jaman hayo sio mapazia kuwa yatazuia kila kitu ila yatapunguza uzito wa mashambuliz mfano kweny makombora 1000 yanaeza ingia 100 , kwahiyo sehem yenye airdefence lzm ujipange kupashambuliaKwa hiyo kuanzia sasa, mji wa Kiev hatupigwa tena na makombora...?
mbona hizo ni silaha tofauti kabisa unafananisha mbwa pori na mbwa mwitu zote silaha ila zina operate mazingira tofautNani alijua drone ya kamikaze ni zaidi ya Hamars.
upo kitengo kipi hapo moscow [emoji23] ngoz nyeus ina matatizo sanaUrusi haijafungua Azina yake, maana hayo mataifa 34 juzi yameomba poo
Haha wakibutuliwa wanakujaga na habari za kuonewa huruma,,,wanakumbuka hadi mambo ya haki za binadamuMsije kuanza kulia Kiev ikianza kupigwa hovyo hovyo na tule tu drone
Hakuna jipya tena kwa Putin mkuuKwenye vita inayoitaji idadi kubwa ya wanajeshi pengine kwake likawa tatizo, lakini sasa hatujui ana nini hasa gharani kwake.
Am sure vita ikikaribia mipaka ya Russia tutaona mambo ya ajabu, US anajua nadhani.
Mapazia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jaman hayo sio mapazia kuwa yatazuia kila kitu ila yatapunguza uzito wa mashambuliz mfano kweny makombora 1000 yanaeza ingia 100 , kwahiyo sehem yenye airdefence lzm ujipange kupashambulia
Sidhani kama wapo secured 100%, nafikiri ni kama unapojenga ukuta ndani kwako ukaweka na chupa juu, sio kwamba unawazuia wezi kabisa ila kuna kazi ya ziada watapata kuingia na pengine wakashindwa kutimiza malengo.Kwa hiyo kuanzia sasa, mji wa Kiev hatupigwa tena na makombora...?
Wana ardhi kubwa sana, hii tamaa ya crimea na ukraine sijui ni ya nini yaaniatajiingiza mkenge tu kweny nyuklia , west wanamjaza kweny 18 , Putin nlimuona mjanja sana kumbe bwege , mpk sasa Putin akijitoa Ukraine ni kama kashinda maana kapata wafuasi wengi dunian ila bado anakomaa na Ukraine ambao haitamuongezea lolote kama kashindwa kupiga hatua na ardhi aliyo nayo , anasubir aibu tu wafuasi wamkimbie , badala ajiteme na Ukraine aimalishe ushirika na haya mataifa yanamshabikia yeye anakomaa na Ukraine mpk wamfedheheshe kbs
Sasa hivi yupo Ukraine,kataifa kanato anzisha wewe ataenda.TUENDELEE KUSHABIKIA KABLA YA KAMIKAZE PALIKUWEPO HIMARS.Aguse kataifa kamoja ka NATO ndio aone mziki wa hayo mataifa, humo kunayo mataifa moja moja yenye uwezo wa kumfuta bila kuchangia....
Sasa hivi yupo Ukraine,kataifa kanato anzisha wewe ataenda.TUENDELEE KUSHABIKIA KABLA YA KAMIKAZE PALIKUWEPO HIMARS.
Tema mate ndugu,Kuna fateh-110 Toka Iran zipo stoo[emoji38]Msije kuanza kulia Kiev ikianza kupigwa hovyo hovyo na tule tu drone
Yupo Ukraine now kwani nato wamewahi kushambulia URUSI?Sijajua nini unajaribu kuandika, ila Urusi siku zote huwa makini, hajawahi kujisahau akashambulia hata kijiji kimoja ndani ya NATO.