GUI1
JF-Expert Member
- Oct 4, 2017
- 4,007
- 5,290
Hayo ni maneno yako, pia ujue hapa duniani hakuna ukweli isipo kuwa kile unacho kiaminiImpeleke wapi wa kawaida sana nje ya baca bae hilo analijua ndio mana hakubali kutoka pale uefalona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo ni maneno yako, pia ujue hapa duniani hakuna ukweli isipo kuwa kile unacho kiaminiImpeleke wapi wa kawaida sana nje ya baca bae hilo analijua ndio mana hakubali kutoka pale uefalona
4-0 FH HIYO NA HAIJAISHA. LEO CELTA WATALALA NA VIATU...
Musiwe mnapenda kumfananisha King Leo Messi na vitu vya ajabu ajabu...
Alete copa america APA kama cr7 alivyotuonyesha kutwaa euro
Ndiyo..Messi anawapinzani wengi..Hivi Dunia hii bado kuna mtu anadhani Messi ana mpinzani ???
Kwenye suala la pesa ndiyo Messi is higher than Cr7 lkn kwa msimu ulikwisha CR7 amedeserve kubeba vyote alivyobeba...Jibu rahisi ameisaidia Madrid kuchukua ndoo zote plus kuweka records mbali mbaliUkizungumzia pesa ronado na mesi ni mbingu na dunia hata nusu mesi hafiki. Kama mafanikio tu ya club wangempa basi hata benzema nae si yupo Madrid. Unatuletea takwimu za vijalida uchwara APA cr ni hatari anachukua kila atakacho
messi hamfikii di maria
Kwenye suala la pesa ndiyo Messi is higher than Cr7 lkn kwa msimu ulikwisha CR7 amedeserve kubeba vyote alivyobeba...Jibu rahisi ameisaidia Madrid kuchukua ndoo zote plus kuweka records mbali mbali
Un
fananisha Pele na maradona na vitu vya ajabuajabu kweli wewe
![]()
hakuna kama Messi
Kama hajaelewa huyo basi tena!Individual Ability huwezi Compare Cr7 na Messi. So after Messi it was Cr7 not Benzema as you want! Statistics not mere words!
Messi is Genious, born talented! Cr7 is too Exercisal, Physical & na performance yake huonekana kwa ku score Goals only!! Messi huonekana Performing hata asipo score Goal yy!! Na ndie kinara wa Goals ktk hii sayari kwa sasa...
Pia uwe unaelewa vitu.....
Nimesema mshahara. Kwa sasa Messi anamzidi mbali Cr7.
Afu kusema Pesa eti ni mbingu na dunia ni uongo mkubwa sn.
Ni Kweli Cr7 anamzidi pesa Messi kutokana na Matangazo mbalimbali ila the difference ni ya kawaida sn tu. Na ukumbuke Cr7 anamecheza mpira b4 Messi (kamtangulia). Vilevile Cr7 ni mkubwa ki umri kumzidi Messi by 2yrs more!! Na kwa kiwango cha Cr7 kwa sasa tegemea verysoon atapigwa Gap la hatari sn na hasimu wake Messi.
Messi ana miaka mingi mbele ya kucheza mpira. Cr7 is finished! Angalia hata Goal differences btn the two utajua nacho ongea.
Jaribu hata ku google uone statistics. Siyo kuongea vitu bila data.
Unakosea bro..Msimfananishe Messi na vitu vya kijinga kijinga
Uwe kidogo unafuatilia soka co wachezaji tu... Unapoitaja Real Madrid hao ni European king hakuna wa kufananishwa nao.Epl akafanye nini huko!! Yani atoke timu kubwa alafu akajitupe epl.ndiomana nikakuambia timu kubwa na yenye hadhi kwake ni Barca na Real madrid kidogo. Hao wengine watamlipa nini huyu kiumbe,, wakati uwezo huo hawana na timu zenyewe hazina tofauti na za kwetu