Hatimaye Libya yawa shamba la Bibi, officially

Hatimaye Libya yawa shamba la Bibi, officially

Gadafi alikuwa mroho wa madaraka.
Ukiwa mroho wa madaraka ujue kuna siku utakuja uighalimu nchi yako
 
Inauma lakini tatizo kubwa la viongozi wa ki Africa na hata za ki Arab ni kung'ang'ania madarakani kwa njia moja ama nyingine.

Huwezi kuwatawala watu wenye akili na ufahamu kwa zaidi ya miaka 42 na bado ukataka mwanao akurithi !!. Watakufanyia fitna tu.
Kwa walivyokuwa wanaishi (kama peponi) sidhani kama kuna mtu alikuwa na muda wa kufuatilia siasa n.b ni siasa uchwara za marekani ndo zilizompindua kiongozi wao kipenzi muamar gadaffi ,kiongozi pekee mwenye akili afrika
 
Kwa walivyokuwa wanaishi (kama peponi) sidhani kama kuna mtu alikuwa na muda wa kufuatilia siasa n.b ni siasa uchwara za marekani ndo zilizompindua kiongozi wao kipenzi muamar gadaffi ,kiongozi pekee mwenye akili afrika
facts.
 
Mngepaza hzi sauti nakwayule BIBI wa UK mungekua munaeleweka sana ila mmekalia UNAFIQ tu[emoji12][emoji14][emoji12]
kuna utofauti mkubwa sana wa yule bibi na viongozi wetu, mfumo mzima wa uendeshaji wa serikal ni tofauti
 
Uzuri nikwamba kufa kutabakia kua kufa tu hatakama utafanya nini.....
Sawa hata km tutakufa ila sio kifo cha kizembe na cha kihuni vile, ilibidi Gadafi arizike na alichokionhoza awape na wengine waongoze ili alichokitafuta kiendelee kudumu na uhai wake uendelee kuwepo japo kifo kingemkuta mbeleni
 
kuna utofauti mkubwa sana wa yule bibi na viongozi wetu, mfumo mzima wa uendeshaji wa serikal ni tofauti
Sijaongelea mfumo wala uendeshaji naongelea upatikanaji tu hapa ambao ndio main point

Tofauti yao nini ?!
 
Sawa hata km tutakufa ila sio kifo cha kizembe na cha kihuni vile, ilibidi Gadafi arizike na alichokionhoza awape na wengine waongoze ili alichokitafuta kiendelee kudumu na uhai wake uendelee kuwepo japo kifo kingemkuta mbeleni
Kifo cha kishujaa utakua unatembea baada ya kifo...
 
Inauma lakini tatizo kubwa la viongozi wa ki Africa na hata za ki Arab ni kung'ang'ania madarakani kwa njia moja ama nyingine.

Huwezi kuwatawala watu wenye akili na ufahamu kwa zaidi ya miaka 42 na bado ukataka mwanao akurithi !!. Watakufanyia fitna tu.
Kwa hiyo upande huu waliouchagua ni bora kuliko ule..!?
Siungi mtu kukaa madarakani muda mrefu hivyo..ila Hali ya sasa na ya mwanzo bora ipi.!?
Nijuavyo mimi, kuna ubaya wenye afadhari.
 
Tatizo ya kizazi cha sasa ni kimejaa ulimbukeni wa kuiga hata yasiyowahusu.......Wanabeza mfumo wa utawala uliowapa mafanikio makubwa kimaendeleo ya kijamii, badala yake wanataka kuiga mifumo ya utawala wa kimagharibi wakidhani kuwa ndiyo bora kwao....

Kila jamii ina mfumo wake wa utawala na demokrasia unaoendana na utamaduni na mila zao. Nchi zinazokengeuka kwa kujitakia ama kwa kulaghaiwa na mabeberu wanaotumia vibaraka waliopo katika nchi husika, huishia pabaya kama ilivyo hivi sasa Libya na Iraq!

Ndio maana kwa Tanzania tunasema John Pombe Magufuli anatosha....Anayefanya utalii wa kujitakia ughaibuni na aendelee kutalii, na wanaotumika kutaka kutuhujuma wanafahamika na kura zetu watazisikia tu kwenye bomba kuwa zilipigwa dhidi yao.
 
Hapo ndipo ukweli huwa hausemwi, ukiwa km kiongozi lazima usome nyakati na unachokijenga ili kiwe faida kwa wengine lazma kuwe na kiasi. Binadamu ni mtu asiyerizika kwa hiyo watu walibya waliamini wangepata zaidi na haiwezekani mtu mmoja aongoze nchi kwa zaidi ya miaka arobaini na bado anataka kurithisha mtoto. Gadafi ilibidi aachie madaraka pale alipoanza kuona upingamizi juu yake ampe madaraka kwa mtu mwingine aliyemuamini hata km ingekuwa kwa sanduku la kura then baadae uwezekano wa mwanae kupata uraisi ungeweza kuja na heshima yake ingebaki na nchi ingekuwa salama. Lakini kushupaza shingo akakosa vyote uhai na utajiri wa nchi.
shida inakuja Gadafi ndie pekee alie weza kuwamudu mabeberu ingawa nao walimzidi kwa propaganda walizo pewa wananchi wananchi nao wakaingia mkenge
 
Kwa hiyo upande huu waliouchagua ni bora kuliko ule..!?
Siungi mtu kukaa madarakani muda mrefu hivyo..ila Hali ya sasa na ya mwanzo bora ipi.!?
Nijuavyo mimi, kuna ubaya wenye afadhari.
Kaka watu wakishavurugana swala la hali ni majaliwa . Tujiwekee utaratibu mzuri wa kuachiana madaraka.
 
Upo sahihi unachosema lakini ujue mmarekani hakuingia tu kuivamia ila alipatia kichaka kwa kushawishi wapinzani wa Gadafi juu ya yeye kuiongoza nchi muda wote huo watu wakareact ndio nao wakapenyeza lengo lao. Yote hayo lazma ujue Libya bado haikuwa na nguvu km China na urusi yakuweza kuitunishia msuli marekani na washirika wake. Gadafi angeweza kuitunishia msuli marekani iwapo pia umoja wa afica ungekuwa na nguvu coz wangeweza kumlinda. Kutokana na udhaifu huo Gadafi ilibidi alione hilo na akabidhi madaraka kwa mtu mwingine ili kuondoa ile dhana ya kuongoza kwa muda mrefu. Ni kwambie tu hata hapa Tanzania watu wanavumilia uongozi fulani wakiamini baada ya miaka mitano au kumi atatoka kikatiba so anaweza kuja ambaye wanaamini lamda atakuwa Bora zaidi, lakini laiti isingekuwa hiyo kupokezana lazma hali ya ugomvi ingetokea
tuseme tu gadafi hakuwaza upande wa pili wa propaganda za wazungu na gadafi kilicho mfanya asikabidhi aliangalia hata kwa africa hakuna mtu mwenye uwezo wa kukemea uozo wa wazungu zaidi yake na Mugabe akaona atashinda tu hiyo vita kama ka survive miak 42
 
Tatizo ya kizazi cha sasa ni kimejaa ulimbukeni wa kuiga hata yasiyowahusu.......Wanabeza mfumo wa utawala uliowapa mafanikio makubwa kimaendeleo ya kijamii, badala yake wanataka kuiga mifumo ya utawala wa kimagharibi wakidhani kuwa ndiyo bora kwao....

Kila jamii ina mfumo wake wa utawala na demokrasia unaoendana na utamaduni na mila zao. Nchi zinazokengeuka kwa kujitakia ama kwa kulaghaiwa na mabeberu wanaotumia vibaraka waliopo katika nchi husika, huishia pabaya kama ilivyo hivi sasa Libya na Iraq!

Ndio maana kwa Tanzania tunasema John Pombe Magufuli anatosha....Anayefanya utalii wa kujitakia ughaibuni na aendelee kutalii, na wanaotumika kutaka kutuhujuma wanafahamika na kura zetu watazisikia tu kwenye bomba kuwa zilipigwa dhidi yao.
Wewe hata kukujibu ni shida. Ungejua wa Africa walivyoanza kabla usingesema. Utakataaje kuiga vya wazungu ikiwa hata mfumo wa serikali na uongozi mmeiga kutoka kwao ?!
 
Ndio demokrasia waliokuwa wanaitaka, eti Uhuru Wa kuongea.. Haya sasa hayupo Gaddafi ongeeni sasa na huo Uhuru mnaoutaka.

Waafrica bado hawajui nini wanakitaka, bado na huku Tanzania kuna jitu linazunguka huko ulaya kwa kisingizio za kuitafuta haki ndani ya Tanzania eti Tanzania kuna udikteta na wajinga wachache wanaliunga mkono pasipokujua kuwa anafanya hayo kwa maslahi yake.
umeanza vizur umekuja boronga mwishon
 
Back
Top Bottom