Hatimaye leo nimejiridhisha tatizo la Simba ni Viongozi

Hatimaye leo nimejiridhisha tatizo la Simba ni Viongozi

Bila bila

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2016
Posts
22,168
Reaction score
39,118
Leo Simba Wana tukio (event) pale Dodoma mgeni rasmi akiwa Naibu Spika Zungu.

Kinachonifanya niseme chanzo cha matatizo ya Simba ni Viongozi ni pale Mjumbe mmoja wa Bodi aliyepewa nafasi WA kuongea Kwa niaba ya Bodi na kumkaribisha mgeni rasmi, anapomwambia mgeni rasmi kwamba matokeo mabaya ya Simba si kama yanavyosemwa na mashabiki kuwa Wachezaji waluosajiliwa na Simba hawana viwango vizuri Bali ni uendeshaji mbaya wa ligi na amewataka eti waahiriki wengine wa ligi waache figisu ili kuweka fair competition.

Hivi kweli uongozi wa Simba unataka wanachama na Mashabiki wa Simba watembee kifuq mbele kwamba timu ni nzuri Ila imefanyiwa figisu na Waamuzi, Bodi ya Ligi au TFF Kwa ushawishi wa timu Fulani?

Huku ni kukwepa wajibu na kutafuta Mbuzi wa kafara ili kumwangushia jumba bovu.

Nimshukuru mgeni rasmi hajamung'unya maneno, kasema Wazi 'Wanasimba wamekaairika na bado Wana hasira na matokeo mabovu ya timu, Bodi ihakikishe mashabiki wanapata furaha.

Bodi acheni janja janja.
 
nahuyuuu tatizopoo
 

Attachments

  • 1715887020251.jpg
    1715887020251.jpg
    340.9 KB · Views: 4
Leo Simba Wana tukio (event) pale Dodoma mgeni rasmi akiwa Naibu Spika Zungu.

Kinachonifanya niseme chanzo cha matatizo ya Simba ni Viongozi ni pale Mjumbe mmoja wa Bodi aliyepewa nafasi WA kuongea Kwa niaba ya Bodi na kumkaribisha mgeni rasmi, anapomwambia mgeni rasmi kwamba matokeo mabaya ya Simba si kama yanavyosemwa na mashabiki kuwa Wachezaji waluosajiliwa na Simba hawana viwango vizuri Bali ni uendeshaji mbaya wa ligi na amewataka eti waahiriki wengine wa ligi waache figisu ili kuweka fair competition.

Hivi kweli uongozi wa Simba unataka wanachama na Mashabiki wa Simba watembee kifuq mbele kwamba timu ni nzuri Ila imefanyiwa figisu na Waamuzi, Bodi ya Ligi au TFF Kwa ushawishi wa timu Fulani?

Huku ni kukwepa wajibu na kutafuta Mbuzi wa kafara ili kumwangushia jumba bovu.

Nimshukuru mgeni rasmi hajamung'unya maneno, kasema Wazi 'Wanasimba wamekaairika na bado Wana hasira na matokeo mabovu ya timu, Bodi ihakikishe mashabiki wanapata furaha.

Bodi acheni janja janja.
Wakasome namna bora ya uendeshaji wa club ya mpira, football management
 
Leo Simba Wana tukio (event) pale Dodoma mgeni rasmi akiwa Naibu Spika Zungu.

Kinachonifanya niseme chanzo cha matatizo ya Simba ni Viongozi ni pale Mjumbe mmoja wa Bodi aliyepewa nafasi WA kuongea Kwa niaba ya Bodi na kumkaribisha mgeni rasmi, anapomwambia mgeni rasmi kwamba matokeo mabaya ya Simba si kama yanavyosemwa na mashabiki kuwa Wachezaji waluosajiliwa na Simba hawana viwango vizuri Bali ni uendeshaji mbaya wa ligi na amewataka eti waahiriki wengine wa ligi waache figisu ili kuweka fair competition.

Hivi kweli uongozi wa Simba unataka wanachama na Mashabiki wa Simba watembee kifuq mbele kwamba timu ni nzuri Ila imefanyiwa figisu na Waamuzi, Bodi ya Ligi au TFF Kwa ushawishi wa timu Fulani?

Huku ni kukwepa wajibu na kutafuta Mbuzi wa kafara ili kumwangushia jumba bovu.

Nimshukuru mgeni rasmi hajamung'unya maneno, kasema Wazi 'Wanasimba wamekaairika na bado Wana hasira na matokeo mabovu ya timu, Bodi ihakikishe mashabiki wanapata furaha.

Bodi acheni janja janja.
NILIWAHI KUANDIKA BILA CHENGA KAMA BODI NA WENZAKE WAPO TU YANGA TUTSACHUKUA UBINGWA KAMA CELTIC YAAN MPAKA TUAMUE...ATUTATKI
 
nahuyuuu tatizopoo
Aliye karibu yake amwambie kuwa huko nyuma hakuwa hivyo siku hizi Simba ikipata ushindi hata kama hauna maana akihojiwa na vyombo vya habari anaongea amebana sauti kama .......................... Ikitokea viongozi wapya wameingia madarakani basi ni wakati sasa wa kuachana na huyo "comedian" badala yake sasa hivi Simba inahitaji msemaji mweye akili timamu anayejiheshimu na anayeijua kazi yake na mipaka ya kazi yake aina ya watu waliopita hapo kama Cliford Ndimbo au Ezekieli Kamwaga.

Tatizo la wasemaji wengi wa sasa hivi wote wanataka kuwa kama Haji Manra wanasahau kuwa Haji Manara ni mmoja tu nchi hii matokeo yake wanageuka kuwa vichekesho. Japo Manara simkubali lakini staili yake ni yake tu ndio maana wote wanamuigiza wanageuka kituko kwa jamii.
 
Aliye karibu yake amwambie kuwa huko nyuma hakuwa hivyo siku hizi Simba ikipata ushindi hata kama hauna maana akihojiwa na vyombo vya habari anaongea amebana sauti kama .......................... Ikitokea viongozi wapya wameingia madarakani basi ni wakati sasa wa kuachana na huyo "comedian" badala yake sasa hivi Simba inahitaji msemaji mweye akili timamu anayejiheshimu na anayeijua kazi yake na mipaka ya kazi yake aina ya watu waliopita hapo kama Cliford Ndimbo au Ezekieli Kamwaga.

Tatizo la wasemaji wengi wa sasa hivi wote wanataka kuwa kama Haji Manra wanasahau kuwa Haji Manara ni mmoja tu nchi hii matokeo yake wanageuka kuwa vichekesho. Japo Manara simkubali lakini staili yake ni yake tu ndio maana wote wanamuigiza wanageuka kituko kwa jamii.
Thanks Mkuu. Umepigilia msumari kisawasawa.
 
Pumbav sana hilo likiongozi,hata akili halina.

Kwa hyo Fred mechi iliyopita alivyokosa goli yeye na goli lililokua wazi baada ya kumpiga chenga kipa hizo figusu za uendeshaji ligi zinatoka wapi?

HEWA kabisa
 
Aliye karibu yake amwambie kuwa huko nyuma hakuwa hivyo siku hizi Simba ikipata ushindi hata kama hauna maana akihojiwa na vyombo vya habari anaongea amebana sauti kama .......................... Ikitokea viongozi wapya wameingia madarakani basi ni wakati sasa wa kuachana na huyo "comedian" badala yake sasa hivi Simba inahitaji msemaji mweye akili timamu anayejiheshimu na anayeijua kazi yake na mipaka ya kazi yake aina ya watu waliopita hapo kama Cliford Ndimbo au Ezekieli Kamwaga.

Tatizo la wasemaji wengi wa sasa hivi wote wanataka kuwa kama Haji Manra wanasahau kuwa Haji Manara ni mmoja tu nchi hii matokeo yake wanageuka kuwa vichekesho. Japo Manara simkubali lakini staili yake ni yake tu ndio maana wote wanamuigiza wanageuka kituko kwa jamii.
Jamaa anaenda kua kichaa siku si nyingi
 
Simba wote wana matatizo sio mashabiki wala viongozi
 
Back
Top Bottom