Hatimaye Lionel Messi athibitisha kwamba yeye ndio mchezaji bora wa dunia

Hatimaye Lionel Messi athibitisha kwamba yeye ndio mchezaji bora wa dunia

Huyu kijana tokea kipindi kila akikutana na sisi na kina babu wenger anajipigia tuuu, nilikuwa namchukia namuombea mpaka majeruhi ila nasikitika kuwa uwezo wake umezidi kiwango cha chuki zangu, nimenyoosha mikono. Kuna skills nikizimiss huwa baenda kumchungulia youtube, huyu na gaucho ni kati ya viumbe vinavyonitia hasara sana za mb.
 
Huyu kijana tokea kipindi kila akikutana na sisi na kina babu wenger anajipigia tuuu, nilikuwa namchukia namuombea mpaka majeruhi ila nasikitika kuwa uwezo wake umezidi kiwango cha chuki zangu, nimenyoosha mikono. Kuna skills nikizimiss huwa baenda kumchungulia youtube, huyu na gaucho ni kati ya viumbe vinavyonitia hasara sana za mb.
Ukweli mtupu .
 
Kuna watu wanahangaika mno dhidi ya Messi. Pigeni kelele hadi mchoke Messi halinganishwi na vitu vya kijinga.

Messi anatumia akili uwanjani na ni mchapakazi/alpha & omega, na sio kukata mauno na kucheka cheka ka demu na kukuza matako.
 
Mbona mnatumia nguvu nyingi sana kuonyesha mess bora. MTU toka azaliwe club anayoijua ni bacerona tu akitoka apo baca atakua sawa na frimpong tu yule wa arsenal. Huku mfalme mwenyewe hata nikimleta yanga yeye atang'aa haitaji kumtaja jina
kama hcho kwako ndio kipimo stahiki basi tufanye anelka ndio mchezaji bora wadunia kiwahi kutokea ..maana ndiye mwenye kuongoza kuhama hama...
jinga kabisaa mnalazimishaga shuka na blanket kuwa sawa..ilhali mnajua kuwa vina uzito na thamani ya tofauti
 
Utajipimeje mchezaji bora kwa kuogopa changamoto . Atoke uko aende EPL uko mbeleko hakuna ataishia kuokota mipira. Hakuna kama cr hata tukimpanga na wewe atachukua tu uefa
league ambayo mfungaji bora ni harry Kane league ambayo mchezaji bora haiingii hata kwenye kikosi bora cha FIFA ..yapata mcmu wa6 huu ..league ambayo kuvuka robo tu ya mashindanayo ya uefa kwenu imekuwa simulizi ...aiseee hold my beer pls...ndio wataka league hiyo aje kucheza mchezaji bora wakiwango cha messi ..yaani umtoe makonda dar kisha umpeleke. morogoro huko akagombee udiwani wa mvomero aiseee ..uko timamu kweli wewe
 
Epl akafanye nini huko!! Yani atoke timu kubwa alafu akajitupe epl.ndiomana nikakuambia timu kubwa na yenye hadhi kwake ni Barca na Real madrid kidogo. Hao wengine watamlipa nini huyu kiumbe,, wakati uwezo huo hawana na timu zenyewe hazina tofauti na za kwetu
safiii yaani Anataka atoke barca then aende kucheza liver .arsenal .man u au Chelsea ..team ambazo kushiriki tu mashindano ya uefa now deys kwaupnde wao imekuwa ni ndoto ..Hivi Hugo messi atakuwa nimjinga wakiasi gani ..hata hao aliowapa kazi ya kummanage watakuwa hawana akili kiasi hcho kweli
 
Nimesema cr7 mungu wa mpira we unasema Mungu. Hakuna kama cr7 kabakiza kombe LA dunia tu mess hata Argentina hawamjui
messi hajulikani Argentina ila wewe uliyehuku Africa unamjua messi aiseee ...hahaa hii silaana hii...acha kuvuta bangi dogo
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Vikombe ni matokeo ya timu nzima kwa kuwa na timu work ya wachezaji wote. Tatizo watu huwa wanachanganya kati ya "individual performance" na "team performance".

Ukiangalia uwezo wa Messi10 (individual performance) uko juu muno, labda uwe mbishi tu wa kuzaliwa.

Hapa tunaongelea uwezo binafisi wa mchezaji na siyo collective performance ya team nzima kama jinsi ambavyo wengi wenu mnakuja na hoja za sijui Fulani kashinda Euro, UCL, n.k...
una akili sana ..agiza soda unywe naja kulipa
 
Bora ungeweka matumain kwa Sarah wa livapul na misri yake kuliko huyo mess
sasa mtu kama huyu unamsaidia vipi maana hata ubongo wake unaonyesha wazi kuwa umestack..yaani kweli haya maneno yanatoka kinywani mwako ..aisee twaweza hawa ktu danganya kwakweli
 
  • Thanks
Reactions: PNC
kama hcho kwako ndio kipimo stahiki basi tufanye anelka ndio mchezaji bora wadunia kiwahi kutokea ..maana ndiye mwenye kuongoza kuhama hama...
jinga kabisaa mnalazimishaga shuka na blanket kuwa sawa..ilhali mnajua kuwa vina uzito na thamani ya tofauti

😀😀😀😀😀
 
  • Thanks
Reactions: PNC
sasa mtu kama huyu unamsaidia vipi maana hata ubongo wake unaonyesha wazi kuwa umestack..yaani kweli haya maneno yanatoka kinywani mwako ..aisee twaweza hawa ktu danganya kwakweli

Mti wenye matunda siku zote hupigwa mawe.
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Kwani hiyo tuzo huwa analinganishwa peke yake? Si huwa kuna wachezaji kadhaa wanaingizwa kwenye draw kisha kura zinapigwa? Sasa hiyo clip anaonekana yeye peke yake kinyume hata cha kanuni za kutoa tuzo ya mchezaji bora.

Mwishoe mtapata maradhi makubwa na yasiyotibika kwa ajili ya Mfalme.
 
  • Thanks
Reactions: PNC
sasa mtu kama huyu unamsaidia vipi maana hata ubongo wake unaonyesha wazi kuwa umestack..yaani kweli haya maneno yanatoka kinywani mwako ..aisee twaweza hawa ktu danganya kwakweli
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom