Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wabishi Sana Ila ukweli haufichiki kwamba Messi si wa kufananishwa na wanamitindo.
Hatimaye Lionel Messi kaifunga Chelsea.
Soka walilopigiwa utasema Chelsea ndio wapo ugenini.
Kiujumla hana jipya sababu matokeo yake ni kwa Bacca tu vp nyumban kwake kaleta nn ,unawezaje kumlinganisha na Cr7 Mwenye matokeo ndani na nje ya timu yake? Unawezaje kumlinganisha na uyu mwamba ambae kahama ligi bado kote nimwamba? Uyundo baba lao.messi hajulikani Argentina ila wewe uliyehuku Africa unamjua messi aiseee ...hahaa hii silaana hii...acha kuvuta bangi dogo
Bado unaangaliaga match kwenye gazeti mkuu!!Kiujumla hana jipya sababu matokeo yake ni kwa Bacca tu vp nyumban kwake kaleta nn ,unawezaje kumlinganisha na Cr7 Mwenye matokeo ndani na nje ya timu yake? Unawezaje kumlinganisha na uyu mwamba ambae kahama ligi bado kote nimwamba? Uyundo baba lao.
HakikaHahahaaaa alaf apo apo wanakuambia ligi ya uingereza ni bora 😀😀😀
Ball possession..
Chelsea 27%_______73% Barca, Home away
I hope nyumbani itakuwa ivi,
Barca 90%_______ 10% Chelsea
Hajaipa taji nchi yake kama mfalme wa Cr7
Alikuwa anabebwa na ubora wa barca,yajayo yanafurahisha pale Nou campUsimfananishe King Messi na vitu vya kijinga mkuu,,,huyu ni mchezaji bora kuwahi kutokea,si maradona pele wa cr7 wote hao hawafui dafu hata kidogo
Alikuwa anabebwa na ubora wa barca,yajayo yanafurahisha pale Nou camp