Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fact!Haters wanajuwa sana Messi hana mpinzani, except ni chuki tu.lakini tumeshawazoea mkuu 😛😛
Acha pumba bwana mdogo.Hapa anazungumziwa mtu sio teamUwe kidogo unafuatilia soka co wachezaji tu... Unapoitaja Real Madrid hao ni European king hakuna wa kufananishwa nao.
Hivi michuano ya olimpiki huwa inatambuliwa na FIFA!?CR7 ana Olympic??
Hao uliowataja hapo juu ndo waliopigwa na Messi ndo hawataki kumsikia MessiiiiiiiiiArsenal kapigwa mtalimbo na Messi
Man Utd kapigwa mitalimbo
Man city kapigwa mitalimbo
Labda Chelsea kidogoo
Bila sha unaongea huku umeingiziwa Dildo
Inatambuliwa na wadau wa SokaHivi michuano ya olimpiki huwa inatambuliwa na FIFA!?
Unamringanisha messy na wastaafu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]gaucho
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mashabiki wa Chelsea wamejaza matako kichwani kama Hazard
Messy hana mpinzani anayebisha anabishia uzoefu.Hatatokea mchezaji kama huyo.nashukuru Mungu nimepata kumshuhudia kiumbe huyu asiyekuwa na mpinzani since soka lianze kuchezwa.
Messy hana mpinzani anayebisha anabishia uzoefu.
kwani pele kacheza timu ngapi!?Utajipimeje mchezaji bora kwa kuogopa changamoto . Atoke uko aende EPL uko mbeleko hakuna ataishia kuokota mipira. Hakuna kama cr hata tukimpanga na wewe atachukua tu uefa
Siyo Christiano Ronaldo tu bali hajalinganishwa na mchezaji yeyote! Clip inaonekana yeye tu...Kwakua hajasifiwa Christian Ronaldo?
Kwani huwa anacheza peke yake uwanjani?Kwaiyo kwa mtazamo wako Lionel Messi unataka kumringanisha na mchezaji gani katika ulimwengu wa soccer?
Kwani hiyo tuzo huwa analinganishwa peke yake? Si huwa kuna wachezaji kadhaa wanaingizwa kwenye draw kisha kura zinapigwa? Sasa hiyo clip anaonekana yeye peke yake kinyume hata cha kanuni za kutoa tuzo ya mchezaji bora.Kwani anayechukuaga tuzo ya mfungaji bora maana yake alifunga peke yake bila msaada wa watu wengine au uwanjani alicheza peke yake?