawakilishi wa nchi, Bali Yanga inawakilisha Waafrica wote kasoro Waarabu, kumbuka timu zilizoingia fainali tatu ni za Waarabu na moja ndio ya Waafrica ambao ni Yanga Africa, what a history.🎷🎷
Ninakubali mkuu.
 
Siyo wawakilishi wa nchi, Bali Yanga inawakilisha Waafrica wote kasoro Waarabu, kumbuka timu zilizoingia fainali tatu ni za Waarabu na moja ndio ya Waafrica ambao ni Yanga Africa, what a history.[emoji449][emoji449]
[emoji123] sawa Mkuu
 
Timu ya Yanga SC kupitia kurasa zake rasmi za mitandao ya kijamii imetangaza kuuza tiketi zote za mchezo wa fainali ya #CAFCC ikiwa imesalia siku moja tu kabla ya mchezo huo dhidi ya USM Alger.

Uwanja wa Benjamin Mkapa una uwezo wa kubeba idadi ya watu 60,000 kwa wakati mmoja kwa mantiki hiyo Young Africans wameuza tiketi elfu sitini kwaajili ya mchezo huo.

Kila la heri wananchi "why not us!??"

View attachment 2636693
Yanga 3 wao 1
 
"Uwanja wa Benjamin Mkapa unauwezo wa kubeba idadi ya watu 60,000 kwa wakati mmoja kwa mantiki hiyo Young Africans wameuza tiketi elfu sitini kwaajili ya mchezo huo"

Ina maana mashabiki wa wapinzani wa Yanga,wao hawakupewa hata nafasi ya tiketi moja? Nauliza kwa mujibu wa hiyo paragraph hapo juu.
Kwani tickets hua zina andikiwa huyu ni shabiki wa timu flani?
 
Back
Top Bottom