Nimetuma dogo mafuta ya taa kwa mangi. Haiwezekani uwe peke yako.ni jambo ambalo nimekuwa nalifikiria mara nyingi kuchana hivi vyeti maana vinanitia hasira sana hakuna vilichosaidia kwa miaka minne leo nimechana rasmi kuanzaia olevel mpaka chuo tukutane mtaani guys
Milembe inakuhusuni jambo ambalo nimekuwa nalifikiria mara nyingi kuchana hivi vyeti maana vinanitia hasira sana hakuna vilichosaidia kwa miaka minne leo nimechana rasmi kuanzaia olevel mpaka chuo tukutane mtaani guys
Usimuamini atakuwa amechana photo copies ya vyeti, OG vipo.Aisee sawa kama unahisi ni uamuzi wa busara kwa sasa! Ila usije siku ukavikumbuka baada ya kutokea mchongo wa maana na vyeti ulishavichana. Kwani huwezi kuingia mtaani huku ukiwa umefungia kabatini hivo vyeti???
Nielekeze na mimi.ni jambo ambalo nimekuwa nalifikiria mara nyingi kuchana hivi vyeti maana vinanitia hasira sana hakuna vilichosaidia kwa miaka minne leo nimechana rasmi kuanzaia olevel mpaka chuo tukutane mtaani guys
Unfortunately nipo vizuri upstairsMleta mada bila shaka ulikuwa msindikizaji
Na wachangia mada wengi bila shaka ni wale waliokuwa wasindikizaji pia
Ngoja niondoke mada hainihusu [emoji124]
Nikipata mke kama wewe.. Nitafanikiwa maishaniDooh hata sasa bado it's your plan B mkuu! maana ukiamua kuvipata tena inawezekana Necta na chuo wanakuprintia tena mbona. Sijui mi naona kama ungekua hutaki kuvitumia ungevihifadhi mahali!siku utapata deal hata huko mtaani litaloweza hitaji hivo vyeti ukasumbuka[emoji2369]. Kila rakheri
Ndio upo vizuri upstairs sikatai ila ulisomea fani usiyoipenda, so direct wewe ulikuwa msindikizaji tuunfortunately nipo vizuri upstairs
Ahsante utampata tu mkuu tena akawa zaidi! Au nije tu tuyajenge! Ila mmh zile stories zako za mademu zile πββοΈπββοΈNikipata mke kama wewe..nitafanikiwa maishan
Thanks mkuuKaribu mkuu kilimo cha jembe kinalipa sana ukiwa na commitment. Utakua empty pocket ila sio empty stomach.
Karibu kitaani mate, connection za saidia fundi zipo kibao
Yeah sure mkuuNdio upo vizuri upstairs sikatai ila ulisomea fani usiyoipenda, so direct wewe ulikuwa msindikizaji tu
By the way ulishawai kukiri mwenyewe kwamba hukupenda kusoma ulichokisomea ndo maana hata performance yako ipo low
Kweli kabisa kila silaha inaweza kukufaa sehemu fulani na ukatoboaVitani tunaingia na silaha zote na kila silaha inafaa kwa wakati wake,
Sasa wewe jiandae kuwa mpangusa viatu wa nene wa ufipa mpaka uzee wako
Sent from my Infinix X622 using JamiiForums mobile app
Ngoja Magu aanze kugawa ajira kwa hasira mara tu atakaposikia hili.ni jambo ambalo nimekuwa nalifikiria mara nyingi kuchana hivi vyeti maana vinanitia hasira sana hakuna vilichosaidia kwa miaka minne leo nimechana rasmi kuanzaia olevel mpaka chuo tukutane mtaani guys
nipo serious mana wala sina haja ya kudanganya maana hamna faida