Hatimaye madude ya kulinda anga za Ukraine yawasili

Hatimaye madude ya kulinda anga za Ukraine yawasili

Huna akili. Hiyo sio verified CNN tweet
[emoji57][emoji57][emoji57]
Screenshot_20221108-195441.jpg
 
Himars ndizo zimefanya hadi wafungwa wa Russia wapelekwe Ukraine pamoja na walevi wa vodka baada ya maelfu ya wanajeshi wa Russia kuuawa na wengi kujeruhiwa.
Sasa dikteta Putin amepeleka vikosi vya kwenda kuua wanaokimbia vita.

Himars is a legendary arm.
 
Ukraine mbali mkuu, naona umushauri aende hapa karibu Somalia akapigane na Al Shaabab na sio jeshi lao la Kenya badala ya kupambana na Al Shaabab nchini Somalia badala yake Majenerali wake na other ranks wanajihusisha zaidi katika harakati za kuiba mkaa na samaki kutoka Somalia na kwenda kuuza huko Arabuni, wanamgambo wa Al Shaabab wanawapa wakati mgumu jeshi la Kenya mpaka wanakimbilia kuomba msaada ya Drones za jeshi la Merikani ili ziwasaidie kupambana na Al Shaabab.

Leo hii jamaa huyu bila aibu anawakadia Warusi hasa hasa Putin kwa kumbatiza majina ya kila sampuli na kashifa juu, kasahau kabisa kwamba once upon a time na actually mpaka sasa Taifa lake lilivamia Somalia na kuuwa raia wasio na hatia na kujaribu kuingilia mambo ya ndani ya Taifa la Somalia ikiwemo kujaribu kuwachangulia viongozi, Somalia haikuwahi kuomba msaada wowote kutoka kwa Serikali au jeshi la Kenya, walikwenda huko kama wavamizi tu, halafu leo hii MK254 hayo yote kaya sahua kabisa, badala yake yuko very vocal akimshutumu Putin na Urusi 24X7, umwambii kitu akakuelewa, binafsi huwa mara zote najiuliza: hivi Jeshi la Zelensky na NATO/US wakishindwa vita na jeshi la Urusi huko Ukraine (na kushindwa watashindwa kweli) hilo likitokea sina shaka MK254 na wenzake watakumbwa na ugonjwa wa moyo kwa masikitiko - yetu macho na siku hiyo inakujaaa.
Ana kosa gani, mbona wewe unaunga mkono Russia na hakuna anayejali lkn wengine wakipinga Russia unaona vibaya.
Kila mtu ana haki ya kuunga mkono upande anaopenda, ni sawa tu
na Simba na Yanga.

Everyone is entitled to his/her opinion and no one has the right to dictate opinion on anyone, so please leave the Kenyan alone and I'm solidly behind him by 100%, please keep it up.
 
Je,wewe una taarifa zipi zinazo sema Zelensky anapeleka professional soldiers kwenye front line na sio ma-conscripts na wazee - tafuta taarifa za front line war correspondents usikie wana sema nini na sio habari hizi za kutunga kutoka BBC,SkyNews, and UK tabloid papers namely: The SUN and tha Mirror ni mahodari sana wa kubuni mambo ambayo hayapo kabisa mradi wamseme vibaya Putin na kujaribu kumdhalilisha kimataifa hilo ndilo lengo lao kuu - binafsi sioni kama crusade zao zimewasaidia chochote kwenye war efforts zao za kujaribu kulishinda jeshi la Urusi - badala yake wanazidi kupigwa na kudhalilishwa licha ya kuunguza matrillion ya fedha na matami na matani ya silaha nchini Ukraine ili kujaribu kumsaidia Zelensky - hakuna cha maana walicho achieve so far!!
Kwa hiyo wewe unataka tusikie habari kutoka vyombo gani vya habari, labda utuambie maanake Russia kama nchi ya kidikteta wamepiga marufuku vyombo huru vya habari ili yanayofanyika vitani yasijulikane.
 
Kwa hiyo wewe unataka tusikie habari kutoka vyombo gani vya habari, labda utuambie maanake Russia kama nchi ya kidikteta wamepiga marufuku vyombo huru vya habari ili yanayofanyika vitani yasijulikane.

Here we go again, tatizo lenu hamtaki kupitia vizuri member alicho andika na ukaki-digest - haya sasa unakimbilia kuzungumza mambo ya udikteita as hivi viongozi wa Urusi hawachaguliwi kidemokrasia au Urusi hakuna nyama vya upinzani.

Muda wote mnarudia rudia adithi zile zile zinazo enezwa na western MSM basi, cha ajabu mnachukulia maiigizo hayo as if ni Gospel truth-please revisit my comments - nimesema habari kutoka kwa war correspondents ambao wapo war front line, cha ajabu wewe unatujia na hoja tofauti kabisa.Mbona mnao wasifia kwa kujali uhuru wa vyombo ya habari mbona wali funga ofisi za media za Urusi na China nchini Merikani na Uingereza wakati huu wa vita nchini Ukraine hawataki raia wa Merikani na Uingereza na Dunia nzima waelezwe ukweli kuhusu mwenendo mzima wa vita nchini Ukraine na kwa nini Urusi ililazimika kuchukua hatua iliyo chukuwa kwa lengo la kulinda usalama wa taifa lao.

Western leaders walifanya hivyo makusudi baada ya media zao kupewa mikakati ya kuuanza kumshabulia Putin kwa kumzulia kashfa na kumsema sema vibaya/kumwaribia sifa ili hakose support ikiwezekana Dunia nzima aonekane ni binadamu katiri sana na shetani, wala sisi hayo hayatushangazi ndio US na Uingereza walivyo hasa wakiona Taifa lolote linatishia vested interests zao Globally au kuonekana ni tisho kwao kijeshi - watamjengea hoja mpaka mtu unabaki unashangaa, unakuta hata baadhi ya waswahili wanajiunga na band wagon ya kumchukia Putin na Warusi bila ya kutaka kujua undani wa tatizo la Ukraine, mradi kasema CNN,VoA,BBC,SkyNews and all western MSM lazima habari zinazo semwa bila shaka zina kweli!!

Viongozi wa US na UK hawataki media zao zifahamiswe Dunia kwamba walio leteleza vita hii nchini Ukraine ni Merikani yenyewe na Uingereza baada ya kumshikiza Zelensky kwamba apuuzie makubaliano ya kuleta amani kwenye ukanda huo yaliyo kuwa yanazingatia makubaliano ya Minsk2 yaliyo simamiwa ma Ufaransa na Ujerumani - kinyume chake Merikani na Uingereza wakawa wanafanya mpango kabambe wa kuwatayarisha wana jeshi wa Ukraine pamoja na baadhi ya wanajeshi wa NATO waliovalia uniform za jeshi la Ukraine ili wavamie Ukraine kusini ambayo ilikuwa haitaki kutawaliwa na regime ya Kiev walitaka aidha wajitawale au wawe sehemu ya Urusi - sasa kitu kilimuudhi Zelensky ndio maana jeshi la Zelensky lilipanga kuivamia eneo hilo kwa nguvu na ikiwezekana wawaue raia wake karibu wote wenye asili ya Urusi na baada ya hapo ndio watekeleze lengo lao hasa walio pewa na USA na UK la kutaka eti kuikomboa Crimea at any cost, ukweli ni kwamba nia hasa ya US na UK kuwania Crimea ni kutaka NATO wamiliki Naval base ya Sevaspol, basi.

Urusi ilipo pata taarifa za kiitelijensia kusuhu tarehe na mwezi jeshi la Ukraine na baadhi ya wanajeshi wa NATO walivyo panga kuvamia kusini mwa Ukraine na Crimea - kilicho tokea ni kwamba Jeshi la Urusi likawawahi na kitibua mpango mzima - sasa mlitegemea Urusi ingekaa kimya na kuwaacha maadui zake wa magharibi waitumie Ukraine kuihujumu Urusi?? haiwezekani.

Usanii wa Merikani waliuanza mapema kwa kutangazia Dunia kwamba Urusi hiko mbioni kuishambulia/Vamia Ukraine kwa kuwa inaonekana imekusanya wanajeshi wengi na zana zao za kivita mpakani, USA inayasema hayo huku ikakaa kimya kuhusu Amerika yenyewe ilivyo kuwa inaratibu na kutayarisha majeshi ya Zelensky/NATO na silaha kubwa kubwa kuvamia kusini mwa Ukraine na Crimea, hilo kama nilivyo sema tangu mwanzo USA walikuwa hawalisemi kabisa, kazi walikuwa wanajitia tia kulia lia tu na unafiki wa kutaka kuonyesha kwamba Putin ni mvamizi!!

Hasikudanganye mtu Merikani na Uingereza walipenda sana vita hii kati ya Ukraine na Urusi vipiganwe kwa kumtumia Zelensky ie jeshi lake pamoja na baadhi ya wanajeshi wa NATO/US kwa kificho in a proxy war on US behalf, lengo likiwa ni kuihujumu Urusi kiuchumi na kudhoofisha kijesi na kunufaisha wamiliki wa US Military Industrial Complex kwa kuuza silaha na kupiga hela ndefu ndichokinacho endelea katika vita hii ya Ukraine, Zelensky na jeshi lake wanatumika tu kama tools kwa ajili ya maslahi ya Merikani na Uingereza.
 
Kwa hiyo wewe unataka tusikie habari kutoka vyombo gani vya habari, labda utuambie maanake Russia kama nchi ya kidikteta wamepiga marufuku vyombo huru vya habari ili yanayofanyika vitani yasijulikane.

Kule Urusi walipitisha sheria ukisikika unakosoa huu uvamizi unalo, sijui mazungu ya Urusi yalipoteza wapi step, hayapo kama wengine, yamekaliwa kidikteta.
Waarabu wa bongo wanayasifia sana.
 
Here we go again, tatizo lenu hamtaki kupitia vizuri member alicho andika na ukaki-digest - haya sasa unakimbilia kuzungumza mambo ya udikteita as hivi viongozi wa Urusi hawachaguliwi kidemokrasia au Urusi hakuna nyama vya upinzani.

Muda wote mnarudia rudia adithi zile zile zinazo enezwa na western MSM basi, cha ajabu mnachukulia maiigizo hayo as if ni Gospel truth-please revisit my comments - nimesema habari kutoka kwa war correspondents ambao wapo war front line, cha ajabu wewe unatujia na hoja tofauti kabisa.Mbona mnao wasifia kwa kujali uhuru wa vyombo ya habari mbona wali funga ofisi za media za Urusi na China nchini Merikani na Uingereza wakati huu wa vita nchini Ukraine hawataki raia wa Merikani na Uingereza na Dunia nzima waelezwe ukweli kuhusu mwenendo mzima wa vita nchini Ukraine na kwa nini Urusi ililazimika kuchukua hatua iliyo chukuwa kwa lengo la kulinda usalama wa taifa lao.

Western leaders walifanya hivyo makusudi baada ya media zao kupewa mikakati ya kuuanza kumshabulia Putin kwa kumzulia kashfa na kumsema sema vibaya/kumwaribia sifa ili hakose support ikiwezekana Dunia nzima aonekane ni binadamu katiri sana na shetani, wala sisi hayo hayatushangazi ndio US na Uingereza walivyo hasa wakiona Taifa lolote linatishia vested interests zao Globally au kuonekana ni tisho kwao kijeshi - watamjengea hoja mpaka mtu unabaki unashangaa, unakuta hata baadhi ya waswahili wanajiunga na band wagon ya kumchukia Putin na Warusi bila ya kutaka kujua undani wa tatizo la Ukraine, mradi kasema CNN,VoA,BBC,SkyNews and all western MSM lazima habari zinazo semwa bila shaka zina kweli!!

Viongozi wa US na UK hawataki media zao zifahamiswe Dunia kwamba walio leteleza vita hii nchini Ukraine ni Merikani yenyewe na Uingereza baada ya kumshikiza Zelensky kwamba apuuzie makubaliano ya kuleta amani kwenye ukanda huo yaliyo kuwa yanazingatia makubaliano ya Minsk2 yaliyo simamiwa ma Ufaransa na Ujerumani - kinyume chake Merikani na Uingereza wakawa wanafanya mpango kabambe wa kuwatayarisha wana jeshi wa Ukraine pamoja na baadhi ya wanajeshi wa NATO waliovalia uniform za jeshi la Ukraine ili wavamie Ukraine kusini ambayo ilikuwa haitaki kutawaliwa na regime ya Kiev walitaka aidha wajitawale au wawe sehemu ya Urusi - sasa kitu kilimuudhi Zelensky ndio maana jeshi la Zelensky lilipanga kuivamia eneo hilo kwa nguvu na ikiwezekana wawaue raia wake karibu wote wenye asili ya Urusi na baada ya hapo ndio watekeleze lengo lao hasa walio pewa na USA na UK la kutaka eti kuikomboa Crimea at any cost, ukweli ni kwamba nia hasa ya US na UK kuwania Crimea ni kutaka NATO wamiliki Naval base ya Sevaspol, basi.

Urusi ilipo pata taarifa za kiitelijensia kusuhu tarehe na mwezi jeshi la Ukraine na baadhi ya wanajeshi wa NATO walivyo panga kuvamia kusini mwa Ukraine na Crimea - kilicho tokea ni kwamba Jeshi la Urusi likawawahi na kitibua mpango mzima - sasa mlitegemea Urusi ingekaa kimya na kuwaacha maadui zake wa magharibi waitumie Ukraine kuihujumu Urusi?? haiwezekani.

Usanii wa Merikani waliuanza mapema kwa kutangazia Dunia kwamba Urusi hiko mbioni kuishambulia/Vamia Ukraine kwa kuwa inaonekana imekusanya wanajeshi wengi na zana zao za kivita mpakani, USA inayasema hayo huku ikakaa kimya kuhusu Amerika yenyewe ilivyo kuwa inaratibu na kutayarisha majeshi ya Zelensky/NATO na silaha kubwa kubwa kuvamia kusini mwa Ukraine na Crimea, hilo kama nilivyo sema tangu mwanzo USA walikuwa hawalisemi kabisa, kazi walikuwa wanajitia tia kulia lia tu na unafiki wa kutaka kuonyesha kwamba Putin ni mvamizi!!

Hasikudanganye mtu Merikani na Uingereza walipenda sana vita hii kati ya Ukraine na Urusi vipiganwe kwa kumtumia Zelensky ie jeshi lake pamoja na baadhi ya wanajeshi wa NATO/US kwa kificho in a proxy war on US behalf, lengo likiwa ni kuihujumu Urusi kiuchumi na kudhoofisha kijesi na kunufaisha wamiliki wa US Military Industrial Complex kwa kuuza silaha na kupiga hela ndefu ndichokinacho endelea katika vita hii ya Ukraine, Zelensky na jeshi lake wanatumika tu kama tools kwa ajili ya maslahi ya Merikani na Uingereza.
Unaandika maneno mengi boring wakati unafahamu vizuri kwamba kiongozi wa upinzani Russia anasota gerezani kwa amri ya dikteta Putin halafu kwa ushabiki maandazi bado unasema eti Russia ni nchi ya kidemokrasia mwisho hata North Korea na Iran pia utasema ni nchi za kidemokrasia na Tanzania vilevile.
 
Unaandika maneno mengi boring wakati unafahamu vizuri kwamba kiongozi wa upinzani Russia anasota gerezani kwa amri ya dikteta Putin halafu kwa ushabiki maandazi bado unasema eti Russia ni nchi ya kidemokrasia mwisho hata North Korea na Iran pia utasema ni nchi za kidemokrasia na Tanzania vilevile.

Tatizo lenu mnapo banwa kwa hoja badala ya kuleta maoni mbadala mnakimbilia kukashifu watu - ninacho kiona hapa ni kirudia rudia propaganda zile zile za media za magharibi specifically USA, kasema Iran wabaya na nyinyi mnarudia hayo hayo, Korea kaskazini wabaya na maskini wa kutupwa na nyinyi mna amini ulaghai huo bila ya kuhoji swali, Putin dikieita kweli mzee - ajabu sana, mbona Urusi kuna vyama vya upinzani chungu mzima atuja wahi kusikia viongozi wake wanafungwa au kubugudhiwa kwa nini huyu mmoja aliye wekwa ndani na Serikali ya Urusi huyo mna muona ni issue kubwa kwa kuwa media za magharibi zinapiga kelele ,je, sisi watu baki akiwemo wewe unajua kwa nini Serikali ilifikia uhamuzi wa kumuweka ndani na si wengine??

Umewahi kukiuliza kwa nini mataifa ya magharibi yanakuwa overly concern mpinzani huyu mmoja tu wa Taifa la Urusi, niliwahi kusoma maelezo ya vyomno vya usalama vya Urusi vikisema alikuwa anatumiwa na vyombo vya kintelligensia vya mataifa ya magharibi ili atumike kuchochea vurugu na colour revolution nchini Urusi, mambo kama haya ndio yaliyo tokea huko Ukraine - kumbuka vyombo vya usalama vya taifa la Urusi si wajinga -mbona hata hapa kwetu,Uganda na Kenya waliwahi kuwekwa ndani viongozi na baadhi ya wafuasi wa vyama vya upinzani - why pick on Russia and in particullar Putin??

Mwisho mimi sikulazimishi usome comments zangu, kama unaona vipi achana nazo ie ignore tu, wengi wanafanya hivyo, lakini kumbuka kwamba kuna baadhi ya members wanao kubaliana na maoni yangu.

Kwa kifupi husitake kulazimisha watu waseme unacho taka kuyasikia wewe au wafuate mkumbo -kumbuka hili ni jukwaa huru msitake kutawala watu.
 
Tatizo lenu mnapo banwa kwa hoja badala ya kuleta maoni mbadala mnakimbilia kukashifu watu - ninacho kiona hapa ni kirudia rudia propaganda zile zile za media za magharibi specifically USA, kasema Iran wabaya na nyinyi mnarudia hayo hayo, Korea kaskazini wabaya na maskini wa kutupwa na nyinyi mna amini ulaghai huo bila ya kuhoji swali, Putin dikieita kweli mzee - ajabu sana, mbona Urusi kuna vyama vya upinzani chungu mzima atuja wahi kusikia viongozi wake wanafungwa au kubugudhiwa kwa nini huyu mmoja aliye wekwa ndani na Serikali ya Urusi huyo mna muona ni issue kubwa kwa kuwa media za magharibi zinapiga kelele ,je, sisi watu baki akiwemo wewe unajua kwa nini Serikali ilifikia uhamuzi wa kumuweka ndani na si wengine??

Umewahi kukiuliza kwa nini mataifa ya magharibi yanakuwa overly concern mpinzani huyu mmoja tu wa Taifa la Urusi, niliwahi kusoma maelezo ya vyomno vya usalama vya Urusi vikisema alikuwa anatumiwa na vyombo vya kintelligensia vya mataifa ya magharibi ili atumike kuchochea vurugu na colour revolution nchini Urusi, mambo kama haya ndio yaliyo tokea huko Ukraine - kumbuka vyombo vya usalama vya taifa la Urusi si wajinga -mbona hata hapa kwetu,Uganda na Kenya waliwahi kuwekwa ndani viongozi na baadhi ya wafuasi wa vyama vya upinzani - why pick on Russia and in particullar Putin??

Mwisho mimi sikulazimishi usome comments zangu, kama unaona vipi achana nazo ie ignore tu, wengi wanafanya hivyo, lakini kumbuka kwamba kuna baadhi ya members wanao kubaliana na maoni yangu.

Kwa kifupi husitake kulazimisha watu waseme unacho taka kuyasikia wewe au wafuate mkumbo -kumbuka hili ni jukwaa huru msitake kutawala watu.
Ni yale yale wanayofanyiwa akina Mbowe na Lissu hapa kwa sababu ni wapinzani wa kweli lakini huwezi kusikia akina Zitto, Shibuda, Lipumba wala Cheyo wakiguswa kwa sababu ni mapandikizi ya ccm ndio sawa na hao wa Russia.

Kuwa na mfumo wa vyama vingi haimaanishi kwamba hiyo nchi ni ya kidemokrasia kwani vyama vingi vinakuwa pandikizi na kile chenye upinzani wa kweli ni mahakamani kila uchao au viongozi kuwekewa sumu au kuuliwa au kufanyiwa tu unyama kama wafanyavyo akina dikteta Putin.

Huyo mpinzani wao Alexei Novelney alibambikiwa kesi ya uongo kwa sababu ni mpinzani wa kweli tofauti na hawa wengine ambao ni mapandikizi ya dikteta Putin.
 
Haha wakibutuliwa wanakujaga na habari za kuonewa huruma,,,wanakumbuka hadi mambo ya haki za binadamu
kwan nan yupo kweny ya mwenzie , ukosef wa ajira unawatia watu ukichaa
 
Wana ardhi kubwa sana, hii tamaa ya crimea na ukraine sijui ni ya nini yaani
Mtu anaeshabikia uchiz wa Putin nae ni Chizi , ningekuwa Putin kwa huu ushawish wa BRICS ililuwa inatosha kujitoa Ukraine , ila Putin alivyo kichaa anataka sifa za kuwaangusha WEST kitu ambacho hakipo anafikiri ni yeye pekee ndo anawaza kutumia nyuklia pind akishindwa hlf anasahau wenzie washawai kutumia na wanaeza itumia Ukraine kuisambaratisha sehem za muhimu Urusi , Hii Putin haon kbs , UKRAINE ikitokea akawa anaelekea kupoteza hii vita naamin wataanza kulenga ndan ya Urusi hasa hasa Moscow , Hiz hasara zote Urusi anaeza ziepuka mapema ila kwa uchiz wake Ataifanya Urusi kuwa Libyia kizur ana wapinzan weng ndan ya Urusi
 
Back
Top Bottom